Kama hamna wateja unafungua Ili iweje? Au ana mpango wakuteka wafanyabiashara?Maduka yafunguliwe mapema, acheni lugha za wakoloni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hamna wateja unafungua Ili iweje? Au ana mpango wakuteka wafanyabiashara?Maduka yafunguliwe mapema, acheni lugha za wakoloni
Amekurupuka. Mafinga Kuna mabasi yanaingia saa kabla ya saa moja asubuhi, lakini hukuto Duka kubwa likiwa wazi hunabudi kusubili hadi saa 2:30 ndio wafungue na mji ule unayo maduka makubwa matatu. Ngori ,Mgaya, na vunja Bei kama Dar la bwana CF.Hivi unafahamu Kasulu tu iko pembeni lakini hakuna wilaya kagera inaipita kasulu kwa kuchapa kazi na kukua kwa mji ule, katoro achana na tunduma ambako watu saa 11 alfajiri chakula kimeiva, maduka mbinga saa moja asubuhi walishafungua zamani, masasi mapema tu biashara ziko wazi wao kuelezwa wafungue biashara mapema wanaona wameonewa huo nao ujinga sana
Taja makabila yenye wanawake wagumu kuwagonga tupate elimu.Wake zenu wenyewe cha wote! Hivi kuna demu mwepesi kumgonga kama mhaya? Hahaha eti mke wangu mhaya umeolea mtaa tu! Vumilia!
Sasa Kati ya mm na wewe tahira ambaye hajielewi ni nani......kwa hiyo unaona Sasa hapo huyo bwana wako Chalamila aliongea pointi si ndioWewe ni masikini jeuri tu na haina exposure ya kufanya kazi na watu tofauti na wabongo! Fanya kazi hata Gita Gold Mine GGM hapo uone watu wanavyotunza time! Utaahira wenu ndo mnaonaga elimu ndo kila kitu lakini dunia ya leo inahitaji watu wenye maarifana wanaotunza wakati sio elimu tu!
Wahaya ni shidaaaaaaaaaaaaaaaaView attachment 2344085
Hayo ameyasema wakati wa kikao cha ndani cha siasa kilichohudhuriwa na makamu mwenyekiti wa CCM bara bwana Kinana.
===
“Mkoa huu hauendelei kwa sababu nyingi, ila sababu kubwa ni hata ninyi ndugu zangu wahaya, wanyambo mnaoishi hapa kwa kweli kuna muda bado hatujajitambua kwamba tupo kwenye ushindani.”
“Tukipita hapa hata siku za kawaida mpaka saa 3 maduka hayajafunguliwa. Sasa unajiuliza, duka linafunguliwa saa tatu. Inamaana mnalala sana au mnafanyaje? Sasa na ninyi mbadilike, fungueni duka mapema ili tuingie kwenye ushindani.”
“Jambo lingine linalokwamisha mkoa huu pia Mhe. Makamu mwenyekiti, Kila mmoja hapa kwenye mkoa huu huwa ni mwanasheria, mnapenda sana kubishana. Eeeeh…Mambo mengi wanapenda kiingereza kingi kingiii, sasa naomba niwaambie, sitaki kiingereza waa sitaki makaratasi”
“Nataka namna gani utakavyo tumia elimu yako kuibadilisha kuwa maendeleo kwa wanakagera. Basi.”
Anamaanisha waache mashauzi kujifanya wameendelea kama wazungu huku hawafanyi maendeleoLol! Kituko hiki.
Kiingereza na maendeleo duni. Masuala mtambuka haya.
Kasema ukweli acheni kupandisha mabega fanyeni maendeleoUnategemea idiot na mlevi kama yule alete maendeleo? He has been dumped there to frustrate wanaKagera. Samia hebu ondoa hilo takataka lako
Instanbul ukuje hukuuuWameelezwa ukweli wanaanza kuleta maneno, hapo ujumbe waache uvivu waongeze kasi ya kuchapa kazi wafungue maduka mapema sana biashara zifanyike sio unaduka sababu ni lako ukafungue saa nne, wachukue ushauri wasonge mbele siri ya maendeleo ni kazi kwa bidii
Kasema ukweli mtupu wahaya acheni ubwabwaji mfanye kaziHuyo jamaa kwa "kuropoka" hawezi kuacha kipaji chake, alichojaaliwa na Mungu[emoji1]
Duuu kumbe upoooo[emoji3][emoji2][emoji3][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Unavyoongea kama vile kagera ni nchi nyingine
Hebu nenda katumie hio fursa ya mipaka maana hujakatazwa....
