RC Chalamila: Kujifanya wanasheria pamoja na kupenda kiingereza kunakwamisha maendeleo ya mkoa wa Kagera

RC Chalamila: Kujifanya wanasheria pamoja na kupenda kiingereza kunakwamisha maendeleo ya mkoa wa Kagera

Kagera iko mpakani mwa Uganda, Rwanda, Burundi lakini watu wa kagera kwaufupi wamelala sana wavivu
Hiyo mipaka Haina manufa yoyote. Zamani watu walienda Kenya wakipereka Kawa na kurudi na mafuta ya taa.
 
Sawa mmeshazipita kwa maneno matupu! Mtaendelea kuwa maskini maana wahaya hawa hawa tupo nao huku mtaani wameshapita hiyo level kivipi? Wanajigamba huku hawana lolote mfukoni!
kwani wewe kabila lako nyote mna hela?
 
Wahaya wasituletee ujinga wao RC kawaeleza ukweli wabadilike wafanye biashara kiushindani sio kupoa poa kama viazi vilivyolala,
Si ajabu wewe wa kule Pwanio pwani kwenye kabila ambao wanakula mara moja 24 hrs, mboga kuu ni Uono! halafu uko hapa unakunya uharo
 
Yaani nakwambia kafanye kazi yuko ndo utawajua! Wajuaji wasiokuwa na maana! Akitokea mgeni anamaendeleo wanamfatilia mfano ukinunua archi bukoba utapata kesi zisizo na tija hutaamini!
Aridhi !!!, Kwa hiyo mabaraza ya aridhi Yako Bukoba TU? Bas nenda Ngara ,Muleba, Biharamlo , na Misenyi, hata karagwe ,huko hutopata kesi.
 
Aridhi !!!, Kwa hiyo mabaraza ya aridhi Yako Bukoba TU? Bas nenda Ngara ,Muleba, Biharamlo , na Misenyi, hata karagwe ,huko hutopata kesi.
takataka kama hizo usizijibu, do not waste your time with lumpen proletariats. Tanga baraza la ardhi limeelemelwa na kesi mpaka wanakuja wenyeviti toka kwingine kuja kusaidia backlog
 
Hakuna haja ya kumsusia.
ametoa kauli mbaya. Wahaya hawajengi mijini, (labda Dar) nenda vijijini utaona maajabu. Nimetembea Tanzania nzoma, hakuna maendeleo vijijini kama Uhayani ukiacha uchagani.
 
Sawa mkuu nimekusoma.
Hawa ndugu wanachekesha. Hatuna budi kupima uelewa wao.
 
Ukweli ni kwamba Kagera aiwezi kuendelea maana watu wake wamejaa ushamba mwingi halafu wajuaji Sana ..wasomi wengi lakini wameshindwa kupajenga kwao ..miaka nenda Rudi bukoba ipo vile vile yoka miaka ya Uhuru uko. Watu wa kagera kina nshomile muna matatizo gani?
 
mbona hapa dar maduka ya wapemba yanafunguliwa saa nne na hamsemi?
 
mwisho wa siku serikali inakusanya mapato mengi kagera ila inatumia kujenga mikoa mingine so relax mkuu
 
Kingereza kinazuiaje maendeleo?

Yeye ni mkuu wa mkoa...Stendi ya Bukoba ni majanga..ashawahi itembelea akaona matatizo yake..


Yaan mtu unaletwa uongoze mkoa unaanza maneno na kejeli...solve matatizo ya mkoa hasa hapo Bukoba...mji barabara zake mbovu, stendi ni ya matope na kero nyingine kibaoo

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Kwa kujibu Wa Chalamila barabara za Bukoka mjini zimeharibika kwa sababu ya Kiingereza. Watu wa namna hii wanapataje hizo posts?
 
Na pesa ya maafa yaliyotokana na tetemeko mlizipiga tukakaa kimya;
Na tukipeleka kahawa Uganda ili kupata bei nzuri mnabatiza zao letu magendo, tuko kimya;
Tukilala na wake zetu wazuri tunashikashika miguu mizuri mnaona wivu.
 
Hiyo stendi, imehamishiwa pale Leo?
Sasa Yeye si ni Kiongozi wa mkoa?...

