Binadamu Mtakatifu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 4,226
- 8,879
Walevi utawajua ila huyu dar haimuwezi anautani hadi wa kushika shalubu za anakonda ngoja amezwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapo wanamshaa mwenzao ........kesha toa lock......wamtafutie soberKuna mkuu wa mkoa humu jf?
Najua kuna baadhi ya mawaziri wako humu wakiongozwa na kijana wa kinyaki.
Mwenyekiti wetu aligonga konyagi mpaka akavunjika mguu lakini bado tunamuita muheshimiwaEti lenyewe linaitwa "muheshimiwa" hizo ndio akili halisi za wana mboga mboga
Kumbe na mwenyekiti wenu ni mlevi 🤔🤔Mwenyekiti wetu aligonga konyagi mpaka akavunjika mguu lakini bado tunamuita muheshimiwa
Sembuse alieongea tuu