RC Chalamila: Kujifanya wanasheria pamoja na kupenda kiingereza kunakwamisha maendeleo ya mkoa wa Kagera

RC Chalamila: Kujifanya wanasheria pamoja na kupenda kiingereza kunakwamisha maendeleo ya mkoa wa Kagera

Kingereza kinazuiaje maendeleo?

Yeye ni mkuu wa mkoa...Stendi ya Bukoba ni majanga..ashawahi itembelea akaona matatizo yake..

Yaan mtu unaletwa uongoze mkoa unaanza maneno na kejeli...solve matatizo ya mkoa hasa hapo Bukoba...mji barabara zake mbovu, stendi ni ya matope na kero nyingine kibaoo

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Ili usolve tatizo si lazima ujue chanzo? Ndo kasema chanzo ni nn nasasa ameomba wakazi waache hayo mazoea
 
Kagera tunazalisha sukari wananchi wanauziwa kwa shs 3000 kwa kilo sawa na wananchi wa Dareslaam.
Saruji inayozalishwa Dareslaam wana Dar wanauziwa kwa shs 14000 kwa mfuko wa kilo 50 huku wananchi Kagera wakiuziwa kwa shs 23000/kwa mfuko wa kilo 50.Hapo wachumi tudadavulie economic rationale.

Wakati mwananchi wa Kagera akipambana kumalizia nyumba moja, mkazi wa Daresalaam kisha jenga mbili kwa ghalama ili ile.
Is there any fairness principle really?

Wakati mikoa ilioko pembezoni na mipakani inatakiwa kufaidika kwa kupata fursa ya kununua bidhaa kutoka nchi jirani kwa mujibu wa sera ya biashara ya Afrika mashariki, huku Kagera ni kinyune kutoka Bukoba mjini kwenda mpakani mwa Uganda kuna vizuizi zaidi ya vitano ambavyo ni kikwazo kwa ustawi wa mazingira ya biashara mkoani Kagera.
Mwananchi ananyanganywa kilo 2 za sukari kwenye kizuizi kwa kisingizio ha kulinda viwanda vya ndani?
Tujiulize kwa nini kwa jirani sukari ni bei nafuu na kwetu ni bei juu?
Wachumi wetu tusaidieni tuelewe tuna kwama wapi?


Tunapowanyooshea vidole wananchi wa Kagera tuangalie upande mwingine wa shillingi na hasa kuhusu sera na dhana nzina ya utawala bora.
Achana na hao watu...wanachukia wahaya from nowhere..

Ndo shinda ya Tz watu wenye mafanikio na akili kubwa huchukiwa na jamii weak..mara wajuaji etc

Lakin ukifanya analysis hiz chuki zinaathiri nchi nzima kiuchumi ndo maana bado nchi yetu maskini hadi leo..
Imagine mipaka minne ya kagera ingetumiwa vzr tungekuwa wap kama nchi
 
Ili usolve tatizo si lazima ujue chanzo? Ndo kasema chanzo ni nn nasasa ameomba wakazi waache hayo mazoea
Kwa hiyo kujua kingereza kunazui Bukoba kujengwa stendi ya kisasa...

Stendi za dom, dar, nk zimejengwa kwa sababu watu wake hawajui kingereza...


CCM haipendi wasomi na watu wa kureason Ndo maana inapata shida sana kagera
 
Achana na hao watu...wanachukia wahaya from nowhere..

Ndo shinda ya Tz watu wenye mafanikio na akili kubwa huchukiwa na jamii weak..mara wajuaji etc

Lakin ukifanya analysis hiz chuki zinaathiri nchi nzima kiuchumi ndo maana bado nchi yetu maskini hadi leo..
Imagine mipaka minne ya kagera ingetumiwa vzr tungekuwa wap kama nchi
Hivi nyinyi mnamafanikio gani? Kwanza mshukuru wamisionari maana mngekuwa kama makondoo! Kelele sana lakini matokeo zero!
 
