RC Chalamila: Kujifanya wanasheria pamoja na kupenda kiingereza kunakwamisha maendeleo ya mkoa wa Kagera

RC Chalamila: Kujifanya wanasheria pamoja na kupenda kiingereza kunakwamisha maendeleo ya mkoa wa Kagera

Kama unapima maendeleo ya kagera kwa kuangalia Bukoba mjini we ni fala kwa kifupi. Nenda bikini utaona maajabu ambayo ukiacha Moshi hakuna tena
Hayo maisha ya kujifariji tu saizi nyumba nzuri kila sehemu wanajenga Acha.uongo wako! Angalia watu huko kagera kwenye utafutaji utaona ni watu walio poa sio mafighter! Jirani zenu wasukuma hapo wako kila sekta wanapambana japo mnawaona hawajasoma kama nyinyi! Kilimo,ufugaji,madini na biashara hapo kanda ya ziwa wamekamata wao pamoja na watu wa Mara lakini nyinyi wahaya mpo tu!
 
Haishiwi vituko, mambo yake muachieni mwenyewe...
 
Hivi unafahamu Kasulu tu iko pembeni lakini hakuna wilaya kagera inaipita kasulu kwa kuchapa kazi na kukua kwa mji ule, katoro achana na tunduma ambako watu saa 11 alfajiri chakula kimeiva, maduka mbinga saa moja asubuhi walishafungua zamani, masasi mapema tu biashara ziko wazi wao kuelezwa wafungue biashara mapema wanaona wameonewa huo nao ujinga sana
Wapuuzi sana hawa mara oo tumesoma hivi dunia wa leo kusoma tu ndo suluhisho ya maisha? Wanalingia miundombinu wa wakoloni mara kuna majumba kama moshi! Hivi hiyo moshi inaifikia hata kahama kwa lipi ukitoa utalii? Waache wajifariji!
 
Hayo maisha ya kujifariji tu saizi nyumba nzuri kila sehemu wanajenga Acha.uongo wako! Angalia watu huko kagera kwenye utafutaji utaona ni watu walio poa sio mafighter! Jirani zenu wasukuma hapo wako kila sekta wanapambana japo mnawaona hawajasoma kama nyinyi! Kilimo,ufugaji,madini na biashara hapo kanda ya ziwa wamekamata wao pamoja na watu wa Mara lakini nyinyi wahaya mpo tu!

Nimekupa mfano hata watani zao waha kwenye kupambana walishawapita kitambo sana, wahaya wamelala sana sawa na wanyiramba, wamakonde, yaani waelezwe ukweli waanze kuleta sababu za uongo na kweli
 
Watanzania tufike mahali tubadilike. Kwenye lugha saa nyingine kuna kuongeza kachumvi kidogo ili swala lieleweke. Hajakosea kufikisha ujumbe. We sema tumekuwa na tabia ya kutafuta kasoro kwenye kila kitu. Ukiwa mtu wa kutafuta kasoro hutazikosa. Mbona anachomaanisha kinaeleweka vizuri sana. Tusiwe tunaruka na vimistari vidogovidogo na kuharibu kusudio la mtoa maelekezo
 
Wapuuzi sana hawa mara oo tumesoma hivi dunia wa leo kusoma tu ndo suluhisho ya maisha? Wanalingia miundombinu wa wakoloni mara kuna majumba kama moshi! Hivi hiyo moshi inaifikia hata kahama kwa lipi ukitoa utalii? Waache wajifariji!

Moshi kwa kahama haifiki hata kidogo na achana na katoro ambayo inakimbia kuliko kawaida wao wanaendelea kukariri maisha kumbe ndio walishaachwa kitambo kusoma makabila karibu yote siku hizi wamesoma maana shule ziko kila eneo, lazima kupambana kwa nguvu sio kuleta uvivu wa kijinga kule kagera ninapafahamu na kuna mishe nafanyaga wenzetu kiukweli wavivu, mpe hata kazi muhaya utamlipa vizuri lakini bila kumsukuma atajivuta kama kaliwa na funza,
 
Rubbish analysis. Why open the shop if studies confirm that the would be customers start going out of the residences from 10.00 onwards!
Yeah ni kweli kabisa Kama mtu anafungua saa tatu duka yeye inamuhusu nn.....ndo maana hata ukiangalia kiundani bongo wawekezaji wengine hawaji kwa Mambo ya kishamba ya watu ambao wako kwenye madaraka kuingilia mishe za watu.

