RC Chalamila ajibu madai ya Hospitali za Mbeya kujaa wagonjwa

RC Chalamila ajibu madai ya Hospitali za Mbeya kujaa wagonjwa

Aisee huyo chalamila ni nyumbu kama nyumbu wengine,yaani ni mweupe sana kichwani nashangaa sijui kwanini wajinga ndo wanapata vyeo hapa bongo!
 
Kwa akili zake kila mahali tunalenga pajae.
Mbuga zijae watalii.
Ndege zijae abiria.
Hospitali zijae wagonjwa, hence mortuary zijae maiti.
 
..kama hayo madai hayakusemwa ktk kanisa husika, basi rc chalamila atakuwa amekosea kutoa majibu ya serikali kanisani.
 
Kwa hiyo lengo ni kutibu na siyo kukinga? Ndiyo maana serikali inafurahia kuona wagonjwa wanafurika kwenye Mahospitali?
sasa wewe hulali na net unategemea serikali ikukinge unakua kama wale waliokua wanataka serikali itoe tamko kuhusu corona utazani tamko ndio chanjo
 
religion and politics iko dunia yote
Makanisa siku hizi yamekuwa sehemu za kupiga siasa wazi?

Mkuu wa Mkoa kashindwa kuitisha mkutano ofisini kwake kusema habari ambazo hazihusiani na dini?

Kwa nini tunavunja separation of church and state?

Nimeona Magufuli kaanza hizi habari, sasa mkuu wa mkoa anamfuatisha.
 
Ifike mahali taaluma iachiwe uwanja wake kwa wanayokutana nayo madakatari anaweza kuyamudu huyo mwanasiasa akishinda wodini siku walau moja?

Ni rahisi kukaa kwenye kiyoyozi na kuendeshwa kwenye gari la millioni 400 huku daktari hajaliwi kimaslahi na dawa hakuna heshima itatoka wapi hadi mwanasiasa anawafundisha kazi ilhali walikaa miaka 6 kuaminika? Nkt
 
[emoji3][emoji3][emoji3] jibu linakera na kufurahisha
 
Nadhani akijua maana ya overcapacity / undercapacity na optimum capacity asingeongelea haya ?

Kama kila siku zinajaa basi hazitoshi / hazikidhi mahitaji.....

Kama kipindi hiki zimejaa isivyo kawaida basi kuna mfumuko / tatizo ambalo inabidi ijulikane limesababishwa na nini ili kulitafutia ufumbuzi
Well!

Sent from my TECNO BC1 using JamiiForums mobile app
 
Akustahili kutoa jibu kama ilo apo amejibu kisiasa bora angekaa kimyaa kuliko kusema ivoo bora angekaa kimyaa
 
nafsi moja ndani yake kuna nafsi nyingi kinzani, ni vile kudinda tu maana hakuna tofauti baina ya ukweli na uongo, uovu na wema.
kila mtu akiendelea kulinda na kutetea maslahi yake kwa gharama ya kujitoa ufahamu
 
Back
Top Bottom