cabo
JF-Expert Member
- Jun 15, 2016
- 4,756
- 5,250
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nani alimwambiaToka aambiwe aache kutamanitamani ovyo wake za watu naona akili bado hazijarudi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nani alimwambiaToka aambiwe aache kutamanitamani ovyo wake za watu naona akili bado hazijarudi.
Kwa sugu amegonga mwamba. Kwenye malumbano ya hoja alikuwa anajib juu juu tu. Huyu anajiona bado ni kada wkt ameshateuliwa kuwa mkuu wa mkoa. Awaze kama RC. Hawaon ma RC wenzie walivyo.. yeye kutwa akili mpeperukoHahahaa........ Huyo ndio Chalamila bhana jamaa yake Sugu!
Hahahaha
Astaghifilullah! Wapi tena huko huyo mtu anawatamani wake za watu?Aibu itamfika!Toka aambiwe aache kutamanitamani ovyo wake za watu naona akili bado hazijarudi.
Ingia youtube, juzi magu kamwagushia balaa hadharani kwamba kila wakati anatamani wake za watu kwa nini hatamani kujenga soko la madini? Akampa siku 7 za kutamani soko la madini badala ya kutamani wake za watu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nani alimwambia
nimeshanga sana .....ccm kiujumla mnatukanwa live mkuu wa mkoa/kada/mteule wa raisi... kutamka maneno kama hayo inaonyesha hamjitoshelezi ..........................tukirudi kwenye jibu la mhe raisi hayo ni mawazo yakupingwa sana hayatakiwi kusikika mbele ya umma sababu inapingana na historia ,maisha halisi ya tanzania pia yanachangia munkari kwa baadhi ya wananchi na uoga pia sababu tupo icu na huyo jiwe sasa hivi sasa nikisikia mnataka toa chama chake inatishaMambo Mengi Sana Ya Aibu Kuyasema Hadharani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sijawai ona dunia hii kama njaaa imezidi kiasi hichi
Kuna watu wanajua kujikomba jamani.[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]ngoja nikaicheck na jamaa naongea kama mzaramoIngia youtube, juzi magu kamwagushia balaa hadharani kwamba kila wakati anatamani wake za watu kwa nini hatamani kujenga soko la madini? Akampa siku 7 za kutamani soko la madini badala ya kutamani wake za watu.
Wana Mbeya gani wanaomkubali mkuu.?Mwalimu wa kiswahili huyo, bingwa wa kuchomekea maneno. wanambeya wanamkubali sana huyo mwamba wa lugha, hapo kawaacha CHADEMA , ACT, na wengine kuitafakari kauli hiyo bila majibu
sasa hapo leo Rais amesema anataka vyama vingi vishamiri sijui Lisu atawambia nini mabeberu ili nchi inyimwe misaadawanamjulia bosi wao.
anataka vyama vingi ILA CCM WAENDELEE KUSHINDA.sasa hapo leo Rais amesema anataka vyama vingi vishamiri sijui Lisu atawambia nini mabeberu ili nchi inyimwe misaada
maneno ni vitendo ni vitu viwili tofauti.sasa hapo leo Rais amesema anataka vyama vingi vishamiri sijui Lisu atawambia nini mabeberu ili nchi inyimwe misaada
Akijibu hoja hiyo mh: raisi amesema "Mkuu wa mkoa anatamani kuwa na chama kimoja, lakini mimi natamani kuwe na vyama vingi sana vitakavyoleta ushindani lakini siku zote Ccm ndio iwe inashinda kwasababu ni kwa mujibu wa katiba yetu".
Hakuna alikoonesha ujuzi wa kutumia lugha hapo.Anajipendekeza mpaka Bosi anaona aibu kwa upuuzi anaoongea!Mwalimu wa kiswahili huyo, bingwa wa kuchomekea maneno. wanambeya wanamkubali sana huyo mwamba wa lugha, hapo kawaacha CHADEMA , ACT, na wengine kuitafakari kauli hiyo bila majibu