RC Chalamila chunga mdomo ni huruma tu imekuweka hapo

RC Chalamila chunga mdomo ni huruma tu imekuweka hapo

Kuwa Kocha wa mpira ndio uhuni.

Kabla hajaingia kwenye siasa Chalamila alikuwa lecture
Ni Lecturer we mjinga, na usipende kuongea usivyovijua... ID zisikupe jeuri, wengine unaobishana nao humu ni mawaziri, ni wabunge, wakurugenzi wa mashirika, mabalozi na hata marais... tulizaga kiburi na usikilize wakubwa!

HUYO NI MUHUNI TU! take it from me! Kama unajua zaidi endelea kuchongoa mdomo na amini unachokiamini wewe 😊
 
Halafu ndio wanaopandisha bei za bidhaa.

Hawafai hao.

Watolewe tu kwa Kweli.

Ila ajue lugha ya kuongea nao kama kiongozi.
Inabidi uwe mkorofi hawana akili. Walimuua yule prof hawa wajinga kisa lumbesa. Chalamila anajua nyeti nyingi mno. Yaani awaangamizw kabisa. Haiwezekani wajinga ka hao waorganize mauaji ya msomi then wapandishe bei za mazao ovyo.
 
Binafsi NIKIFIRIA TOPE NA UCHAFU pale soko la NDIZI sioni ubaya wowote wa UKALI na lugha inaliyotumika na NASEMA Huyu NDO SAWA maneno yake YAENDANE NA VITENDO .

Baada ya HAPO mzee wangu CHALAMILA hamia MBAGALA lete lugha hiyohiyo IENDANE na vitendo TUACHE UCHAFU kwani USAFI umetufanya nn?
 
Back
Top Bottom