RC Chalamila: Wafanyabiashara wa Kariakoo wajitafakari, migomo siyo suluhisho

RC Chalamila: Wafanyabiashara wa Kariakoo wajitafakari, migomo siyo suluhisho

Tunatingisha ila ipo wazi Wafanyabiashara kugoma kwa zaidi ya wiki si rahisi sababu ili hilo litokee inabidi tuwe na reserve ya kutosha kulipa mikopo.

Unless, kama inawezekana kushawishi mabank yatoe grace period ya miezi kama mitatu ya kutopeleka marejesho ili kuwezesha hilo zoezi la kugoma mpaka kusikilizwa kukamilika.

Pia serikali ina mbinu nyingi sana za kutugawanya tusiwe kitu kimoja kwa matamko tu, mfano serikali ikisema:

"ATAKAYEFUNGA DUKA KWA SIKU ZAIDI YA TATU ATAFUTIWA LESENI NA KUTAKIWA KUOMBA UPYA, UTARATIBU HUU UTAAMBATANA NA KULIPA MADENI YOTE YA KIKODI KABLA YA KUPATIWA LESENI"

Wafanyabiashara tunagawanyika, unless lile la marejesho liwe limewezekana. La marejesho likiwezekana Serikali itaingiwa na hofu maana ikipita wiki tu bila biashara kutachafuka vibaya mno.
 
Kawaambia ukweli.hao ni wakwepa kodi wanataka kukandamiza wananchi.haiwezekani maskini wa nchi hii wawalipe kodi matajiri hiyo kitu haiko duniani
Mimi naona tatizo siyo ukwepaji kulipa Kodi, Bali tatizo ni matumizi mabaya ya Kodi za Wananchi ambayo Serikali inafanya.

Siyo siri hata kidogo, inavunja moyo Sana kuona Serikali inatumia Kodi zetu vibaya kwa matumizi yao ya anasa, yasiyofaa Wala yasiyokuwa na faida yoyote ile kwa Wananchi walipakodi.
 
Tunatingisha ila ipo wazi Wafanyabiashara kugoma kwa zaidi ya wiki si rahisi sababu ili hilo litokee inabidi tuwe na reserve ya kutosha kulipa mikopo.

Pia serikali ina mbinu nyingi sana za kutugawanya tusiwe kitu kimoja kwa matamko tu, mfano serikali ikisema:

"ATAKAYEFUNGA DUKA KWA SIKU ZAIDI YA TATU ATAFUTIWA LESENI NA KUTAKIWA KUOMBA UPYA, UTARATIBU HUU UTAAMBATANA NA KULIPA MADENI YOTE YA KIKODI KABLA YA KUPATIWA LESENI"

Wafanyabiashara tunagawanyika.
Ww sio mfanyabiashara na kkoo haikuhusu kaa kimya, endelea kuuza friji zako na vitumbua kimara. Kaa kimya. Mdafaka
 
Wamesikilizwa au wajiepushe tu bila kujua hatima yao.
Busara kuwasikiliza na kufanyia kazi mapendekezo yao kadri ya uwezekano.
 
Una mihemko tu ugome halafu ule mkopo ulioweka dhamana nyumba ya wazazi nani alipe?
Fikra mbaya zifute, mgomo haujaja ghafla,
Hmna chizi kkoo anakopo mkopo wa nyumba ya mama yake.
Na usidhani union ilioanzisha hii strike ni matahira,
Nimekueleza, don't come with your grounds on someone's possessions. Utaliwa.
Kkoo haikuhusu huna unachoweza andika.
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Albert Chalamila ametoa tamko la kuwataka Wafanyabiashara wote wa Mkoa wa Dar es salaam kujiepusha na migomo na kila mmoja kujitafakari, hii ni baada ya kusambaa kwa taarifa jana kuhusu Wafanyabiashara wa Dar es Salaam na Mikoa mingine kupanga kugoma.

Akiongea Jijini Dar es salaam leo June 23,2024, Chalamila amesema “Masuala ya mgomo kwa Wafanyabiashara yasichukuliwe kuwa ni jambo la pamoja kila mmoja awe na tafakari ya kutosha kabla hajafikia wazo hilo la kufunga biashara, Mtu yeyote ambaye anaweza kuleta ubabe kutokusikilizana maana yake Serikali nayo inaweza kuamua kufanya hivyohivyo jambo ambalo hiyo sio falsafa hata kidogo ya Mh. Rais wa Tanzania”

“Wote tuungane kuijenga Dar es salaam, migomo sio suluhisho hata kidogo wala tusishabikie, mwisho wa mgomo inaweza ikawa ni vita ndogo ambayo ikamuathiri hata asiyekuwa na hatia”


Nawatakia Dominica njema 😃

Pia soma
Yeye
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Albert Chalamila ametoa tamko la kuwataka Wafanyabiashara wote wa Mkoa wa Dar es salaam kujiepusha na migomo na kila mmoja kujitafakari, hii ni baada ya kusambaa kwa taarifa jana kuhusu Wafanyabiashara wa Dar es Salaam na Mikoa mingine kupanga kugoma.

