SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Bangi imeshamkataa analazimisha tu kuvuta,angalia midomo inavyomkauka kwa ndumu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Chalamila hapendi ukuu wa mkoa mnamlazimisha tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watu wanaoishi Dar it's an asset to the Government. Lakini kwa RC Chalamila yeye hao ni liability nakwamba anatamani kuongoza watu wasiomtamkia changamoto.
Ameelekeza wanaolerwa na jiji la DSM warejee kijijini. Anatamka maneno hayo kipindi ambacho wanaomiliki mwendokasi wamedharau na kuendelea kupunguza magari barabarani na foleni vituoni imezidi kuwa kubwa.
Mimi siyo mtabiri ila naona kila dalili wamiliki wa Mradi wa mwendokasi wakimtumbua Mkuu wa Mkoa au Waziri mwenye dhamana. Uzuri wa Tanzania Majungu unayaona na wakiamua kukukataa wanakuundia zengwe.
Ndugu yangu Chalamila , hapo ulipofika kukejeli wananchi wenye changamoto umefukuza watetezi wako. Discusion zinazoendelea mitandaoni soon zinakwenda kuibua mapicha picha ya changamoto za dar na kuzisambaza mitandaoni. Kabla utafanya ufuatiliaji mangwi utakuwa mkubwa watakuweka pembeni si kwa nia mbaya bali kutuliza upepo.
Pls my brother, ondoka ofisini katatue changamoto za wananchi. Tatua changamoto hata za usafiri tu kama umeshindwa za miundombinu........Dunia ya dot com siyo nzuri....
Umeona namna wizara ya afya ilivyotinhishwa kwenye mitandao.....hao watu wanaishi kutafuta mapungufu na kelele zao zikizidi lazima ziondoke na mwanasiasa. Mtangulizi wako alifika Mwanza bila hata kutarajia.
Achana na comedy kwenye crisis it will never support your startegies for so long........Wakuu wa wilaya na wakurugenzi hizi kauli za watu wa Dar waache kulalamika warudi vijijini ni walk up call for you.......Linda kibarua chake timiza wajibu
Acha mwamba utamuharibiaRais alishamuonya siku ile aliyomuapisha, alimwambia kwamba " mwanangu Chalamila natumaini sasa umekuwa." Inavyoonekana RC Chalamila bado hajaielewa kauli hii ya Rais.
Namuharibia Mimi au anajiharibia yeye mwemyewe??? Kwani Mimi ndiye niliyemtuma huyo Chalamila kuropoka ropoka hovyo kama mtu aliyelewa 'usembe."???Acha mwamba utamuharibia
Naibu yupi? Au ni huyu wa afya ndiye wanaelekea kufanana 😂.Sema nini, leo nimeangalia kichwa chake na kile cha naibu waziri yulee kama vinafanana hivi.
Bangi ni ngumu kuiacha.Chalamila ni mgonjwa anajiona comedian na sio kiongozi
HahahqHilo jiji analiweza FATMA MWASSA hao wengine ni porojo tu, tena Chalamila angepewa ukatibu mkuu CCM.
Ila kusema kweli Dar imefuruka sana,leo nimeingia Tanga na kutoka, Mji wa Tanga uko na full space with few people, no traffic jams!!Watu wanaoishi Dar it's an asset to the Government. Lakini kwa RC Chalamila yeye hao ni liability nakwamba anatamani kuongoza watu wasiomtamkia changamoto.
Ameelekeza wanaolerwa na jiji la DSM warejee kijijini. Anatamka maneno hayo kipindi ambacho wanaomiliki mwendokasi wamedharau na kuendelea kupunguza magari barabarani na foleni vituoni imezidi kuwa kubwa.
Mimi siyo mtabiri ila naona kila dalili wamiliki wa Mradi wa mwendokasi wakimtumbua Mkuu wa Mkoa au Waziri mwenye dhamana. Uzuri wa Tanzania Majungu unayaona na wakiamua kukukataa wanakuundia zengwe.
Ndugu yangu Chalamila , hapo ulipofika kukejeli wananchi wenye changamoto umefukuza watetezi wako. Discusion zinazoendelea mitandaoni soon zinakwenda kuibua mapicha picha ya changamoto za dar na kuzisambaza mitandaoni. Kabla utafanya ufuatiliaji mangwi utakuwa mkubwa watakuweka pembeni si kwa nia mbaya bali kutuliza upepo.
Pls my brother, ondoka ofisini katatue changamoto za wananchi. Tatua changamoto hata za usafiri tu kama umeshindwa za miundombinu........Dunia ya dot com siyo nzuri....
Umeona namna wizara ya afya ilivyotinhishwa kwenye mitandao.....hao watu wanaishi kutafuta mapungufu na kelele zao zikizidi lazima ziondoke na mwanasiasa. Mtangulizi wako alifika Mwanza bila hata kutarajia.
Achana na comedy kwenye crisis it will never support your startegies for so long........Wakuu wa wilaya na wakurugenzi hizi kauli za watu wa Dar waache kulalamika warudi vijijini ni walk up call for you.......Linda kibarua chake timiza wajibu
Chalamila anasema ukweli!!Chalamila ni mgonjwa anajiona comedian na sio kiongozi
Chalamila ndiyo mwenyewe, hata humu nakumbuka kuna watu walimuomba Mama tuletee Chalamila baada ya kumuona Kunenge kuna sehemu analega!!Hilo jiji analiweza FATMA MWASSA hao wengine ni porojo tu, tena Chalamila angepewa ukatibu mkuu CCM.
