RC Chalamila: Hospitali ya Muhimbili itabomolewa yote na kujengwa upya kwa msaada wa Korea Kusini alipokwenda Rais Samia

Yeye anajua watu ni wajinga hivyo watakuwa wamesahau. Huu ujinga ualinzishwa na dhalimu, magu maana ndio alikuwa anakwenda hadi kufungua miradi ya zamani, kisha anajifanya imejengwa wakati wake.
matusi ya mpumbavu haya,waharifu mnakazi sana,endeleeni kuharibu tu.
 
Hili la hospitali nalo lilikuwemo kwenye "mipango", au limeibuka tu kwa furaha ya mtu mmoja?
 
MOI, Na JKCI siyo sehemu ya hospital ya taifa Muhimbili..
mgab
 
Ni muhimbili sio MOI wala JKCI
Uhimbili kama Muhimbili kuna taasisi 3
1. Muhimbili National Hospital
2. MOI
3. JKCI
 
Hapa pesa zitapigwa haswa, kwanini wasijenge mpya Dodoma?
 
Huyu naye kichwa kama kitunguu akaage kimya tu avute bangi zake. Hiyo habari ni ya kitambo tu kabla ya hiyo safari.
Kuna Jamaa alikuaga work mate wangu nilikuaga nachukulia poaa sana Kila alisemalo kisa na maana Kila wakati kichwa chake kilikua na chembe za alcohol,sio mlevi ila nimnywaji. Kila akitoa point akili yangu inajibu kausha pombe hiyo imeongea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…