RC Chalamila amechoka kukaa DSM, changamoto zimezidi anatamani kutua mzigo. Kila la kheri kwenye majukumu mapya

RC Chalamila amechoka kukaa DSM, changamoto zimezidi anatamani kutua mzigo. Kila la kheri kwenye majukumu mapya

Rais alishamuonya siku ile aliyomuapisha, alimwambia kwamba " mwanangu Chalamila natumaini sasa umekuwa." Inavyoonekana RC Chalamila bado hajaielewa kauli hii ya Rais.
Watu wanaoishi Dar it's an asset to the Government. Lakini kwa RC Chalamila yeye hao ni liability nakwamba anatamani kuongoza watu wasiomtamkia changamoto.

Ameelekeza wanaolerwa na jiji la DSM warejee kijijini. Anatamka maneno hayo kipindi ambacho wanaomiliki mwendokasi wamedharau na kuendelea kupunguza magari barabarani na foleni vituoni imezidi kuwa kubwa.

Mimi siyo mtabiri ila naona kila dalili wamiliki wa Mradi wa mwendokasi wakimtumbua Mkuu wa Mkoa au Waziri mwenye dhamana. Uzuri wa Tanzania Majungu unayaona na wakiamua kukukataa wanakuundia zengwe.

Ndugu yangu Chalamila , hapo ulipofika kukejeli wananchi wenye changamoto umefukuza watetezi wako. Discusion zinazoendelea mitandaoni soon zinakwenda kuibua mapicha picha ya changamoto za dar na kuzisambaza mitandaoni. Kabla utafanya ufuatiliaji mangwi utakuwa mkubwa watakuweka pembeni si kwa nia mbaya bali kutuliza upepo.

Pls my brother, ondoka ofisini katatue changamoto za wananchi. Tatua changamoto hata za usafiri tu kama umeshindwa za miundombinu........Dunia ya dot com siyo nzuri....

Umeona namna wizara ya afya ilivyotinhishwa kwenye mitandao.....hao watu wanaishi kutafuta mapungufu na kelele zao zikizidi lazima ziondoke na mwanasiasa. Mtangulizi wako alifika Mwanza bila hata kutarajia.

Achana na comedy kwenye crisis it will never support your startegies for so long........Wakuu wa wilaya na wakurugenzi hizi kauli za watu wa Dar waache kulalamika warudi vijijini ni walk up call for you.......Linda kibarua chake timiza wajibu
 
Chalamila ni mgonjwa anajiona comedian na sio kiongozi
Bangi ni ngumu kuiacha.
Jamaa anaongea utumbo mtupu.
Hajui anasimamia kitu gani.

Hajui anataka kusema noni.

Hajui hata Wadaslam wanataka nini.

Kwa kifupi ni sawa na mlevi anaogolea pombe
 
Watu wanaoishi Dar it's an asset to the Government. Lakini kwa RC Chalamila yeye hao ni liability nakwamba anatamani kuongoza watu wasiomtamkia changamoto.

Ameelekeza wanaolerwa na jiji la DSM warejee kijijini. Anatamka maneno hayo kipindi ambacho wanaomiliki mwendokasi wamedharau na kuendelea kupunguza magari barabarani na foleni vituoni imezidi kuwa kubwa.

Mimi siyo mtabiri ila naona kila dalili wamiliki wa Mradi wa mwendokasi wakimtumbua Mkuu wa Mkoa au Waziri mwenye dhamana. Uzuri wa Tanzania Majungu unayaona na wakiamua kukukataa wanakuundia zengwe.

Ndugu yangu Chalamila , hapo ulipofika kukejeli wananchi wenye changamoto umefukuza watetezi wako. Discusion zinazoendelea mitandaoni soon zinakwenda kuibua mapicha picha ya changamoto za dar na kuzisambaza mitandaoni. Kabla utafanya ufuatiliaji mangwi utakuwa mkubwa watakuweka pembeni si kwa nia mbaya bali kutuliza upepo.

Pls my brother, ondoka ofisini katatue changamoto za wananchi. Tatua changamoto hata za usafiri tu kama umeshindwa za miundombinu........Dunia ya dot com siyo nzuri....

Umeona namna wizara ya afya ilivyotinhishwa kwenye mitandao.....hao watu wanaishi kutafuta mapungufu na kelele zao zikizidi lazima ziondoke na mwanasiasa. Mtangulizi wako alifika Mwanza bila hata kutarajia.

Achana na comedy kwenye crisis it will never support your startegies for so long........Wakuu wa wilaya na wakurugenzi hizi kauli za watu wa Dar waache kulalamika warudi vijijini ni walk up call for you.......Linda kibarua chake timiza wajibu
Ila kusema kweli Dar imefuruka sana,leo nimeingia Tanga na kutoka, Mji wa Tanga uko na full space with few people, no traffic jams!!
 
