RC Chalamila: Kujifanya wanasheria pamoja na kupenda kiingereza kunakwamisha maendeleo ya mkoa wa Kagera

RC Chalamila: Kujifanya wanasheria pamoja na kupenda kiingereza kunakwamisha maendeleo ya mkoa wa Kagera

Kingereza kinazuiaje maendeleo?

Yeye ni mkuu wa mkoa...Stendi ya Bukoba ni majanga..ashawahi itembelea akaona matatizo yake..

Yaan mtu unaletwa uongoze mkoa unaanza maneno na kejeli...solve matatizo ya mkoa hasa hapo Bukoba...mji barabara zake mbovu, stendi ni ya matope na kero nyingine kibaoo

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Ametaka kusolve ndio wanamletea ujuaji. Kaamua kuwaanika
 
Bukoba ni wajuaji na wabinafsi wakutupwa,kaja DC Machalli kusimamia sheria sahivi wanamchukia balaaa wanaftinisha na chama afukuzwe kazi
 
Hapo ndo mnapofweiliii in haya's voice
Wahaya bhana! Wakumbuke kuwa bila kuruhusu mwingiliano wa watu mbalimbali hawawezi kuwa na maendeleo! Ujuaji uko damuni hawa watu! Ni kama waha mji wa kigoma utafikiri ni mtaa wa buza!
 
Serikali imeharobu soko la kahawa halafu mnawakejeli wahaya, pumbavu zenu
 
Serikali imeharobu soko la kahawa halafu mnawakejeli wahaya, pumbavu zenu
Cheki sasa ulivo kiazii hauutaki ukweli wewe mhaya! Vipi majirani zenu Wasukuma zao la pamba si lishaharibika pia mbona wao wanapambana na mikoa yao imechangamka kila sekta japo umasikini upo!
 
NBS wanatuambia Bukoba kuna umaskini uliokithiri

Mkuu wa Mkoa anatuambia Bukoba hakuna maendeleo sababu ya ujuaji mwingi..

Wahaya wa JF wanatuambia Bukoba ni HEAVEN 😂😂😂
 
View attachment 2344085

Hayo ameyasema wakati wa kikao cha ndani cha siasa kilichohudhuriwa na makamu mwenyekiti wa CCM bara bwana Kinana.

===

“Mkoa huu hauendelei kwa sababu nyingi, ila sababu kubwa ni hata ninyi ndugu zangu wahaya, wanyambo mnaoishi hapa kwa kweli kuna muda bado hatujajitambua kwamba tupo kwenye ushindani.”

“Tukipita hapa hata siku za kawaida mpaka saa 3 maduka hayajafunguliwa. Sasa unajiuliza, duka linafunguliwa saa tatu. Inamaana mnalala sana au mnafanyaje? Sasa na ninyi mbadilike, fungueni duka mapema ili tuingie kwenye ushindani.”

“Jambo lingine linalokwamisha mkoa huu pia Mhe. Makamu mwenyekiti, Kila mmoja hapa kwenye mkoa huu huwa ni mwanasheria, mnapenda sana kubishana. Eeeeh…Mambo mengi wanapenda kiingereza kingi kingiii, sasa naomba niwaambie, sitaki kiingereza waa sitaki makaratasi”

“Nataka namna gani utakavyo tumia elimu yako kuibadilisha kuwa maendeleo kwa wanakagera. Basi.”
Huyu ni mpumbavu sana na ngoja fombo inakuja
 
View attachment 2344085

Hayo ameyasema wakati wa kikao cha ndani cha siasa kilichohudhuriwa na makamu mwenyekiti wa CCM bara bwana Kinana.

===

“Mkoa huu hauendelei kwa sababu nyingi, ila sababu kubwa ni hata ninyi ndugu zangu wahaya, wanyambo mnaoishi hapa kwa kweli kuna muda bado hatujajitambua kwamba tupo kwenye ushindani.”

“Tukipita hapa hata siku za kawaida mpaka saa 3 maduka hayajafunguliwa. Sasa unajiuliza, duka linafunguliwa saa tatu. Inamaana mnalala sana au mnafanyaje? Sasa na ninyi mbadilike, fungueni duka mapema ili tuingie kwenye ushindani.”

“Jambo lingine linalokwamisha mkoa huu pia Mhe. Makamu mwenyekiti, Kila mmoja hapa kwenye mkoa huu huwa ni mwanasheria, mnapenda sana kubishana. Eeeeh…Mambo mengi wanapenda kiingereza kingi kingiii, sasa naomba niwaambie, sitaki kiingereza waa sitaki makaratasi”

“Nataka namna gani utakavyo tumia elimu yako kuibadilisha kuwa maendeleo kwa wanakagera. Basi.”
Naunga mkono hoja wabaya wanapenda sana kesi na wengi ni matapeli.ukitaka kutapeliwa fanya biashara na mbaya utakuwa tu.whaya bla bla nyingi sana.
 
Kawaeleza ukweli haiwezekani biashara mnafungua saa nne ni uzembe uliopitiliza na kujifanya mnajua kumbe hamna kitu
Hiyo tabia ya kufungua biashara saa tatu pia nilikutana nayo kwa ndugu zetu wa Kigoma
 
Back
Top Bottom