RC Chalamila asema mjamzito anayegoma kununua gloves akajifungulie nyumbani. Hafai kuendelea kubaki madarakani

RC Chalamila asema mjamzito anayegoma kununua gloves akajifungulie nyumbani. Hafai kuendelea kubaki madarakani

Mpaka kufikia kumpigia Mh, lengo lilikuwa ni kuchongea uongozi kwa Mamlaka.

Kama ingekuwa ni kupata ufafanuzi mbona hapo hapo hospitalini kuna kuwa na madawati ya malalamiko na maelekezo.

Ni muhimu watu wetu waelewe uhalisia juu ya huduma na namna ya kuchangia na sio porojo za bure.

Same mgonjwa akienda MNH akiambiwa alipie wala hapigi simu kwa mkuu wa Mkoa, why Temeke?!
Shida wao kwenye majukwaa wanasema ni bure kabisa.
 
Siku zote ukweli huwa unajitenga na uongo, hata kama itachukua miaka 100.

Chalamila mtamnanga sana, lakini kaongea ukweli na uhalisia wa maisha ulivyo huko mahospitalini..
 
Nadhani hajawadhalilisha wanyarukolo. Nadhani wakulaumiwa ni Chuga.. RC alikuwa ameletewa vivutio vya Arusha akavitumia vizuri akavuta. Ndio maana akatoka na ngoma hiyo daadaadeki
 
Back
Top Bottom