Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waridhike...Sababu kubwa ni udikteta wa jiwe basi.
msigwa kakaliwa vibaya na papaa steve nyerereMsigwa atapumuwa sasa!
Jamaa ana sisasa za maji taka sana ..katawaliwa na mihemko.Mkuu wa mkoa wa Mbeya Albert Chalamila amesema anatengua nia yake ya kugombea ubunge katika jimbo la Iringa mjini na kwamba ataendelea kuwatumikia wana Mbeya.
Chalamila amesema baada ya kumsikiliza Rais Magufuli jana kwa tahadhari aliyotoa kwa wateule wanaoomba ruhusa, alimwelewa vizuri na ameamua kubadili gia angani.
Source: Azam tv
Maendeleo hayana vyama!
Vidume vya Iringa haviwezi chagua sesteve!msigwa kakaliwa vibaya na papaa steve nyerere
Kaogopa kupewa ruhusa ya moja kwa moja.Magufuli anafanya sio powa.Mkuu wa mkoa wa Mbeya Albert Chalamila amesema anatengua nia yake ya kugombea ubunge katika jimbo la Iringa mjini na kwamba ataendelea kuwatumikia wana Mbeya.
Chalamila amesema baada ya kumsikiliza Rais Magufuli jana kwa tahadhari aliyotoa kwa wateule wanaoomba ruhusa, alimwelewa vizuri na ameamua kubadili gia angani.
Source: Azam tv
Maendeleo hayana vyama!