RC Chalamila, Umeshindwa kujifunza kwa Paul Makonda na Petro Magoti?

ngaiwoye

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2014
Posts
2,150
Reaction score
3,225
Hivi ni wewe ULIKUWA Kagera wakati wa tetemeko la ardhi wakati ule...naomba nikumbushwe, sikumbuki kama tayari ULIKUWA siasani.

Ukaenda Kagera dege la precision likaanguka pale kwenye maji, palikuwa na uchelewaji mkubwa wa kuokoa majeruhi na Vifo (ndipo walipozaliwa nyota wapya kina Majaliwa).

Ukiwa Mbeya mabweni yaliwaka moto, sikumbuki responce

Sasa umekuja hapa kwetu Dar, jengo limeporomoka tangu saa mbili asubuhi na masaa manne bado hapakuwa na huduma ya uokozi ya kueleweka. Kweli kirikuu inabeba majeruhi? Ulishindwa kutafuta ambulance? Kweli wananchi wanavunja kuta na sururu kuokoa wahanga?

Nina uhakika Paul Makonda angekuwa hapo angejiongeza na angepiga simu moja tu wachina wangeleta magreda hata 10. Mambo ya mafuta angejua baadae, simu moja tu angepiga wadau wangeleta ambulance hata 70, wewe hujui kujenga MAHUSIANO bora na watu na wadau na taasisi binafsi ambazo zimekuzunguka ama we ni mbinafsi? Uliogopa kutoa hela yako mfukoni ya mafuta ya greda Ili kuokoa wananchi wako unaowaongoza kama huna wadau wa kukusaidia?.

My president Dr. Samia, its high time nakuomba mrudishe Paul hapo Dar, huo ni uso wa nchi. Huyo Chalamila mpeleke Arusha kule atawezana nao maana wale nao wanatakaga vichwa moto kama yeye.

Mama pia Petro anajitahidi sana

Your browser is not able to display this video.
 
Ndege ilianguka mbeya 😃
Ziwa nyasa au

Mbeya alipokuja Kuna shule iliwaka moto 😃
 
Naunga Mkono Oja, Huyu Rc Tuliyekuwa Naye Daresallam Atufahi Ata kidogo, Yaani Hana Tofauti na Joti Au kingwendu- Mbabaishaji huyu
 
Yani kupitia majanga ndio mnata kupatia political mileage?

Huyo zero brain ni mhalifu anayekingiwa kifua na kundi fulani ila kuna siku ushahidi utakuwa tabled tu ndil mtaelewa.

Huyo Magoti ana utendaji gani , kusambaza sumu?
 
CCM iliwai kuwa na kiongozi mwenye maarifa labda Nyerere

Light Hawa jamaa wa sasa wangekutana na mwamba idd amin dada sijui ingekuwaje
 
Na nyie mjiongeze mnapotaka kuomba msaada, mnatakiwa mihusishe Chadema kwenye eneo la tukio ninakuhakikishia chini ya dakika mtapata waokoaji wa kila aina wenye silaha za kila aina.
Nilisikia aliyepigiwa simu akiuliza kama ndani ya ghorofa hilo lenye maduka kama wamo watu, hao watu wakoje warefu au wafupi, wanene au wembamba!
 
Chalamila akishavuta bangi zake anaona kila kitu kinakwenda sawa hajui kujiongeza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…