RC Chalamila: Alipouawa Afisa wa TRA patasafishwa

RC Chalamila: Alipouawa Afisa wa TRA patasafishwa

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Albert Chalamila amezungumzia kifo cha Mtumishi wa Mamala ya Mapato Tanzania (TRA) Amani Kamguna ambaye ameagwa Jumapili, Disemba 8 katika viwanja vya michezo vya TRA Kurasini Dar es salaam ambapo amesema kifo chake ni hasara kwa Familia na kwa Taifa huku akisema eneo palipofanyika tukio patasafishwa.

Akiongea wakati wakuaga mwili, RC Chalamila amesema "Kitendo hiki kilichotokea hakina maelezo mengi kwa sababu walijitambulisha kwamba wanafanyakazi TRA na yule Bwana akafunga vioo katika gari lake kwamba hashuki akatumia muda mwingi kuwaita wenzake na akapiga kelele kwamba anatekwa mwisho wa siku kikatokea hiki kilichotokea"

"Kamishna Jenerali amesema kwamba kuna Watu wanatoka nyumbani wakiwa wamejipanga kwamba watatii sheria na shuruti, mambo haya yatapatiwa majibu muda sio mrefu, hasara hii haina mbadala, ni hasara kwa Taifa na kwa familia yake"
View attachment 3172687
Jibu sahihi kwa matukio ya kuteka bado. Kama raia wa kawaida wataendelea kutekwa huku wakipiga kelele kuomba msaada. Wananchi wenye ndugu zao watajitoa mhanga tu kwa kufa au kunusuru. Hatukuwahi kuizoea hali hii. Serikali ikubali ushauri kufuta uovu huu. Tumeishi kwa amani sana miaka yote ya Nyerere, Mwinyi, Mkapa na Kikwete kwa kiasi. Hali iliharibika tangu wakati wa Mwamba Magufuli. Na sasa hali ni mbaya zaidi. Ni rahisi kutoka nyumbani lakini ni vigumu kurudi nyumbani. Na kibaya sasa hivi utekaji unafanyika kibabe, wazi wazi kama kukamata kuku wa kuchinja.
 
Wasafishe wasisafishe nfo hivyo..jamaa kaisha kufa.In two weeks atasahaulika...familia yake ndo itabaki na machungu.
Vijana & watu wazima [nimeona yule askari mwenye ndevu nyeupe aliyeenda kumteka wakili - ni mtu mzima kabisa]..tumieni akili - msikubali mtumike kama takataka - fuateni utaratibu la sivyo mtakufa au mtapata vilema - mtaacha wake zenu na watoto wenu kwenye shida.
Mkiwa kwenye yale magari msipate kiburi cha kujiona nyinyi ni miungu watu - mko immortal..mtakufa na kuumizwa..fuateni utaratibu.Msiibe haki za watu na kutumika kwa nia ovu. Mshahara wa dhambi ni mauti
 
KIFO NI KIFO TU......
1002336163.jpg
 
Hoja hii ya kwamba Watu hao walikuwa ni Watumishi wa TRA naona kama ni 'Cover Story' tu baada ya jaribio lao la kumteka huyo mtu kufeli. Wametunga stori hii ili kuwazuga watu wasijue dhamira halisi ya awali ya kumteka huyo mtu.
Gari ingewashwa moto yote , sawa akuna anayependa watu wafe ila na serikali ikomeshe vitendo viovu wapasuane tu.
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Albert Chalamila amezungumzia kifo cha Mtumishi wa Mamala ya Mapato Tanzania (TRA) Amani Kamguna ambaye ameagwa Jumapili, Disemba 8 katika viwanja vya michezo vya TRA Kurasini Dar es salaam ambapo amesema kifo chake ni hasara kwa Familia na kwa Taifa huku akisema eneo palipofanyika tukio patasafishwa.

Akiongea wakati wakuaga mwili, RC Chalamila amesema "Kitendo hiki kilichotokea hakina maelezo mengi kwa sababu walijitambulisha kwamba wanafanyakazi TRA na yule Bwana akafunga vioo katika gari lake kwamba hashuki akatumia muda mwingi kuwaita wenzake na akapiga kelele kwamba anatekwa mwisho wa siku kikatokea hiki kilichotokea"

"Kamishna Jenerali amesema kwamba kuna Watu wanatoka nyumbani wakiwa wamejipanga kwamba watatii sheria na shuruti, mambo haya yatapatiwa majibu muda sio mrefu, hasara hii haina mbadala, ni hasara kwa Taifa na kwa familia yake"
View attachment 3172687
Hivi pale alipotekwa Ali Kibao na kuuawa palisafishwa? Muda utatoa jibu sahihi maana Mungu anawaona.
 
Mambo mengine ni ya kujitakia tu. Mnaanzaje kumzingira mtu usiku wa saa tatu na lancruiser nyeupe kwa kisingizio eti cha kutaka kumkagua! Na kama mlikuwa mna mashaka naye, kwa nini hamkuwaita polisi waje wawasaidie?

Au ni kwa sababu mnatuona sisi wanancho ni makondoo, kwa hiyo tutakubali tu mtufanyie chochote mpendacho!
 
Ndugu RC hisia kwa kipindi hiki ni hatari sana

Hakuna kifo kikubwa na kidogo, tupambanie utaratibu mzur na uhai wa kila mwanachi, Dola sio ya kuringia hata siku moja, na tusikubali wananchi wakazoea shuruba za dola kwenye maisha yao...

