Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Daaah kweli akutukanae[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila umelenga penyewe sio uongo
Nilimsikiliza zaidi ya mara mbili., ila nikagundua siyo yeye ni ulevi tu na shibe. Kiongozi mwenye busara na hekima hawez kuongea vile as if anaongea na mbwa wake. Wawe wanafikiri kwanza kabla yakuongea, maana wapo hapo kwa mda tu nasiyo milele.Hello JF,
Natuma salamu na onyo kali na tahadhari kali na ya uhakika kwa RC wa DSM Chalamila chunga mdomo ni kawaida baada ya haya majigambo December hutafika, ukiwa kwenye nafasi hio hapo ulipo maisha ni zaidi ya hayo.
Hata nyegere huchokoza kibwege ndio aweze kupata mlo, nyuki wakali lakini nyegere awapapasa na kuwala nyuki wakali na asali yao.
DSM ni mkoa unaohusudiwa na sasa haina shaka Chalamila aanza kuvembewa.
Wakati ukuta.
Inshallah [emoji120][emoji120][emoji120]
Wabillah Tawfiq
Hold my πΊ
Kumekucha, wewe lazima utakuwa dalali wa soko la Mahakama ya Ndizi.Hello JF,
Natuma salamu na onyo kali na tahadhari kali na ya uhakika kwa RC wa DSM Chalamila chunga mdomo ni kawaida baada ya haya majigambo December hutafika, ukiwa kwenye nafasi hio hapo ulipo maisha ni zaidi ya hayo.
Hata nyegere huchokoza kibwege ndio aweze kupata mlo, nyuki wakali lakini nyegere awapapasa na kuwala nyuki wakali na asali yao.
DSM ni mkoa unaohusudiwa na sasa haina shaka Chalamila aanza kuvembewa.
Wakati ukuta.
Inshallah πππ
Wabillah Tawfiq
Wengine hatukumsikia, alisemaje?Nilimsikiliza zaidi ya mara mbili., ila nikagundua siyo yeye ni ulevi tu na shibe. Kiongozi mwenye busara na hekima hawez kuongea vile as if anaongea na mbwa wake. Wawe wanafikiri kwanza kabla yakuongea, maana wapo hapo kwa mda tu nasiyo milele.