milele amina
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 6,045
- 8,080
- Thread starter
- #141
Hali imepelekea wanaostahili kulazwa KCMC wanauguziwa vichochoroni. Ameumia staff mkubwa kwa ajali kavunjika mguu, hapa mjini lakini kakubali kwenda tibiwa BOMA, kalazwa chimba cha uwani na hataki kusikia neno KCMC.
Hii ni fedheha kwa hospitali yetu. Walio izunguka ni mapato ya kiasi gani yanapotea?
Na hali ikiendelea hivi, ipo siku patabaki majengo bila wagonjwa. Lau kama ndio lengo la mkurugenzi wa KCMC Mr, Masenga ajuwe limefikia 95% ya mafanikio. Lkn kama siyo lengo kutoa kitengo cha utabibu kibakie chuo pekee, namsihi achukuwe hatua za haraka mno. Laptop walizo nazo wanachuo wodini ni za kuchati muda wote, na baadae wanaenda kudanga Mimi'z, na kwenye Virokonya vya jirani, tena kwa kuwatapeli wazazi wao ety, kuna topic natakiwa nii downlood toka chuo flani america ama ulaya wazazi wanaenda kukopa kumbe hakuna chochote wanaibiwa.
Mfano Rafiki yangu nahifadhi jina, bint yake alipata ajali Dar, wakati ni mwanachuo KCMC wakati mchana wake aliwasiliana nae kumjulia hali na kamwambia yuko darasani KCMC.
Hii ni fedheha kwa hospitali yetu. Walio izunguka ni mapato ya kiasi gani yanapotea?
Na hali ikiendelea hivi, ipo siku patabaki majengo bila wagonjwa. Lau kama ndio lengo la mkurugenzi wa KCMC Mr, Masenga ajuwe limefikia 95% ya mafanikio. Lkn kama siyo lengo kutoa kitengo cha utabibu kibakie chuo pekee, namsihi achukuwe hatua za haraka mno. Laptop walizo nazo wanachuo wodini ni za kuchati muda wote, na baadae wanaenda kudanga Mimi'z, na kwenye Virokonya vya jirani, tena kwa kuwatapeli wazazi wao ety, kuna topic natakiwa nii downlood toka chuo flani america ama ulaya wazazi wanaenda kukopa kumbe hakuna chochote wanaibiwa.
Mfano Rafiki yangu nahifadhi jina, bint yake alipata ajali Dar, wakati ni mwanachuo KCMC wakati mchana wake aliwasiliana nae kumjulia hali na kamwambia yuko darasani KCMC.