Yaani nakwambia kafanye kazi yuko ndo utawajua! Wajuaji wasiokuwa na maana! Akitokea mgeni anamaendeleo wanamfatilia mfano ukinunua archi bukoba utapata kesi zisizo na tija hutaamini!
Too much knowing
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Too much knowing
Nenda kariakoo saa mbili utafute simu uone kama utakuta duka liko wazi...Maduka yafunguliwe mapema, acheni lugha za wakoloni
Hakuna aliyetukanwa hapo huo ndo ukweli ndo maana hata maendeleo ya kagera ni madogo sana! Mnapitwa mpaka na geita na Simiyu mikoa mipya!Unavyoongea kama vile kagera ni nchi nyingine
Hebu nenda katumie hio fursa ya mipaka maana hujakatazwa....
Kabla ya kuwaketukana watu wa kagera hebu angalia vzr mfumo wa ufanyaji wa biashara za mpakani ndo utajua kwa hali iko hivyo
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Janja janja JazzbandYaani nakwambia kafanye kazi yuko ndo utawajua! Wajuaji wasiokuwa na maana! Akitokea mgeni anamaendeleo wanamfatilia mfano ukinunua archi bukoba utapata kesi zisizo na tija hutaamini!
Kiingereza kachomokea ila hapo amarenga ujuaji mwingi usio na tija ambao kina nshomire wanaoKwani ukiongea kingereza kinafifisha maendeleo yako?
Kabla ya kulaumu ni bora ufanye research kwa nini hali iko hivyo...Hakuna aliyetukanwa hapo huo ndo ukweli ndo maana hata maendeleo ya kagera ni madogo sana! Mnapitwa mpaka na geita na Simiyu mikoa mipya!
Wana Kagera msusieni huyo mnyamahangaView attachment 2344085
Hayo ameyasema wakati wa kikao cha ndani cha siasa kilichohudhuriwa na makamu mwenyekiti wa CCM bara bwana Kinana.
Point..jembe hili. Halafu unakuta mama anampiga stop bure tu. Keep up comrade.View attachment 2344085
Hayo ameyasema wakati wa kikao cha ndani cha siasa kilichohudhuriwa na makamu mwenyekiti wa CCM bara bwana Kinana.
Kabla ya kulaumu ni bora ufanye research kwa nini hali iko hivyo...
Watu baada ya kutafuta solution wanabeza personality, makabila nk ...serikali ambayo iko responsible kuleta maendeleo ya mkoa kwa sababu inachukua kodi ndo ya kwanza kwa kejeli na matusi...
Kuna professor mmoja juzi alisema " linapokuja suala la maendeleo ya mkoa wa kagera ambayo ni ya umma...serikali inajitetea kwa kuattack wahaya as wahaya wana serikali yao..lakin mikoa mingine no one cares about kabila"
Lakin hio simiyu sijui geita kote umaskini mtupu tena bora kagera kuna tatizo la miundombinu ya umma lakin maendeleo ya mtu mmoja mmoja yako vzr tazama hata makazi ya watu huko vijijini..
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Yaani nyinyi kagera mtabaki umasikini miaka yote endeleeni kulea ujinga!Wana Kagera msusieni huyo mnyamahanga
Kama unapima maendeleo ya kagera kwa kuangalia Bukoba mjini we ni fala kwa kifupi. Nenda bikini utaona maajabu ambayo ukiacha Moshi hakuna tenaAcheni utani bukoba ni sehemu ngumu sana kufanya kazi! Wahaya wanaujuaji usio kuwa na maana ndo maana hata maendeleo yanaenda pole pole sana!
Rubbish analysis. Why open the shop if studies confirm that the would be customers start going out of the residences from 10.00 onwards!Nenda kariakoo saa mbili utafute simu uone kama utakuta duka liko wazi...
Uvivu ni tatizo la tz nzima
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Acha kujifariji mkoa wa Simiyu unaizidi kagera nenda bariadi ukaone watu wake walivo na mafanikio ndani ya mkoa wao! Mfano hata geita iko vizuri kuliko kagera japo umasikini upo ila mzunguko wa pesa geita na wananchi wake wanavopiga kazi hawawafikii hata kidogo! Angalia senta zao kama Katoro linganisha na nyinyi huko?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji91]View attachment 2344085
Hayo ameyasema wakati wa kikao cha ndani cha siasa kilichohudhuriwa na makamu mwenyekiti wa CCM bara bwana Kinana.