RC Chalamila: Tunaweza kuwa na ‘Magufuli Ruling Party’ na mambo yakaenda vizuri kabisa

RC Chalamila: Tunaweza kuwa na ‘Magufuli Ruling Party’ na mambo yakaenda vizuri kabisa

Hakuna alikoonesha ujuzi wa kutumia lugha hapo.Anajipendekeza mpaka Bosi anaona aibu kwa upuuzi anaoongea!
Ameniangusha sana Mwl wangu!!!!
Amekufundisha nini huyo kilaza?
 

Kuna watu wanajua kujikomba jamani.😂
. Kujikomba kukizidi fahamu huondoka. Mishahara ya watumishi ni baki zao, hulipwa na hazina, si kwa upendeleo wa rais. Kwa mtazamo wake (wa kichonganishi)marais awali watumishi hawakulipwa.
 
Yaani wateule wa mkubwa wanajipendekeza mpaka kero
 
Kwamba Rais anawasaidia kulipa mishahara ya watumishi mkoa wa mbeya,utadhani Rais ana pesa zake na sio kodi za wananchi yaaani haya mateule yanajipendekeza pendekeza kweli kweli.saa hizi serikali haisiakiki na chama akisikiki ila ni magufiri,wanatengeneza mtu kuanmkubwa kuliko serikali na chama,wanachokifanya ccm watakuja kujuta na Mkapa aliwai kuwataadharisha hawataki kusikia,ccm baada ya magu watapata shida sana kumnadi mgombea wao wa urais.
 
Tangu aseme anapenda michepuko,huyu mkuu wa mkoa nikajua ni mropokaji
Kwenye harambee ya kuchangia ujenzi wa msikiti mbunge wa jimbo jirani kachangia millioni moja, yeye Rc mzima linalia kwa Rais eti Mheshimiwa Rais si unajuwa hatuna hela mimi nitachanga laki mbili, huu ndio unafki unaowakabili maccm wengi, Rc kachoka kama sisi tu halafu jukwaani unajaza ujinga watu wasiojitambuwa, too bad.
 
Kwasasa akili itamkaa sawa maana kashushuliwa Kyela tena na Mpuguso akiendelea kutambulisha uongozi mkulu akasimama na kwenda kwenye mic na kumwambia ukitaka kuwatambulisha andaa mkutano wako uje utatue kero zao yamemshuka Mzee wa michepuko
 
Kwasasa akili itamkaa sawa maana kashushuliwa Kyela tena na Mpuguso akiendelea kutambulisha uongozi mkulu akasimama na kwenda kwenye mic na kumwambia ukitaka kuwatambulisha andaa mkutano wako uje utatue kero zao yamemshuka Mzee wa michepuko
Watu wana utindio wa ubongo
 
Magufuri na ccm yake sio ruling party ,hili li rc la michepuko linachekesha kweli .
 
Huo ni mkakati ambao muda tu ndio utaamua. Hata Kagame alisemaga hivyo hivyo.
 
Hawa eti ndio tunategemea think tank zetu,waoga wa maisha wanataka kula Bure,akiambiwa atembee uchi asifukuzwe kazi anatembea hata kariakoo mchana, viongozi wanyonge hadi aibu lkn wakifukuzwa akili zinarudi wanaishia mipasho eg: nape.
 
DO NOT TAKE THEM SERIOUSLY

KAMA ANATAKA VYAMA VINGI ASINGEFANYA MAMBO MABAYA KWA OPPOSITION.
 
Nimeisikia hii kupitia ITV huko mkoani Mbeya wilayani Kyela.

Ngoja niitafakari kidogo hii kauli ya RC Chalamila....... Nijiridhishe alichomaanisha.

Maendeleo hayana vyama!

ALICHOJIBU RAIS:

Rais Magufuli amesema mkuu wa mkoa Albert Chalamila anatamani tuwe na mfumo wa chama kimoja lakini yeye (Dr Magufuli) matamanio yake ni kuwa na mfumo wa vyama vingi lakini CCM iendelee kupata ushindi.

Rais Magufuli Magufuli anasema katika hilo anatofautiana na Mkuu wa Mkoa na kwa maana hiyo kila mmoja wao abakie na msimamo wake.

Hongera Rais Magufuli kwa kulitolea ufafanuzi wa haraka sana swala hili!

====================

Habari zaidi kutoka kwa Mdau mwingine

Katika ziara ya Raisi inayofanyika leo hapa Kyela, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Albert Chalamila amesikika akisema "Natamani kuwe na Chama kimoja Magufuli Ruling Party".

Akifafanua kauli hiyo Mkuu wa mkoa amesema "Kila mwezi unatusaidia kuwalipa watumishi 2471 wanao lipwa zaidi ya bil.1, pesa ambazo wewe mh. raisi Magufuli unazileta katika mji wa Kyela.

Ninacho shangaa unapokuta tunaendeleza malumbano katika mazuri hayo unayoyafanya, ambayo hatuna mahali popote pakuyalinganisha. Sioni sababu ya kua na mfumo wa vyama vingi Kyela zaidi ya kua na chama kimoja kinachoitwa "Magufuli Ruling party katika mazuri"

Akijibu hoja hiyo mh: raisi amesema "Mkuu wa mkoa anatamani kuwa na chama kimoja, lakini mimi natamani kuwe na vyama vingi sana vitakavyoleta ushindani lakini siku zote Ccm ndio iwe inashinda kwasababu ni kwa mujibu wa katiba yetu".
Huyo ni sawa na kina Nkamia akitegemea uwepo wa magufuli waendelee kuneemeka
 
Tatizo hatuna vigezo vya uteuzi wa viongozi kujuwa kusoma na kuandika hakutoshi ndio maana viongozi waliozoea kujipendekeza hili wapewe vyeo hata katiba yetu wapo tayari kuivuruga kwa masirai yao.
 
Back
Top Bottom