OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
RC Mbeya, Albert Chalamila akiwa Kanisa la KKKT Dayosisi ya Konde kwenye Uzinduzi wa Ofisi Kuu ya Dayosisi na Kanisa Kuu amenena haya kuhusu hospitali mkoani humo kujaa wagonjwa
“Wapo Watu wanatishia Watu wanasema Mahospitalini huko kumejaa sana wagonjwa, Serikali ijenge Vituo vya Afya kwa Mabilioni ya pesa halafu viwe havina mgonjwa!?”
“Ukisema Hospitali zimejaa unataka wajae walevi au waumini?, Kanisa linajaa likiwa na waumini, Hospitali zinajaa zikiwa na wagonjwa, vilabu vinajaa vikiwa na walevi, mashamba yanajaa yakiwa na wakulima, sasa unachoshangaa kujaa kwa wagonjwa Hospitali ni kitu gani?”
“Wapo Watu wanatishia Watu wanasema Mahospitalini huko kumejaa sana wagonjwa, Serikali ijenge Vituo vya Afya kwa Mabilioni ya pesa halafu viwe havina mgonjwa!?”
“Ukisema Hospitali zimejaa unataka wajae walevi au waumini?, Kanisa linajaa likiwa na waumini, Hospitali zinajaa zikiwa na wagonjwa, vilabu vinajaa vikiwa na walevi, mashamba yanajaa yakiwa na wakulima, sasa unachoshangaa kujaa kwa wagonjwa Hospitali ni kitu gani?”