RC Chalamila: Wafanyabiashara wa Kariakoo wajitafakari, migomo siyo suluhisho

Shithole min
D
Shithole country
 
Hivi Vyeo vya u RC ni vya Kikoloni kazi yake ilikuwa ni kumlaza Mwafrika na sisi baada ya Uhuru tukavirithi.
 
anaongelea ngono tu!Sijui anaakili gani aisee!Hivi anapokua anahamasisha pombe kila mara huwa hajui kwamba anahamasisha ngono indirectly?Vichwa vingine bana🫥
 
Hana hoja ni vitisho tu ambavyo sidhani ni njia sahihi, naona kabisa jamaa wataendelea na mgomo wao. Alipaswa kuwasihi katika lugha za kiungwana manake hela wanazo wale jamaa wa kkoo.
 
Hakuna benki kichaa kama mawazo yako, leseni ni mkataba hakuna namna ya kuufuta, wakifuta watarajie kulipa fidia.
 
Reactions: I M
kesho ni muendelezo wa sakata la sukari lililoibuliwa na mbunge Luhag Mpina dhidi ya mkimbizi fisadi Bashe
 
Ina maana unasema wafanyabiashara ndio waovu na hawaendani na mfumo wa serikali ndo unachomaanisha?

If that yes, unafikiri kwanini wanagoma wafanyabiashara kila inapobidi wao kufanya hivyo?

Mimi sio mfanyabiashara bana nataka kujua tu Bw. Tsh
 
Swala la kukagua sales, purchases, expenses na kufuta VAT returns hilo hapana aisee, hapo serikali inatuumiza
 
Hakuna benki kichaa kama mawazo yako, leseni ni mkataba hakuna namna ya kuufuta, wakifuta watarajie kulipa fidia.
Hoja ipo wazi, mgomo hauwezi kudumu sababu watu wana marejesho kwenye mabank, unless mabank nayo yaamue kushirikiana kwenye mgomo. Hayo mengine mbwembwe zako tu.
 
Ina maana unasema wafanyabiashara ndio waovu na hawaendani na mfumo wa serikali ndo unachomaanisha?

If that yes, unafikiri kwanini wanagoma wafanyabiashara kila inapobidi wao kufanya hivyo?

Mimi sio mfanyabiashara bana nataka kujua tu Bw. Tsh
Wafanyabiashara ndo wanailisha nchi kupitia kodi. Bila wao hata hajira hakuna. Yaani unavyomuona afisa wa TRA mshahara wake unatokana na jasho la wafanyabiashara.
 
Waache wagome maana selikari haitekelezi ahadi zake
 
Reactions: I M
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…