Akiongea Jijini Dar es salaam leo June 23,2024, Chalamila amesema “Masuala ya mgomo kwa Wafanyabiashara yasichukuliwe kuwa ni jambo la pamoja kila mmoja awe na tafakari ya kutosha kabla hajafikia wazo hilo la kufunga biashara, Mtu yeyote ambaye anaweza kuleta ubabe kutokusikilizana maana yake Serikali nayo inaweza kuamua kufanya hivyohivyo jambo ambalo hiyo sio falsafa hata kidogo ya Mh. Rais wa Tanzania”

“Wote tuungane kuijenga Dar es salaam, migomo sio suluhisho hata kidogo wala tusishabikie, mwisho wa mgomo inaweza ikawa ni vita ndogo ambayo ikamuathiri hata asiyekuwa na hatia”


Nawatakia Dominica njema 😃

Pia soma
Anayesema haya Hana Biashara hata ya Karanga akakutana na Kodi za TRA zisizo na huruma.
 
Fikra mbaya zifute, mgomo haujaja ghafla,
Hmna chizi kkoo anakopo mkopo wa nyumba ya mama yake.
Na usidhani union ilioanzisha hii strike ni matahira,
Nimekueleza, don't come with your grounds on someone's possessions. Utaliwa.
Kkoo haikuhusu huna unachoweza andika.
Bado unaendeleza mihemko, ukiachana na mihemko ukarudi kwenye uhalisia utakumbuka kuwa mikopo ina dhamana na hakuna mfanyabiashara wa kukubali dhamana ipotee kwasababu aligoma zaidi ya wiki. Serikali inalijua hili na ni fimbo yake kuu katika hili.

Unless mabank nayo yaungane na wafanya biashara na kutoa grace period ya kusitisha marejesho kipindi cha mgomo.

Hili likiwezekana Serikali itakuwa imenyang'anywa fimbo na itabaki na matamko ya ufutaji leseni na mambo ya kodi, hayatakuwa na impact sana iwapo mabank yapo na wafanyabiashara.
 
Yeye allichukua hatua gani wakutatua matatizo yao kabla hawajachukua uamuzi wa kugoma?

PM na Waziri wamekwenda pale lakini hakuna suluhu zaidi ya blahblah tu.
Wajifunze sasa kutatua matatizo na kero za wananchi na sio kuwadharau kila siku na kuwaona watumwa wao.
 
Bado unaendeleza mihemko, ukiachana na mihemko ukarudi kwenye uhalisia utakumbuka kuwa mikopo ina dhamana na hakuna mfanyabiashara wa kukubali dhamana ipotee kwasababu aligoma zaidi ya wiki. Serikali inalijua hili na ni fimbo yake kuu katika hili.

Unless mabank nayo yaungane na wafanya biashara na kutoa grace period ya kusitisha marejesho kipindi cha mgomo.

Hili likiwezekana Serikali itakuwa imenyang'anywa fimbo na itabaki na matamko ya ufutaji leseni na mambo ya kodi, hayatakuwa na impact sana iwapo mabank yapo na wafanyabiashara.
Mm sina mkopo, na nna mifano ya wengi hawana mikopo, mbona point yako too soft mzee. Come up with something. Usiropoke.
Huu si mgomo wa Kwanza ikumbukwe
 
Yeye allichukua hatua gani wakutatua matatizo yao kabla hawajachukua uamuzi wa kugoma?

PM na Waziri wamekwenda pale lakini hakuna suluhu zaidi ya blahblah tu.
Wajifunze sasa kutatua matatizo na kero za wananchi na sio kuwadharau kila siku na kuwaona watumwa wao.
Boss, si rahisi mwanasiasa kumuelewa mfanyabiashara, si rahisi mwajiriwa serikalini kumwelewa mfanyabiashara. Siku zote mfanyabiashara ni kama adui badala ya mshirika, anatungiwa sera za kudhibitiwa. Kabla hujaanza biashara Serikali imeshakudhibiti kupitia mifumo ya kifedha na kikodi na lazima ujae kwenye mfumo.
 