Busara ni muhim sana kipindi hiki, lakini zaidi nadhan mkishauriana na Bashungwa litapatikana jambo la kufanya.
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Albert Chalamila amezungumzia kifo cha Mtumishi wa Mamala ya Mapato Tanzania (TRA) Amani Kamguna ambaye ameagwa Jumapili, Disemba 8 katika viwanja vya michezo vya TRA Kurasini Dar es salaam ambapo amesema kifo chake ni hasara kwa Familia na kwa Taifa huku akisema eneo palipofanyika tukio patasafishwa.

Akiongea wakati wakuaga mwili, RC Chalamila amesema "Kitendo hiki kilichotokea hakina maelezo mengi kwa sababu walijitambulisha kwamba wanafanyakazi TRA na yule Bwana akafunga vioo katika gari lake kwamba hashuki akatumia muda mwingi kuwaita wenzake na akapiga kelele kwamba anatekwa mwisho wa siku kikatokea hiki kilichotokea"

"Kamishna Jenerali amesema kwamba kuna Watu wanatoka nyumbani wakiwa wamejipanga kwamba watatii sheria na shuruti, mambo haya yatapatiwa majibu muda sio mrefu, hasara hii haina mbadala, ni hasara kwa Taifa na kwa familia yake"
View attachment 3172687
Siku ya msiba huo ,ahadi Huwa nyingi,ila mfuatiliaji wa hizi ahadi sasa
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Albert Chalamila amezungumzia kifo cha Mtumishi wa Mamala ya Mapato Tanzania (TRA) Amani Kamguna ambaye ameagwa Jumapili, Disemba 8 katika viwanja vya michezo vya TRA Kurasini Dar es salaam ambapo amesema kifo chake ni hasara kwa Familia na kwa Taifa huku akisema eneo palipofanyika tukio patasafishwa.

Akiongea wakati wakuaga mwili, RC Chalamila amesema "Kitendo hiki kilichotokea hakina maelezo mengi kwa sababu walijitambulisha kwamba wanafanyakazi TRA na yule Bwana akafunga vioo katika gari lake kwamba hashuki akatumia muda mwingi kuwaita wenzake na akapiga kelele kwamba anatekwa mwisho wa siku kikatokea hiki kilichotokea"

"Kamishna Jenerali amesema kwamba kuna Watu wanatoka nyumbani wakiwa wamejipanga kwamba watatii sheria na shuruti, mambo haya yatapatiwa majibu muda sio mrefu, hasara hii haina mbadala, ni hasara kwa Taifa na kwa familia yake"
View attachment 3172687
Chalamila ni Mbwa
 
Ndugu RC hisia kwa kipindi hiki ni hatari sana

Hakuna kifo kikubwa na kidogo, tupambanie utaratibu mzur na uhai wa kila mwanachi, Dola sio ya kuringia hata siku moja, na tusikubali wananchi wakazoea shuruba za dola kwenye maisha yao...

Busara ni muhim sana kipindi hiki, lakini zaidi nadhan mkishauriana na Bashungwa litapatikana jambo la kufanya.
Chalamila ni Mbwa
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Albert Chalamila amezungumzia kifo cha Mtumishi wa Mamala ya Mapato Tanzania (TRA) Amani Kamguna ambaye ameagwa Jumapili, Disemba 8 katika viwanja vya michezo vya TRA Kurasini Dar es salaam ambapo amesema kifo chake ni hasara kwa Familia na kwa Taifa huku akisema eneo palipofanyika tukio patasafishwa.

Akiongea wakati wakuaga mwili, RC Chalamila amesema "Kitendo hiki kilichotokea hakina maelezo mengi kwa sababu walijitambulisha kwamba wanafanyakazi TRA na yule Bwana akafunga vioo katika gari lake kwamba hashuki akatumia muda mwingi kuwaita wenzake na akapiga kelele kwamba anatekwa mwisho wa siku kikatokea hiki kilichotokea"

"Kamishna Jenerali amesema kwamba kuna Watu wanatoka nyumbani wakiwa wamejipanga kwamba watatii sheria na shuruti, mambo haya yatapatiwa majibu muda sio mrefu, hasara hii haina mbadala, ni hasara kwa Taifa na kwa familia yake"
View attachment 3172687
Mkuki kwa Nguruwe
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Albert Chalamila amezungumzia kifo cha Mtumishi wa Mamala ya Mapato Tanzania (TRA) Amani Kamguna ambaye ameagwa leo katika viwanja vya michezo vya TRA Kurasini Dar es salaam ambapo amesema kifo chake ni hasara kwa Familia na kwa Taifa huku akisema eneo palipofanyika tukio patasafishwa.

Akiongea leo December 08,2024, RC Chalamila amesema “Kitendo hiki kilichotokea hakina maelezo mengi kwa sababu walijitambulisha kwamba wanafanyakazi TRA na yule Bwana akafunga vioo katika gari lake kwamba hashuki akatumia muda mwingi kuwaita wenzake na akapiga kelele kwamba anatekwa mwisho wa siku kikatokea hiki kilichotokea”

“Kamishna Jenerali amesema kwamba kuna Watu wanatoka nyumbani wakiwa wamejipanga kwamba watatii sheria na shuruti, mambo haya yatapatiwa majibu muda sio mrefu, hasara hii haina mbadala, ni hasara kwa Taifa na kwa Familia yake”

View attachment 3172686
Je alipotekwa na kuuawa mzee Kibao huyu RC alifoka hivi?
Watu wote ni sawa!
Kama hitimisho lilikuwa "kifo ni kifo" na iwe hivyo kwa wote.
 
Back
Top Bottom