Kwa kupata ka kiuongozi tu kidogo basi kuwa na viamri na viushauri vya kishamba na kufoka juu utafikiri wanavuta bangi.
 
Watanzania tufike mahali tubadilike. Kwenye lugha saa nyingine kuna kuongeza kachumvi kidogo ili swala lieleweke. Hajakosea kufikisha ujumbe. We sema tumekuwa na tabia ya kutafuta kasoro kwenye kila kitu. Ukiwa mtu wa kutafuta kasoro hutazikosa. Mbona anachomaanisha kinaeleweka vizuri sana. Tusiwe tunaruka na vimistari vidogovidogo na kuharibu kusudio la mtoa maelekezo

Wahaya wasituletee ujinga wao RC kawaeleza ukweli wabadilike wafanye biashara kiushindani sio kupoa poa kama viazi vilivyolala,
 
Wewe ni masikini jeuri tu na haina exposure ya kufanya kazi na watu tofauti na wabongo! Fanya kazi hata Gita Gold Mine GGM hapo uone watu wanavyotunza time! Utaahira wenu ndo mnaonaga elimu ndo kila kitu lakini dunia ya leo inahitaji watu wenye maarifana wanaotunza wakati sio elimu tu!
Yeah ni kweli kabisa Kama mtu anafungua saa tatu duka yeye inamuhusu nn.....ndo maana hata ukiangalia kiundani bongo wawekezaji wengine hawaji kwa Mambo ya kishamba ya watu ambao wako kwenye madaraka kuingilia mishe za watu.

Kwa kupata ka kiuongozi tu kidogo basi kuwa na viamri na viushauri vya kishamba na kufoka juu utafikiri wanavuta bangi.
 
Hayo maisha ya kujifariji tu saizi nyumba nzuri kila sehemu wanajenga Acha.uongo wako! Angalia watu huko kagera kwenye utafutaji utaona ni watu walio poa sio mafighter! Jirani zenu wasukuma hapo wako kila sekta wanapambana japo mnawaona hawajasoma kama nyinyi! Kilimo,ufugaji,madini na biashara hapo kanda ya ziwa wamekamata wao pamoja na watu wa Mara lakini nyinyi wahaya mpo tu!
Ukiwa na pesa unajenga nyumba nzuri, unasomesha watoto, unaishi vizuri kwa ujumla. Bukoba Wana sofa zote hizo, Sasa wewe unataka wafanye Nini kuona kuwa wanafanya kazi? Wachimbe madini na sululu Kama wasukuma na wakurya? Kazi hizo za manamba wameshazipita zamani Sana. Kazi za wasiosoma hizo , then you are right if that is the case kutowaona migodini na sululu
 
Ukiwa na pesa unajenga nyumba nzuri, unasomesha watoto, unaishi vizuri kwa ujumla. Bukoba Wana sofa zote hizo, Sasa wewe unataka wafanye Nini kuona kuwa wanafanya kazi? Wachimbe madini na sululu Kama wasukuma na wakurya? Kazi hizo za manamba wameshazipita zamani Sana. Kazi za wasiosoma hizo , then you are right if that is the case kutowaona migodini na sululu
Sawa mmeshazipita kwa maneno matupu! Mtaendelea kuwa maskini maana wahaya hawa hawa tupo nao huku mtaani wameshapita hiyo level kivipi? Wanajigamba huku hawana lolote mfukoni!
 
