Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,717
- 13,176
sasa wewe hulali na net unategemea serikali ikukinge unakua kama wale waliokua wanataka serikali itoe tamko kuhusu corona utazani tamko ndio chanjoKwa hiyo lengo ni kutibu na siyo kukinga? Ndiyo maana serikali inafurahia kuona wagonjwa wanafurika kwenye Mahospitali?
tena anafanya PhD hapo saiziUnaweza kuta huyu ni msomi kutoka UDSM
ni mwalim mzuri sana amekua kwenye academics kwa muda mrefuThis guy has never been a thinker.
Makanisa siku hizi yamekuwa sehemu za kupiga siasa wazi?
Mkuu wa Mkoa kashindwa kuitisha mkutano ofisini kwake kusema habari ambazo hazihusiani na dini?
Kwa nini tunavunja separation of church and state?
Nimeona Magufuli kaanza hizi habari, sasa mkuu wa mkoa anamfuatisha.
Alikuwa anafundisha chekechea?ni mwalim mzuri sana amekua kwenye academics kwa muda mrefu
Well!Nadhani akijua maana ya overcapacity / undercapacity na optimum capacity asingeongelea haya ?
Kama kila siku zinajaa basi hazitoshi / hazikidhi mahitaji.....
Kama kipindi hiki zimejaa isivyo kawaida basi kuna mfumuko / tatizo ambalo inabidi ijulikane limesababishwa na nini ili kulitafutia ufumbuzi
Hata kuuana kuko dunia yote, hilo halihalalishi kuuana kwa sababu kuko dunia yote.religion and politics iko dunia yote