Lakini kwani kasema uwongo na kero za Dar jamani!!??Mtu kama chalamila mpuuzeni tu afya ya akili pale imezorota lakini tujiulize aliemteua na yeye zinamtosha kweli kiufupu pipa na mfuniko bidhaa moja
Ana hasira sana baada ya Chalamila kumuambia ukweli!!Kwani Mwanza siyo jiji?acha ushamba wewe,kama huna uwezo wa kununua gari daslam,afu unashinda kwenye folen ya mwendokasi shauri yako[emoji1787]
Tatizo ana mihemko mingiChalamila anasema ukweli!!
Hii ndio job description ya mkuu wa mkoa au?Watu wanaoishi Dar it's an asset to the Government. Lakini kwa RC Chalamila yeye hao ni liability nakwamba anatamani kuongoza watu wasiomtamkia changamoto.
Ameelekeza wanaolerwa na jiji la DSM warejee kijijini. Anatamka maneno hayo kipindi ambacho wanaomiliki mwendokasi wamedharau na kuendelea kupunguza magari barabarani na foleni vituoni imezidi kuwa kubwa.
Mimi siyo mtabiri ila naona kila dalili wamiliki wa Mradi wa mwendokasi wakimtumbua Mkuu wa Mkoa au Waziri mwenye dhamana. Uzuri wa Tanzania Majungu unayaona na wakiamua kukukataa wanakuundia zengwe.
Ndugu yangu Chalamila , hapo ulipofika kukejeli wananchi wenye changamoto umefukuza watetezi wako. Discusion zinazoendelea mitandaoni soon zinakwenda kuibua mapicha picha ya changamoto za dar na kuzisambaza mitandaoni. Kabla utafanya ufuatiliaji mangwi utakuwa mkubwa watakuweka pembeni si kwa nia mbaya bali kutuliza upepo.
Pls my brother, ondoka ofisini katatue changamoto za wananchi. Tatua changamoto hata za usafiri tu kama umeshindwa za miundombinu........Dunia ya dot com siyo nzuri....
Umeona namna wizara ya afya ilivyotinhishwa kwenye mitandao.....hao watu wanaishi kutafuta mapungufu na kelele zao zikizidi lazima ziondoke na mwanasiasa. Mtangulizi wako alifika Mwanza bila hata kutarajia.
Achana na comedy kwenye crisis it will never support your startegies for so long........Wakuu wa wilaya na wakurugenzi hizi kauli za watu wa Dar waache kulalamika warudi vijijini ni walk up call for you.......Linda kibarua chake timiza wajibu
Kabla ya kulaumu mtu mtazame kwanza kichwa chakeWatu wanaoishi Dar it's an asset to the Government. Lakini kwa RC Chalamila yeye hao ni liability nakwamba anatamani kuongoza watu wasiomtamkia changamoto.
Ameelekeza wanaolerwa na jiji la DSM warejee kijijini. Anatamka maneno hayo kipindi ambacho wanaomiliki mwendokasi wamedharau na kuendelea kupunguza magari barabarani na foleni vituoni imezidi kuwa kubwa.
Mimi siyo mtabiri ila naona kila dalili wamiliki wa Mradi wa mwendokasi wakimtumbua Mkuu wa Mkoa au Waziri mwenye dhamana. Uzuri wa Tanzania Majungu unayaona na wakiamua kukukataa wanakuundia zengwe.
Ndugu yangu Chalamila , hapo ulipofika kukejeli wananchi wenye changamoto umefukuza watetezi wako. Discusion zinazoendelea mitandaoni soon zinakwenda kuibua mapicha picha ya changamoto za dar na kuzisambaza mitandaoni. Kabla utafanya ufuatiliaji mangwi utakuwa mkubwa watakuweka pembeni si kwa nia mbaya bali kutuliza upepo.
Pls my brother, ondoka ofisini katatue changamoto za wananchi. Tatua changamoto hata za usafiri tu kama umeshindwa za miundombinu........Dunia ya dot com siyo nzuri....
Umeona namna wizara ya afya ilivyotinhishwa kwenye mitandao.....hao watu wanaishi kutafuta mapungufu na kelele zao zikizidi lazima ziondoke na mwanasiasa. Mtangulizi wako alifika Mwanza bila hata kutarajia.
Achana na comedy kwenye crisis it will never support your startegies for so long........Wakuu wa wilaya na wakurugenzi hizi kauli za watu wa Dar waache kulalamika warudi vijijini ni walk up call for you.......Linda kibarua chake timiza wajibu
Kumbuka aliwahi kuwa mwenyekiti wa ccmChalamila ni mgonjwa anajiona comedian na sio kiongozi
Hata Mwasa hana loloteHilo jiji analiweza FATMA MWASSA hao wengine ni porojo tu, tena Chalamila angepewa ukatibu mkuu CCM.
Ni mjinga sn hana tofauti na yule wa MbeyaBangi imeshamkataa analazimisha tu kuvuta,angalia midomo inavyomkauka kwa ndumu