RC Chalamila ajibu madai ya Hospitali za Mbeya kujaa wagonjwa

RC Chalamila ajibu madai ya Hospitali za Mbeya kujaa wagonjwa

Nadhani akijua maana ya overcapacity / undercapacity na optimum capacity asingeongelea haya ?

Kama kila siku zinajaa basi hazitoshi / hazikidhi mahitaji.....

Kama kipindi hiki zimejaa isivyo kawaida basi kuna mfumuko / tatizo ambalo inabidi ijulikane limesababishwa na nini ili kulitafutia ufumbuzi
Thanks to elimu,

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
 
Huyu bwana ana behave kama mpiga debe na mpayukaji wa daladala za kwenda Buza. No class at all.

Suprisingly mteuzi anapenda watu wa design hii
 
RC Mbeya, Albert Chalamila akiwa Kanisa la KKKT Dayosisi ya Konde kwenye Uzinduzi wa Ofisi Kuu ya Dayosisi na Kanisa Kuu amenena haya kuhusu hospitali mkoani humo kujaa wagonjwa


“Wapo Watu wanatishia Watu wanasema Mahospitalini huko kumejaa sana wagonjwa, Serikali ijenge Vituo vya Afya kwa Mabilioni ya pesa halafu viwe havina mgonjwa!?”

“Ukisema Hospitali zimejaa unataka wajae walevi au waumini?, Kanisa linajaa likiwa na waumini, Hospitali zinajaa zikiwa na wagonjwa, vilabu vinajaa vikiwa na walevi, mashamba yanajaa yakiwa na wakulima, sasa unachoshangaa kujaa kwa wagonjwa Hospitali ni kitu gani?”
Hospital haitakiwi ijae mpaka wagonjwa wakose nafasi ya kupata huduma mpaka wanakufa ndo maana kila hospital ina ukubwa wake kufuatana na wingi wa wagonjwa wanaoweza kuhudumiwa kwa wakati mmoja lakini wakijaa na kuzidi lazima kuna Changamoto ya kupumua. Vivyo hivyo na Shule, Darasa linatakiwa kuwa na wanafunzi 45 wakizidi hapo mpaka 200 kama viongozi wa Awamu ya Tano kama Chalamila wanavyosifiana na kupongezana, matokeo yake ndo wanafunzi kutojua kusoma na kuandika mpaka Sekondari. Hospital wagonjwa wakijaa wanakufa tunalia lakini tukizika wafu wanasahaulika, wanafunzi wakijaa Shuleni wanakuwa wamepoteza muda wao bure afadhali wangebaki nyumbani wanachunga mifugo wangejifunza mengi ya jadi. Toa sababu zozote lakini wagonjwa wanaojaa hospitalini Mbeya wana Covid-19 maana ipo!
 
Ila makanisa nayo sasa, anyways wacha tuendelee kushuhudia.
 
Zikikosa wagonjwa napo watasema tena ni white elephant
anyway, me nafikiri malalamiko ya rc yamekuwa distorted..yeye alijua kuwa kujaa kule ni kwasab ya covid
 
Huu utawala umefitinika. Yaani RC anatamani hosipitali zijae wagonjwa? Kuna siku atatamani motuary zijae maiti na ndo hapo patahitajika daktari mwenye pHD Ya uenda wazimu.
Na siku itafika huyu mwehu atatamani maeneo ya makaburi yajae maiti.
 
Hatac
Kwa hiyo lengo ni kutibu na siyo kukinga? Ndiyo maana serikali inafurahia kuona wagonjwa wanafurika kwenye Mahospitali?
Hata ukinunua jeneza utakaribishwa tena.
 
Back
Top Bottom