Sawa mmeshazipita kwa maneno matupu! Mtaendelea kuwa maskini maana wahaya hawa hawa tupo nao huku mtaani wameshapita hiyo level kivipi? Wanajigamba huku hawana lolote mfukoni!

Utakuta fala kama hili ni kula kulala, hana hata kipato, anaomba MB kwa rafiki yake. Umasikini uliokuwa nao unaulinganisha na nani takataka wewe?
 
Unategemea idiot na mlevi kama yule alete maendeleo? He has been dumped there to frustrate wanaKagera. Samia hebu ondoa hilo takataka lako
Yaani Rais wanaamini hakuna watanzania wengine wanaoweza kuwa Wakuu wapya wa mikoa isipokuwa hao waliofeli.
 
Wameelezwa ukweli wanaanza kuleta maneno, hapo ujumbe waache uvivu waongeze kasi ya kuchapa kazi wafungue maduka mapema sana biashara zifanyike sio unaduka sababu ni lako ukafungue saa nne, wachukue ushauri wasonge mbele siri ya maendeleo ni kazi kwa bidii
Hayo maduka Chalamila au Serikali iliwasaidia kuyafungua?
Uongozi bora ni pamoja na kuheshimu tamaduni za uliowakuta. Wao wanajua wateja wao wanaanza kununua mahitaji saa 4, sasa afungue saa 12 amuuzie Nyani? Yaani kwa vile baa za Ulanzi Iringa zinafunguliwa saa 12 basi na maduka ya Wahaya yafunguliwe muda huo? Acheni ujuaji usio na maana wakati hata misingi ya biashara hamuijui.
 

Attachments

  • Screenshot_20220903-130348.png
    Screenshot_20220903-130348.png
    105.2 KB · Views: 5
Acheni utani bukoba ni sehemu ngumu sana kufanya kazi! Wahaya wanaujuaji usio kuwa na maana ndo maana hata maendeleo yanaenda pole pole sana!
Singida kuna maendeleo kuliko Kagera?
 
Tatizo la watu wa Kagera ni pride (kiburi) unaopelekea ujuaji mwingi.

Hata hivyo hiyo video ina ujumbe tofauti na hiyo title hapo juu.

Moderator saidia kufanya title iendane na content.
Ni kweli, content hapo juu imekosewa sana.
Amezungumza jambo la msingi sana, utamaduni wa kufungua maduka mapema haupo kabisa (mimi mwenyewe nilishuhudia nilipoenda kikazi, nimeamka asubuhi kutafuta bidhaa fulani eti mpaka saa tatu sikupata duka), na ameliweka kama chachu ya ushindani.

Ameeleza namna Watu walivyo na maneno mengi kuliko vitendo (makaratasi na kingeereza kingii), kasema yeye anataka vitendo si ubishani ...............kasinge waitu
 
Kabla ya kulaumu ni bora ufanye research kwa nini hali iko hivyo...

Watu baada ya kutafuta solution wanabeza personality, makabila nk ...serikali ambayo iko responsible kuleta maendeleo ya mkoa kwa sababu inachukua kodi ndo ya kwanza kwa kejeli na matusi...

Kuna professor mmoja juzi alisema " linapokuja suala la maendeleo ya mkoa wa kagera ambayo ni ya umma...serikali inajitetea kwa kuattack wahaya as wahaya wana serikali yao..lakin mikoa mingine no one cares about kabila"


Lakin hio simiyu sijui geita kote umaskini mtupu tena bora kagera kuna tatizo la miundombinu ya umma lakin maendeleo ya mtu mmoja mmoja yako vzr tazama hata makazi ya watu huko vijijini..

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Na Kagera ndo mkoa unaoshika nafasi ya pili kwa Makazi bora ya vijijini ukiongozwa na Kilimanjaro. Nenda Simiyu watu na Ng'ombe wanashindana kwa ubora wa nyumba. Geita kuna dhahabu nyumba bora za kuhesabu. Maendeleo gani binafsi ambayo Simiyu inaizidi Kagera?
 
Back
Top Bottom