Pre GE2025 RC Chalamila atangaza uuzaji viwanja Mabwepande-Kinondoni

Pre GE2025 RC Chalamila atangaza uuzaji viwanja Mabwepande-Kinondoni

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hongera sana, mnanunua shilingi ngapi sasa hivyo viwanja?
Manispaa Kinondoni wametoa Tangazo. Viwanja vinauzwa tarehe 17 Feb 2025 kupitia mfumo wa Tausi. Bei ni shilingi elfu 15 ( makazi), elfu 17 (makazi na biashara)na elfu 20 (biashara)- Kwa square meter moja.
 
Back
Top Bottom