Hilo jiji analiweza FATMA MWASSA hao wengine ni porojo tu, tena Chalamila angepewa ukatibu mkuu CCM.
Chalamila ndiyo mwenyewe, hata humu nakumbuka kuna watu walimuomba Mama tuletee Chalamila baada ya kumuona Kunenge kuna sehemu analega!!
 
Mtu kama chalamila mpuuzeni tu afya ya akili pale imezorota lakini tujiulize aliemteua na yeye zinamtosha kweli kiufupu pipa na mfuniko bidhaa moja
Lakini kwani kasema uwongo na kero za Dar jamani!!??
 
Kwani Mwanza siyo jiji?acha ushamba wewe,kama huna uwezo wa kununua gari daslam,afu unashinda kwenye folen ya mwendokasi shauri yako[emoji1787]
Ana hasira sana baada ya Chalamila kumuambia ukweli!!
 
Kaka yake si yule Naibu kule kwenye Panadol.
 
Watu wanaoishi Dar it's an asset to the Government. Lakini kwa RC Chalamila yeye hao ni liability nakwamba anatamani kuongoza watu wasiomtamkia changamoto.

Ameelekeza wanaolerwa na jiji la DSM warejee kijijini. Anatamka maneno hayo kipindi ambacho wanaomiliki mwendokasi wamedharau na kuendelea kupunguza magari barabarani na foleni vituoni imezidi kuwa kubwa.

Mimi siyo mtabiri ila naona kila dalili wamiliki wa Mradi wa mwendokasi wakimtumbua Mkuu wa Mkoa au Waziri mwenye dhamana. Uzuri wa Tanzania Majungu unayaona na wakiamua kukukataa wanakuundia zengwe.

Ndugu yangu Chalamila , hapo ulipofika kukejeli wananchi wenye changamoto umefukuza watetezi wako. Discusion zinazoendelea mitandaoni soon zinakwenda kuibua mapicha picha ya changamoto za dar na kuzisambaza mitandaoni. Kabla utafanya ufuatiliaji mangwi utakuwa mkubwa watakuweka pembeni si kwa nia mbaya bali kutuliza upepo.

Pls my brother, ondoka ofisini katatue changamoto za wananchi. Tatua changamoto hata za usafiri tu kama umeshindwa za miundombinu........Dunia ya dot com siyo nzuri....

Umeona namna wizara ya afya ilivyotinhishwa kwenye mitandao.....hao watu wanaishi kutafuta mapungufu na kelele zao zikizidi lazima ziondoke na mwanasiasa. Mtangulizi wako alifika Mwanza bila hata kutarajia.

Achana na comedy kwenye crisis it will never support your startegies for so long........Wakuu wa wilaya na wakurugenzi hizi kauli za watu wa Dar waache kulalamika warudi vijijini ni walk up call for you.......Linda kibarua chake timiza wajibu
Hii ndio job description ya mkuu wa mkoa au?

Mkuu tuletee JD ya mkuu wa mkoa hapa
 
Watu wanaoishi Dar it's an asset to the Government. Lakini kwa RC Chalamila yeye hao ni liability nakwamba anatamani kuongoza watu wasiomtamkia changamoto.

Ameelekeza wanaolerwa na jiji la DSM warejee kijijini. Anatamka maneno hayo kipindi ambacho wanaomiliki mwendokasi wamedharau na kuendelea kupunguza magari barabarani na foleni vituoni imezidi kuwa kubwa.

Mimi siyo mtabiri ila naona kila dalili wamiliki wa Mradi wa mwendokasi wakimtumbua Mkuu wa Mkoa au Waziri mwenye dhamana. Uzuri wa Tanzania Majungu unayaona na wakiamua kukukataa wanakuundia zengwe.

Ndugu yangu Chalamila , hapo ulipofika kukejeli wananchi wenye changamoto umefukuza watetezi wako. Discusion zinazoendelea mitandaoni soon zinakwenda kuibua mapicha picha ya changamoto za dar na kuzisambaza mitandaoni. Kabla utafanya ufuatiliaji mangwi utakuwa mkubwa watakuweka pembeni si kwa nia mbaya bali kutuliza upepo.

Pls my brother, ondoka ofisini katatue changamoto za wananchi. Tatua changamoto hata za usafiri tu kama umeshindwa za miundombinu........Dunia ya dot com siyo nzuri....

Umeona namna wizara ya afya ilivyotinhishwa kwenye mitandao.....hao watu wanaishi kutafuta mapungufu na kelele zao zikizidi lazima ziondoke na mwanasiasa. Mtangulizi wako alifika Mwanza bila hata kutarajia.

Achana na comedy kwenye crisis it will never support your startegies for so long........Wakuu wa wilaya na wakurugenzi hizi kauli za watu wa Dar waache kulalamika warudi vijijini ni walk up call for you.......Linda kibarua chake timiza wajibu
Kabla ya kulaumu mtu mtazame kwanza kichwa chake
 
Back
Top Bottom