Pre GE2025 RC Chalamila akutana na Waandamanaji wa CHADEMA. Awatakia heri kwenye maandamano na kuwasihi kufikisha ujumbe walipokusudia

Pre GE2025 RC Chalamila akutana na Waandamanaji wa CHADEMA. Awatakia heri kwenye maandamano na kuwasihi kufikisha ujumbe walipokusudia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
vipi anawaambiaje wanajeshi wanaojiandaa kufanya usafi kutokana na amri yake?
 
Ukiwa punguani unaweza kuamini kuwa ni rahisi kumfyeka binadamu mwenzako.

Tatizo letu ni kukosa ujasiri. Tungekuwa majasiri, hakuna wa kutisha wala kuufyeka umma. Sanasana mambo yamgekuwa kinyume chake, watawala ndio wangekuwa wanauogopa umma.
Unachati badala ya kuandamana wewe nyumbu Toka humu
 
Chawa kazini
Chawa si ndio nyie hapa 👇
20240123_183939.jpg
20240123_183945.jpg
 
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amewatakia kila la heri wafuasi wa CHADEMA waliokutana maeneo ya Mbezi Mwisho stendi ya Magufuli kwa ajili ya kuanza maandamano ya amani na kuwataka kuulinda uwekezaji uliopo ndani ya Jiji hilo wasiuharibu na badala yake wafikishe ujumbe walioukusudia siku ya leo.

"Mnatakiwa kufikisha ujumbe pale mlipokusudia, serikali tuko na nyie na tunawatakia kila la heri, ninyi na mimi ni wana Dar es Salaam penye mzunguko mkubwa wa pesa, penye hospitali kubwa na uwekezaji mkubwa, maandamano yetu yanapaswa kulinda uwekezaji wote huo, Rais Samia na viongozi wote wamesema wacha watu waandamane," amesema Chalamila

View attachment 2881134
Sawa kabisa
 
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amewatakia kila la heri wafuasi wa CHADEMA waliokutana maeneo ya Mbezi Mwisho stendi ya Magufuli kwa ajili ya kuanza maandamano ya amani na kuwataka kuulinda uwekezaji uliopo ndani ya Jiji hilo wasiuharibu na badala yake wafikishe ujumbe walioukusudia siku ya leo.

"Mnatakiwa kufikisha ujumbe pale mlipokusudia, serikali tuko na nyie na tunawatakia kila la heri, ninyi na mimi ni wana Dar es Salaam penye mzunguko mkubwa wa pesa, penye hospitali kubwa na uwekezaji mkubwa, maandamano yetu yanapaswa kulinda uwekezaji wote huo, Rais Samia na viongozi wote wamesema wacha watu waandamane," amesema Chalamila

View attachment 2881134
Kinyonge Sana Sana
 
Naunga mkono hoja andamaneni kwa amani , endeleeni kutupa update
 
Niko kwenye msafara Najua mtakuja kuharibu maandamano na bila shaka mtajichanganya leo lazima nikuoe tu!
Thmekosa kazi za kufanya Hadi tuje kisukuma upepo? 🤪🤪

Tumieni akili kufikiria sio makanyagio
 
Mkuu wa Mkoa ile kauli yake ya kuwaita majeshi yote yaje yafanye usafi hawezi kuirudia tena maana jamaa waliona msizwa ameeadharau hadharani kabisaa akastuka..
 
Hongera waandanamaji wote, wametekeleza haki yao kisiasa
 
Back
Top Bottom