Kabla ya kuwaketukana watu wa kagera hebu angalia vzr mfumo wa ufanyaji wa biashara za mpakani ndo utajua kwa hali iko hivyo
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Kuna uhusiano gani kati ya serikali na kuchelewa kufungua maduka yao?Kabla ya kulaumu ni bora ufanye research kwa nini hali iko hivyo...
Watu baada ya kutafuta solution wanabeza personality, makabila nk ...serikali ambayo iko responsible kuleta maendeleo ya mkoa kwa sababu inachukua kodi ndo ya kwanza kwa kejeli na matusi...
Kuna professor mmoja juzi alisema " linapokuja suala la maendeleo ya mkoa wa kagera ambayo ni ya umma...serikali inajitetea kwa kuattack wahaya as wahaya wana serikali yao..lakin mikoa mingine no one cares about kabila"
Lakin hio simiyu sijui geita kote umaskini mtupu tena bora kagera kuna tatizo la miundombinu ya umma lakin maendeleo ya mtu mmoja mmoja yako vzr tazama hata makazi ya watu huko vijijini..
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Takataka ninyi wahaya na lugha zetu chafu mfyuuuuuDah takataka Kama hizi eti ndo viongozi zinaongoza.... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa mji si ndo reflection ya mkoa mzima?Kama unapima maendeleo ya kagera kwa kuangalia Bukoba mjini we ni fala kwa kifupi. Nenda bikini utaona maajabu ambayo ukiacha Moshi hakuna tena
UtumboHayo maduka Chalamila au Serikali iliwasaidia kuyafungua?
Uongozi bora ni pamoja na kuheshimu tamaduni za uliowakuta. Wao wanajua wateja wao wanaanza kununua mahitaji saa 4, sasa afungue saa 12 amuuzie Nyani? Yaani kwa vile baa za Ulanzi Iringa zinafunguliwa saa 12 basi na maduka ya Wahaya yafunguliwe muda huo? Acheni ujuaji usio na maana wakati hata misingi ya biashara hamuijui.
Then hapo umepotea. Wahaya hawajengi mijini! Nenda kijijini uone! Mji ni wa serikali , lkn nyumba za wat zipo na mzuri tu! Stend ni ya serikali badala ya huyo RC kujenga stend analeta matusiSasa mji si ndo reflection ya mkoa mzima?
Wacha maneno, hakuna alosema majengo na lami.Mimi sijui wakisemaga kagera ni maskini...wanaongelea kagera ipi...
Maana huko vijijini kuna majumba na majumba...bila kusahau barabara za kunganisha wilaya nyingi ni za lami...
Wilaya kams muleba ina hospital tatu na shule kibao ...
Sasa sijui wanataka kagera nzima iwe na maghorofa kama dar?
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Kwanini unataka watu waamke mapema? Unakwenda kumuhudumia nani? Kila mtu ana schedele ya shghuli zake, huyu RC ni wa ajabu sana. Anaropoka tu bila analysis. Kwa data ipi ambayp ameichapisha na kutoa conclusion hiyo! Unafungua duka kama kuna wateja wa mapema. kama watu hawaji barabarani mapema unafungua ili iweje?Wacha maneno, hakuna alosema majengo na lami.
Afterall lami zimewekwa na serikali na hizo hospital.
Watu wanahoji kuhusu mji wa Bukoba ambao watu wanalala tu na kuongea viingereza bila kujituma
Usilinganishe Geita kwenye ukanda wa dhahabu inayowezesha mzinguko wa fedha na Kagera ambayo hakuna kiwanda wala mgodi wa kuwezesha hilo.Acha kujifariji mkoa wa Simiyu unaizidi kagera nenda bariadi ukaone watu wake walivo na mafanikio ndani ya mkoa wao! Mfano hata geita iko vizuri kuliko kagera japo umasikini upo ila mzunguko wa pesa geita na wananchi wake wanavopiga kazi hawawafikii hata kidogo! Angalia senta zao kama Katoro linganisha na nyinyi huko?