Wahaya ni shidaaaaaaaaaaaaaaaa
Kule mkiwa na mashamba jirani
Ukachoma Magugu shambani kwako upepo ukatokea ukapeperusha majivu kidogo yakaenda kutua kwenye matawi ya migomba ya shamba la jirani yako hiyo kesi ujiandae utapelekwa hadi mahakama kuu majivu yako ya me trespass kutoka shambani kwako kwenda shamba lake.Mtanuniana na mwaweza musiongee kama majirani tena milele.Kisa majivu
 
Kingereza kinazuiaje maendeleo?

Yeye ni mkuu wa mkoa...Stendi ya Bukoba ni majanga..ashawahi itembelea akaona matatizo yake..

Yaan mtu unaletwa uongoze mkoa unaanza maneno na kejeli...solve matatizo ya mkoa hasa hapo Bukoba...mji barabara zake mbovu, stendi ni ya matope na kero nyingine kibaoo

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Huku ni shidaa, Baraza la madiwani halifikii muafaka kwenye miradi ya maendeleo, kila kukicha ni mapingamizi mahakamani, so sad
 
Hivi nyinyi mnamafanikio gani? Kwanza mshukuru wamisionari maana mngekuwa kama makondoo! Kelele sana lakini matokeo zero!
Unataka kujua mafanikio ya wanaume? Unataka kuolewa sio...

Anyway sipendi kutukana watu but unauliza maswali ya kijinga...nenda Huko vijijini kwao..
 
Huku ni shidaa, Baraza la madiwani halifikii muafaka kwenye miradi ya maendeleo, kila kukicha ni mapingamizi mahakamani, so sad
Sasa huyo chalamila atumie ukuu wake hapo asolve...

Akishindwa nitamuona weak..anayejificha kwenye maneno na kuogopa wahaya
 
Huyu ni mwe
View attachment 2344085

Hayo ameyasema wakati wa kikao cha ndani cha siasa kilichohudhuriwa na makamu mwenyekiti wa CCM bara bwana Kinana.

===

“Mkoa huu hauendelei kwa sababu nyingi, ila sababu kubwa ni hata ninyi ndugu zangu wahaya, wanyambo mnaoishi hapa kwa kweli kuna muda bado hatujajitambua kwamba tupo kwenye ushindani.”

“Tukipita hapa hata siku za kawaida mpaka saa 3 maduka hayajafunguliwa. Sasa unajiuliza, duka linafunguliwa saa tatu. Inamaana mnalala sana au mnafanyaje? Sasa na ninyi mbadilike, fungueni duka mapema ili tuingie kwenye ushindani.”

“Jambo lingine linalokwamisha mkoa huu pia Mhe. Makamu mwenyekiti, Kila mmoja hapa kwenye mkoa huu huwa ni mwanasheria, mnapenda sana kubishana. Eeeeh…Mambo mengi wanapenda kiingereza kingi kingiii, sasa naomba niwaambie, sitaki kiingereza waa sitaki makaratasi”

“Nataka namna gani utakavyo tumia elimu yako kuibadilisha kuwa maendeleo kwa wanakagera. Basi.”
Huyu ni. Mwehu,Wachaga ni watata pia,mbona kwao kumeendelea,
Kizungu na haiba ya watu inazuia vipi maendeleo ya mkoa?waziri wa tamisemi sio muhaya,katibu sio muhaya,wakuu wa mikoa waliopita sio wahaya,sheria zipo,kwanini hazifuatwi,katika kujenga stend,watu wa ccm walipinga kwa vile halmashauri ilikuwa chini ya upinzani,wakaweka figisu kibao!hapo kinacho kwamisha ni Siasa kuingilia maendeleo,ccm imefanya watu wawe kama mazombi,wapo tayari waishi kwenye shida mradi usijengwe kwa vile tu sifa zitaenda kwa watu wasio wa ccm!Siasa chafu za ccm ndio chanzo,meya anapanga miradi,inafanyiwa figisu na mkuu wa wilaya mkoa,kwa maagizo kutoka juu,
 
View attachment 2344085

Hayo ameyasema wakati wa kikao cha ndani cha siasa kilichohudhuriwa na makamu mwenyekiti wa CCM bara bwana Kinana.

