Rais akikosea anawajibishwa na nani??Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila awashangaa wanaotaka Tume huru ya Uchaguzi isiwe chini ya Rais ama Rais asiwe na Mamlaka na Tume hiyo.
Hakuna tume itazaliwa bila Rais, mtu wa tume akikosea atawajibishwa na nani? Hakuna uhuru usio na mipaka, hata hapa DSM baadhi mmewapa qatoro uhuru wamekuwa mashoga huru. Amesema RC Chalamila
View attachment 3004340
Muda wote imekuwa chini ya rais? Nini tumepata?Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila awashangaa wanaotaka Tume huru ya Uchaguzi isiwe chini ya Rais ama Rais asiwe na Mamlaka na Tume hiyo.
Hakuna tume itazaliwa bila Rais, mtu wa tume akikosea atawajibishwa na nani? Hakuna uhuru usio na mipaka, hata hapa DSM baadhi mmewapa qatoro uhuru wamekuwa mashoga huru. Amesema RC Chalamila
View attachment 3004340
Watu kama Chalamila, maslahi yao ni kuongea kile kinachompendeza Mkuu wake kwa sababu tumbo lake ndiyo linategemea hapo na mdomo wake lazima uelekeze huko. Ni kama Mbwa, yaani "lap dog"Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila awashangaa wanaotaka Tume huru ya Uchaguzi isiwe chini ya Rais ama Rais asiwe na Mamlaka na Tume hiyo.
Hakuna tume itazaliwa Rais asiwe na mamlaka nayo, itakuwa siyo nchi
Mtu wa tume akikosea atawajibishwa na nani? Hakuna uhuru usio na mipaka, hata hapa Dar baadhi ya wazazi mmewapa watoro uhuru leo wamekuwa mashoga huru. Amesema RC Chalamila
View attachment 3004340
Uchawa unawafanya hata wasomi waonekane kama mbumbumbu wa mitaaniMkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila awashangaa wanaotaka Tume huru ya Uchaguzi isiwe chini ya Rais ama Rais asiwe na Mamlaka na Tume hiyo.
Hakuna tume itazaliwa Rais asiwe na mamlaka nayo, itakuwa siyo nchi. Mtu wa tume akikosea atawajibishwa na nani? Hakuna uhuru usio na mipaka, hata hapa Dar baadhi ya wazazi mmewapa watoro uhuru leo wamekuwa mashoga huru. Amesema RC Chalamila
View attachment 3004340
Chalamila ni chizi haswa, hajui hata kama kuna mahakamaMkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila awashangaa wanaotaka Tume huru ya Uchaguzi isiwe chini ya Rais ama Rais asiwe na Mamlaka na Tume hiyo.
Hakuna tume itazaliwa Rais asiwe na mamlaka nayo, itakuwa siyo nchi. Mtu wa tume akikosea atawajibishwa na nani? Hakuna uhuru usio na mipaka, hata hapa Dar baadhi ya wazazi mmewapa watoro uhuru leo wamekuwa mashoga huru. Amesema RC Chalamila
View attachment 3004340
Na Katiba mpya bora ikishapatikana ππRais akikosea anawajibishwa na nani??
Adabu na adhabu itatolewa na mahakamamh! kwani hawawezi kuadabishwa na mwanasheria mkuu ama chombo cha sheria chochote..?
Chalamila naomba jibu nchi kama Kenya Tume ipo chini ya nani, usipojibu naomba rudi kwenu Iringa Dar imekushindaMkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila awashangaa wanaotaka Tume huru ya Uchaguzi isiwe chini ya Rais ama Rais asiwe na Mamlaka na Tume hiyo.
Hakuna tume itazaliwa Rais asiwe na mamlaka nayo, itakuwa siyo nchi. Mtu wa tume akikosea atawajibishwa na nani? Hakuna uhuru usio na mipaka, hata hapa Dar baadhi ya wazazi mmewapa watoro uhuru leo wamekuwa mashoga huru. Amesema RC Chalamila
View attachment 3004340