Mm sina mkopo, na nna mifano ya wengi hawana mikopo, mbona point yako too soft mzee. Come up with something.
Biashara rasmi zenye maana zina mikopo, huo ndo uhalisia wa biashara. Hata kama una mtaji mkubwa kwa mifumo yetu na maafisa wetu wa kodi lazima utakopa unless unataka mtaji wote uishie kwenye kulipa kodi. Utapigwa examination na kupewa findings za ajabu hujakaa sawa notice of disc hiyo hapo mara assesment mlangoni kwako na Dr namba zake. Hata kama una mtaji, mikopo inatusaidia kutupa kichaka cha kuficha kuwa hatuna ukwasi tunategemea mikopo.
Usiropoke.
Huu si mgomo wa Kwanza ikumbukwe

Huu si mgomo wa kwanza ndio na madai ni yale yale unadhani kwanini? Sababu ni ile ile Serikali inajua udhaifu wetu ulipo na upo kwenye sekta ya fedha huko kwenye mabank na wanajua hatuwezi kugoma muda mrefu. Wanachofanya ni kutuhadaa na wanajua tutarudi tu kufungua biashara maana hatuna mbadala. Huo ndo uhalisia.
 
Shithole min
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Albert Chalamila ametoa tamko la kuwataka Wafanyabiashara wote wa Mkoa wa Dar es salaam kujiepusha na migomo na kila mmoja kujitafakari, hii ni baada ya kusambaa kwa taarifa jana kuhusu Wafanyabiashara wa Dar es Salaam na Mikoa mingine kupanga kugoma.

View attachment 3023878

Akiongea Jijini Dar es salaam leo June 23,2024, Chalamila amesema “Masuala ya mgomo kwa Wafanyabiashara yasichukuliwe kuwa ni jambo la pamoja kila mmoja awe na tafakari ya kutosha kabla hajafikia wazo hilo la kufunga biashara, Mtu yeyote ambaye anaweza kuleta ubabe kutokusikilizana maana yake Serikali nayo inaweza kuamua kufanya hivyohivyo jambo ambalo hiyo sio falsafa hata kidogo ya Mh. Rais wa Tanzania”

“Wote tuungane kuijenga Dar es salaam, migomo sio suluhisho hata kidogo wala tusishabikie, mwisho wa mgomo inaweza ikawa ni vita ndogo ambayo ikamuathiri hata asiyekuwa na hatia”


Nawatakia Dominica njema 😃

Pia soma
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila ameyasema hayo mapema leo Juni 23,2024 Kufuatia uwepo wa taarifa za uvumi wa mgomo wa wafanyabiashara wa kariakoo ambapo amewataka wafanyabiashara kuepuka kushiriki kwenye masuala yanayoweza kuleta uvunjifu wa amani na kurudisha nyuma uchumi ikiwemo mgomo huu kwani Serikali imeshashughulikia baadhi ya changamoto na inaendelea kushughulikia changamoto za wafanyabiashara hususani zile zinazohusu mabadiliko ya Kisheria

RC Chalamila amewataka wafanyabiashara kutambua kuwa mgomo sio suluhisho pekee la kutatua changamoto bali utaratibu bora wa kutatua changamoto ni kukaa mezani na mamlaka kujadili kwani mgomo huongeza chuki na wakati mwingine kusababisha uvunjifu wa amani

Aidha RC Chalamila amesema kuwa Serikali inatambua changamoto za wafanyabiashara na kada zingine za wafanyakazi na watumishi na inaendelea kuzifanyia kazi hivyo amewataka wafanyabiashara kushirikiana na Serikali kumaliza changamoto zao na kuepuka mihemko inayoanzishwa na watu wachache wasio kuwa na nia njema na Mkoa wa Dar es salaam na Taifa kwa ujumla

Sanjari na hilo RC Chalamila amesema ujenzi wa soko jipya la kariakoo na ukarabati wa soko liloloungua kuwa soko hilo linalojengwa kwa zaidi ya shilingi bilioni 28 lipo katika hatua za mwisho na kwamba Rais Dokta Samia atakuwa mgeni rasmi kwenye uzinduzi wa soko hilo na wafanyabiashara waliokuwepo zamani na wapya wataingia kwa utaratibu maalum utakaotolewa na uongozi wa soko hilo

Vilevile katika hatua nyingine Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Albert Chalamila amezungumzia oparesheini ya kuwaondoa wafanyabiashara za ngono (Dada Poa) inayofanyika Wilayani Ubungo na kusema kuwa Mila,Desturi na Tamaduni za Tanzania hazikubaliani na biashara hiyo ya ngono pamoja na ndoa za jinsia moja hivyo Serikali mkoani humo itaendelea kupinga vitendo
D
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Albert Chalamila ametoa tamko la kuwataka Wafanyabiashara wote wa Mkoa wa Dar es salaam kujiepusha na migomo na kila mmoja kujitafakari, hii ni baada ya kusambaa kwa taarifa jana kuhusu Wafanyabiashara wa Dar es Salaam na Mikoa mingine kupanga kugoma.

