nabiidaniel
JF-Expert Member
- Feb 25, 2014
- 1,937
- 2,678
Cha msingi amekiri kwamba zimejaa, hivyo tumwombe Mungu, kumtegemea na kuchukua tahadhari, Giza limetanda ila Yesu ni nuru na njia, we shall overcome.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thanks to elimu,Nadhani akijua maana ya overcapacity / undercapacity na optimum capacity asingeongelea haya ?
Kama kila siku zinajaa basi hazitoshi / hazikidhi mahitaji.....
Kama kipindi hiki zimejaa isivyo kawaida basi kuna mfumuko / tatizo ambalo inabidi ijulikane limesababishwa na nini ili kulitafutia ufumbuzi
Devo anamcheka tuHalaf yupo Kanisani? Ohh My God
Watu wanaangalia MAPATOKwa hiyo lengo ni kutibu na siyo kukinga? Ndiyo maana serikali inafurahia kuona wagonjwa wanafurika kwenye Mahospitali?
Hii ni aibu kwa watu wenye PhD za kwelitena anafanya PhD hapo saizi
Kama la tundu lisu?RC wa Mbey Dishi limecheza.
Hospital haitakiwi ijae mpaka wagonjwa wakose nafasi ya kupata huduma mpaka wanakufa ndo maana kila hospital ina ukubwa wake kufuatana na wingi wa wagonjwa wanaoweza kuhudumiwa kwa wakati mmoja lakini wakijaa na kuzidi lazima kuna Changamoto ya kupumua. Vivyo hivyo na Shule, Darasa linatakiwa kuwa na wanafunzi 45 wakizidi hapo mpaka 200 kama viongozi wa Awamu ya Tano kama Chalamila wanavyosifiana na kupongezana, matokeo yake ndo wanafunzi kutojua kusoma na kuandika mpaka Sekondari. Hospital wagonjwa wakijaa wanakufa tunalia lakini tukizika wafu wanasahaulika, wanafunzi wakijaa Shuleni wanakuwa wamepoteza muda wao bure afadhali wangebaki nyumbani wanachunga mifugo wangejifunza mengi ya jadi. Toa sababu zozote lakini wagonjwa wanaojaa hospitalini Mbeya wana Covid-19 maana ipo!RC Mbeya, Albert Chalamila akiwa Kanisa la KKKT Dayosisi ya Konde kwenye Uzinduzi wa Ofisi Kuu ya Dayosisi na Kanisa Kuu amenena haya kuhusu hospitali mkoani humo kujaa wagonjwa
“Wapo Watu wanatishia Watu wanasema Mahospitalini huko kumejaa sana wagonjwa, Serikali ijenge Vituo vya Afya kwa Mabilioni ya pesa halafu viwe havina mgonjwa!?”
“Ukisema Hospitali zimejaa unataka wajae walevi au waumini?, Kanisa linajaa likiwa na waumini, Hospitali zinajaa zikiwa na wagonjwa, vilabu vinajaa vikiwa na walevi, mashamba yanajaa yakiwa na wakulima, sasa unachoshangaa kujaa kwa wagonjwa Hospitali ni kitu gani?”
Magufuli na PhD yake nae alikuwa mwalimu lakini hakuna mtu hata mmoja aliyejitokeza kuwa alikuwa mwanafunzi wake hata Darasa la Nne. Hata wa UPE walifikisha wanafunzi Vyuo Vikuu!Jamàa alishawahi kuwa lecturer St Augustine/ Moshi, embu fikiria katoa products gani?
Sent from my Infinix X652 using JamiiForums mobile app
Na siku itafika huyu mwehu atatamani maeneo ya makaburi yajae maiti.Huu utawala umefitinika. Yaani RC anatamani hosipitali zijae wagonjwa? Kuna siku atatamani motuary zijae maiti na ndo hapo patahitajika daktari mwenye pHD Ya uenda wazimu.
Hata ukinunua jeneza utakaribishwa tena.Kwa hiyo lengo ni kutibu na siyo kukinga? Ndiyo maana serikali inafurahia kuona wagonjwa wanafurika kwenye Mahospitali?
MmhDaah hatari sana sijui mnawezaje kumpa nafasi huyo mwananchi madhabauni na kuongea..