Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaelekea imekuuma aisee nawe pia si takakaka tu mfyuuu......inaelekea wewe mpiga ramli mpaka unajifanya unajua kabila langu.Takataka ninyi wahaya na lugha zetu chafu mfyuuuuu
Na unaweza kushangaa mwanakagera hajui majirani zake hao wanazalisha nini/wanapungukiwa nini ili awapelekee!Kagera iko mpakani mwa Uganda, Rwanda, Burundi lakini watu wa kagera kwaufupi wamelala sana wavivu
Acha kuongea kama choko , kilimo cha kahawa na ndizi kimekuwa backbone ya huo mkoa tangu enzi za mkoloni CCM na ufala wao WA vyama vya ushirika wakaua biashara ya Kahawa , watu wanalima maelfu ya hekari ya Kahawa Kwa wingi bukoba vijijini kuvukisha hapo Tu Uganda ambapo BEI ni 2× / sometimes even 3× ya Tz unafunguliwa kesi ya uhujumu uchumi ,kufungwa na kufilisiwa mali zako ,BEI za vyama vya ushirika ni za kiseng£ kila mtu anajua na ni za kukopwa , malipo si Kwa wakati .Na unaweza kushangaa mwanakagera hajui majirani zake hao wanazalisha nini/wanapungukiwa nini ili awapelekee!
Sio kejeli ni ukweli mtupu, watu kazi kupenda sifa tu wasizostahili ,kujifanya wasomi sana wakati maendeleo hakunaAya huku tozo ,kule kejeli na vijembe,
Kuna jamaa nae alikuwa anafanya kazi huko,aisee anakwambia alipopata uhamisho kuhamia Geita alifanya sherehe, anasema hawafai hata kidogo hao watu wana umimi mwingi + ujuaji na kukwamisha juhudi za wengine ni kawaida sanaAcheni utani bukoba ni sehemu ngumu sana kufanya kazi! Wahaya wanaujuaji usio kuwa na maana ndo maana hata maendeleo yanaenda pole pole sana!
Nyie kama mwenyekiti wenu hapendi sifa mbona kila mkisimama mnasifia mpaka kero, Kama hapendi mbona hawakatazi, binadam ameumbwa penda sifa ndo maana Kuna machawa,Sio kejeli ni ukweli mtupu, watu kazi kupenda sifa tu wasizostahili ,kujifanya wasomi sana wakati maendeleo hakuna
Mkuu wa mkoa hakupepesa macho kabisa na amewapa za usoni wahaya kama inavyotakiwa. Kwa kifupi shida ya wahaya ni:Kingereza kinazuiaje maendeleo?
Yeye ni mkuu wa mkoa...Stendi ya Bukoba ni majanga..ashawahi itembelea akaona matatizo yake..
Yaan mtu unaletwa uongoze mkoa unaanza maneno na kejeli...solve matatizo ya mkoa hasa hapo Bukoba...mji barabara zake mbovu, stendi ni ya matope na kero nyingine kibaoo
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Ukiwazoesha kufungua mapema watakuja mapemaKwanini unataka watu waamke mapema? Unakwenda kumuhudumia nani? Kila mtu ana schedele ya shghuli zake, huyu RC ni wa ajabu sana. Anaropoka tu bila analysis. Kwa data ipi ambayp ameichapisha na kutoa conclusion hiyo! Unafungua duka kama kuna wateja wa mapema. kama watu hawaji barabarani mapema unafungua ili iweje?
Tafuta data za vyoo bora tz, bukoba imeshika mkiaThen hapo umepotea. Wahaya hawajengi mijini! Nenda kijijini uone! Mji ni wa serikali , lkn nyumba za wat zipo na mzuri tu! Stend ni ya serikali badala ya huyo RC kujenga stend analeta matusi
Then hapo umepotea. Wahaya hawajengi mijini! Nenda kijijini uone! Mji ni wa serikali , lkn nyumba za wat zipo na mzuri tu! Stend ni ya serikali badala ya huyo RC kujenga stend analeta matusi
Wahaya na wapemba wanafanya ujuajiNenda kariakoo saa mbili utafute simu uone kama utakuta duka liko wazi...
Uvivu ni tatizo la tz nzima
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Mkoloni aliwasaidia kuweka hizo shule sababu alitumia mabavu kuziweka lakini ingekuwa ni hiari wangepinga na wangekuwa nyuma kielimu kuliko mikoa yote Tanzania wajuaji mno hadi wanakeraMuda unaenda hata mikoa ambayo mzungu hakujenga shule itakuwa na maendeleo kuliko hii mikoa yenye historia ya shule za kikoloni.
Huko moshi mnapolewa siku nzima na kuua wazazi na waume zenu...Mkuu wa mkoa hakupepesa macho kabisa na amewapa za usoni wahaya kama inavyotakiwa. Kwa kifupi shida ya wahaya ni:
Uvivu
Ujuaji
Ubishi
Ubaguzi
Ubinafsi
Napendekeza watu wa Kagera wakapate semina za kuamka mapema asubuhi kutoka Moshi na kwingineko. Itawasaidia. luambo makiadi
Hajui, yeye hajui anaona wivu. Akasome katiba ya JMT kuhusu lughaKwani ukiongea kingereza kinafifisha maendeleo yako?
Wakati mwingine ukitafakari unaona cheo cha Mkuu wa mkoa ni wastage of resources tupuKingereza kinazuiaje maendeleo?
Yeye ni mkuu wa mkoa...Stendi ya Bukoba ni majanga..ashawahi itembelea akaona matatizo yake..
Yaan mtu unaletwa uongoze mkoa unaanza maneno na kejeli...solve matatizo ya mkoa hasa hapo Bukoba...mji barabara zake mbovu, stendi ni ya matope na kero nyingine kibaoo
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Kagera tunazalisha sukari wananchi wanauziwa kwa shs 3000 kwa kilo sawa na wananchi wa Dareslaam.Alianza Nyerere kupeleka washenzi mkoa wa Kagera ili kukwamisha maendeleo ya mkoa, hiyo tabia haijawahi kuisha leo tunatafuta mchawi kwa maneno ya shombo.
Eti mara hii Wahaya leo wamekuwa laughing stock ya nchi!!
Hao jamaa ninao wengi na sijawahi ona au kuamini kwamba kichwani zipo nyingiii sana.Mkoloni aliwasaidia kuweka hizo shule sababu alitumia mabavu kuziweka lakini ingekuwa ni hiari wangepinga na wangekuwa nyuma kielimu kuliko mikoa yote Tanzania wajuaji mno hadi wanakera
Kuweka kamradi kadogo tu ka maendeleo lazima mkeshe kukubiliana na kuachana kwa kukubaliana kutokubaliana!!
Uweke viongozi wa kabila yao shida uwapelekee viongozi wageni shida
Yeye ahakikishe ofisi za serikali kagera sio tu wanafungua saa 1 na nusu bali huduma zianze muda stahiki bila kuchelewa. Maduka yetu atuachie sisi, hakuna sheria inayotubana. Wengine mamwinyi sieKawaeleza ukweli haiwezekani biashara mnafungua saa nne ni uzembe uliopitiliza na kujifanya mnajua kumbe hamna kitu