View attachment 3023878

Akiongea Jijini Dar es salaam leo June 23,2024, Chalamila amesema “Masuala ya mgomo kwa Wafanyabiashara yasichukuliwe kuwa ni jambo la pamoja kila mmoja awe na tafakari ya kutosha kabla hajafikia wazo hilo la kufunga biashara, Mtu yeyote ambaye anaweza kuleta ubabe kutokusikilizana maana yake Serikali nayo inaweza kuamua kufanya hivyohivyo jambo ambalo hiyo sio falsafa hata kidogo ya Mh. Rais wa Tanzania”

“Wote tuungane kuijenga Dar es salaam, migomo sio suluhisho hata kidogo wala tusishabikie, mwisho wa mgomo inaweza ikawa ni vita ndogo ambayo ikamuathiri hata asiyekuwa na hatia”


Nawatakia Dominica njema 😃

Pia soma
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila ameyasema hayo mapema leo Juni 23,2024 Kufuatia uwepo wa taarifa za uvumi wa mgomo wa wafanyabiashara wa kariakoo ambapo amewataka wafanyabiashara kuepuka kushiriki kwenye masuala yanayoweza kuleta uvunjifu wa amani na kurudisha nyuma uchumi ikiwemo mgomo huu kwani Serikali imeshashughulikia baadhi ya changamoto na inaendelea kushughulikia changamoto za wafanyabiashara hususani zile zinazohusu mabadiliko ya Kisheria

RC Chalamila amewataka wafanyabiashara kutambua kuwa mgomo sio suluhisho pekee la kutatua changamoto bali utaratibu bora wa kutatua changamoto ni kukaa mezani na mamlaka kujadili kwani mgomo huongeza chuki na wakati mwingine kusababisha uvunjifu wa amani

Aidha RC Chalamila amesema kuwa Serikali inatambua changamoto za wafanyabiashara na kada zingine za wafanyakazi na watumishi na inaendelea kuzifanyia kazi hivyo amewataka wafanyabiashara kushirikiana na Serikali kumaliza changamoto zao na kuepuka mihemko inayoanzishwa na watu wachache wasio kuwa na nia njema na Mkoa wa Dar es salaam na Taifa kwa ujumla

Sanjari na hilo RC Chalamila amesema ujenzi wa soko jipya la kariakoo na ukarabati wa soko liloloungua kuwa soko hilo linalojengwa kwa zaidi ya shilingi bilioni 28 lipo katika hatua za mwisho na kwamba Rais Dokta Samia atakuwa mgeni rasmi kwenye uzinduzi wa soko hilo na wafanyabiashara waliokuwepo zamani na wapya wataingia kwa utaratibu maalum utakaotolewa na uongozi wa soko hilo

Vilevile katika hatua nyingine Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Albert Chalamila amezungumzia oparesheini ya kuwaondoa wafanyabiashara za ngono (Dada Poa) inayofanyika Wilayani Ubungo na kusema kuwa Mila,Desturi na Tamaduni za Tanzania hazikubaliani na biashara hiyo ya ngono pamoja na ndoa za jinsia moja hivyo Serikali mkoani humo itaendelea kupinga vitendo
Shithole country
 
Bado unaendeleza mihemko, ukiachana na mihemko ukarudi kwenye uhalisia utakumbuka kuwa mikopo ina dhamana na hakuna mfanyabiashara wa kukubali dhamana ipotee kwasababu aligoma zaidi ya wiki. Serikali inalijua hili na ni fimbo yake kuu katika hili.

Unless mabank nayo yaungane na wafanya biashara na kutoa grace period ya kusitisha marejesho kipindi cha mgomo.

Hili likiwezekana Serikali itakuwa imenyang'anywa fimbo na itabaki na matamko ya ufutaji leseni na mambo ya kodi, hayatakuwa na impact sana iwapo mabank yapo na wafanyabiashara.
Unifungie lesen kwa sababu sijafungui ndo nasikia kwako
Toka lini kufunga biashara ikawa ni kosa
 
Unifungie lesen kwa sababu sijafungui ndo nasikia kwako
Toka lini kufunga biashara ikawa ni kosa
Si kosa. Ila upo Tanganyika boss sio Uiengereza kwamba utaishtaki serikali ikulipe kwa wakati. Hapa usishange ukakuta kufuli kwenye bank zako zote kwa maagizo ya serikali.
 
Back
Top Bottom