Kama anataka kuisaidia kagera...Afanya maamuzi yaliyowashinda wengi sio kuanza kukejeli wenyeji wa mkoa na tamaduni zao
Mimi Chalamila nitamuona mtu pale atakaposolve tatizo la muda mrefu la kuhamisha stendi kutoka pale ilipo na kujenga mpya kule kyakairabwa ilioishia mitini...

Sio maneno tu vila vitendo..akianza kuleta maneno mengi WAHAYA watamuadhibu vibaya sana....wale watu sio watu wa kuchokoza personality zao..tuulize sisi tuliokaa huko..


Ila Bukoba...
Wakichagua upinzani wanaambiwa wanawechelewesha...wakichagua CCM wanaishia kuambiwa wavivu...imagine stendi ya mkoa imesimamishwa toka 2020 walipoingia CCM bora hata wale chadema walionesha matumaini na kuanza ujenzi kwa kujibanabana

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Na pesa ya maafa yaliyotokana na tetemeko mlizipiga tukakaa kimya;
Na tukipeleka kahawa Uganda ili kupata bei nzuri mnabatiza zao letu magendo, tuko kimya;
Tukilala na wake zetu wazuri tunashikashika miguu mizuri mnaona wivu.
Wake zenu wenyewe cha wote! Hivi kuna demu mwepesi kumgonga kama mhaya? Hahaha eti mke wangu mhaya umeolea mtaa tu! Vumilia!
 
Aridhi !!!, Kwa hiyo mabaraza ya aridhi Yako Bukoba TU? Bas nenda Ngara ,Muleba, Biharamlo , na Misenyi, hata karagwe ,huko hutopata kesi.
Huyo muongo...Bukoba ardhi unapata vzr tu aache kuongopa...sidhani kama hata Bukoba kama alishawahi kufika huyo...

2015 bukoba manispaa ilipima viwanja zaidi ya 5000 maeneo ya nyanga, mugeza, buhembe na nshambya...mbona kuna watu wengi tu kutoka makabila mengine wamenunua?

Na bado kuna viwanja kibao huko busisi, ijuganyondo nk sidhani kama ukienda manispaa utakosa viwanja...

Binafsi naona mji wa Bukoba unapanuka tu..sema pale mjini kati karibu na stendi ndo pabovu

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Sasa Yeye si ni Kiongozi wa mkoa?...

Kama anataka kuisaidia kagera...Afanya maamuzi yaliyowashinda wengi sio kuanza kukejeli wenyeji wa mkoa na tamaduni zao
Mimi Chalamila nitamuona mtu pale atakaposolve tatizo la muda mrefu la kuhamisha stendi kutoka pale ilipo na kujenga mpya kule kyakairabwa ilioishia mitini...

Sio maneno tu vila vitendo..akianza kuleta maneno mengi WAHAYA watamuadhibu vibaya sana....wale watu sio watu wa kuchokoza personality zao..tuulize sisi tuliokaa huko..


Ila Bukoba...
Wakichagua upinzani wanaambiwa wanawechelewesha...wakichagua CCM wanaishia kuambiwa wavivu...imagine stendi ya mkoa imesimamishwa toka 2020 walipoingia CCM bora hata wale chadema walionesha matumaini na kuanza ujenzi kwa kujibanabana

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile ap
 
Kwa kujibu Wa Chalamila barabara za Bukoka mjini zimeharibika kwa sababu ya Kiingereza. Watu wa namna hii wanapataje hizo posts?
Mimi mwenyew simuelewi...

Nimejua ndo maana Samia alimwambia aache utoto....
Huo ni utoto...


Si aibane manispaa wajenge stendi kule kyakairabwa waimalizie

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Binafsi naona mji wa Bukoba unapanuka tu..sema pale mjini kati karibu na stendi ndo pabovu

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Mengine wanaamua kuzusha , labuda alinunua ekibanja cya watu.
Kesi za ardhi ziko kira sehemu Tena maeneo ya Ilinga wilaya ya kilolo wanauza mara mbirimbiri.
Mini mingi inayo kua katikati imeedelea kudumaa , hii sio kwa kagera TU. Hata Njombe Iringa , nenda Manyara.
 
Back
Top Bottom