===

“Mkoa huu hauendelei kwa sababu nyingi, ila sababu kubwa ni hata ninyi ndugu zangu wahaya, wanyambo mnaoishi hapa kwa kweli kuna muda bado hatujajitambua kwamba tupo kwenye ushindani.”

“Tukipita hapa hata siku za kawaida mpaka saa 3 maduka hayajafunguliwa. Sasa unajiuliza, duka linafunguliwa saa tatu. Inamaana mnalala sana au mnafanyaje? Sasa na ninyi mbadilike, fungueni duka mapema ili tuingie kwenye ushindani.”

“Jambo lingine linalokwamisha mkoa huu pia Mhe. Makamu mwenyekiti, Kila mmoja hapa kwenye mkoa huu huwa ni mwanasheria, mnapenda sana kubishana. Eeeeh…Mambo mengi wanapenda kiingereza kingi kingiii, sasa naomba niwaambie, sitaki kiingereza waa sitaki makaratasi”

“Nataka namna gani utakavyo tumia elimu yako kuibadilisha kuwa maendeleo kwa wanakagera. Basi.”
Yuko sahihi kabisa, yaani kwa mfano Bukoba Kuna baadhi ya huduma kuzipata kwa asubuhi ni kuanzia saa nne. Yaani mtu anafungua duka saa nne asubuhi
 
Unategemea idiot na mlevi kama yule alete maendeleo? He has been dumped there to frustrate wanaKagera. Samia hebu ondoa hilo takataka lako
Akimwondoa lazma tuandamane, huyu RC yuko poa kiuongozi, hataki konakona na sheria za ajabu, nani kama Chalamila, anastahili kuwa waziri mkuu kama sio Rais, sijaona mkuu wa mkoa bora kwa sasa kama Chalamila.
 
Huyu ni mwe

Huyu ni. Mwehu,Wachaga ni watata pia,mbona kwao kumeendelea,
Kizungu na haiba ya watu inazuia vipi maendeleo ya mkoa?waziri wa tamisemi sio muhaya,katibu sio muhaya,wakuu wa mikoa waliopita sio wahaya,sheria zipo,kwanini hazifuatwi,katika kujenga stend,watu wa ccm walipinga kwa vile halmashauri ilikuwa chini ya upinzani,wakaweka figisu kibao!hapo kinacho kwamisha ni Siasa kuingilia maendeleo,ccm imefanya watu wawe kama mazombi,wapo tayari waishi kwenye shida mradi usijengwe kwa vile tu sifa zitaenda kwa watu wasio wa ccm!Siasa chafu za ccm ndio chanzo,meya anapanga miradi,inafanyiwa figisu na mkuu wa wilaya mkoa,kwa maagizo kutoka juu,
Hivi ukijengwa stand ndio maedeleo tayari??, ungezungumzia viwanda, vyuo vikuu hapo ningekuelewa.
 
Kwani ukiongea kingereza kinafifisha maendeleo yako?
Kuongea Kingereza Siyo Shida Tatizo ni kuongea ongea Viingereza Mbele ya Mtanzania Mwenzako Ili Uonekane Umesoma Au Unajua Kiingereza. (Sifa za Wahaya). Wakati Huyo Msomi Hata Upembuzi yakinifu wa Kupata Stendi Nzuri ya Mabasi Hapo Bukoba Hajawahi Kufanya
 
Wajomba ZANGU hao!!

Full ubinafsi na kujidai kielimu eti nshomile!!

"Mzee warioba arudishwe kwenye kikosi kazi cha mkandala mchakato wa Katiba mpya ukamilike"!
 
Hivi ukijengwa stand ndio maedeleo tayari??, ungezungumzia viwanda, vyuo vikuu hapo ningekuelewa.
Wewe Ndio Huelewei maana Ya Maendeleo. Tuambie Mkoa Wa Dar Es Salaam una Stand kama Ya Bukoba ? Kama Haipo Basi Ujue Stendi Ni sehemu ya Watu kufikia Ili Kuleta Maendeleo sehemu Husika
 
Back
Top Bottom