RC Chalamila: Wafanyabiashara Wadogo wa Simu2000 wafahamu kuwa eneo walilopo ni la Serikali, lazima liendelezwe

Chalamila amesema Yeye ni level nyingine

Level gani hiyo inayowazidi Viongozi Wote?!

Nimekaa pale 🐼
Huyu sio mtu wa mchezo mchezo, angalia alichomfanya kibaka mmoja...https://www.jamiiforums.com/threads/this-man-is-either-a-sadist-or-alimuua-kibaka-akanywa-bia-kusherehekea.1622901/
P
 
Shida anadhania kufoka ndio suluhisho.
Sahihi
Hajajibu madai ya daladala kuwa hawataendelea kupewa leseni na Latra njia ya simu 2000 na je na hao machinga watabaki au kuhama? . Shida nchi hii kuna ujajnja mwingi
Angejibu hayo mawili kwanza

Kufoka foka kufokea watu wazima sio sahihi
 
Huyu angekuwa kenya gen z wangetambaa naye 😄
Kwa kauli zake

Ova
Hao Gen z kila siku wanapotea ,haya mambo ni ya kutumia akili kuliko hisia ,vijana hawaonekani akionekana ni dead body
 
RC ana mamlaka makubwa, anachotakiwa ni kuwataka watendaji wasimamie Kwa mujibu wa sheria
Sahihi lakini wananchi wakichachamaa mamlaka yaweza ondoka

Refer case ya Kenya baraza zima la mawaziri limepigwa chini
 
Kwa kusema dharau viongozi wote ila siyo Mimi?
Hasira za kihehe zimempanda
Wahehe wakipanda hasira huwa wanapoteza network kati ya mdomo na mara wa mawasiliano na ubongo ndio maana wengi hujinyonga.Sababu network ya mnara wa ubongo huwa hamna.Hasira za wahehe zikipanda
 
Alidhani anatengeneza watu wazalendo kama akina Butibu, Warioba kumbe anatengeneza majangili ya mali za umma
Warioba mzalendo!?..unalijua sakata lake la vyama vya ushirika,mjombaake Nyerere akamwambia mpwae arudishe alichopewa huko kanda ya ziwa!?
 
Hilo eneo lingine analotaka kuwapa wafanyabiashara awape DART. Viongozi wetu hawafikirii, pale Simu 2000 kwa sasa ni mjini sana, hiyo gereji ya DART wangepeleka Mbezi huko. Pale Simu 2000 ni eneo la makazi na ni mjini sana kuweka karakana. Kutoka hapo Simu 2000 ni chini ya kilometa moja kutoka soko la biashara la Afrika mashariki [terminal ya zamani]; najiuliza kulikuwa na sababu gani kuiondoa Ubungo Terminal na kuipeleka Mbezi? Kwa nini hiyo karakana isipelekwe Mbezi pia?

Vv
 
Leo amewageuka
Huyu si alisema majuzi anahisi DC alikula rushwa!?
 
Your browser is not able to display this video.


Anasikika Chalamila RC wa Dar akitoa mkwara mbuzi kwa wafanyabiashara wa Simu 2000. Anasema yeye ni level nyingine, wachezee viongozi wote isipokuwa yeye. Anasema usicheze na kichwa chake.

MyTake:
RC Chalamila bado yuko kwenye siasa za Mwendazake, halafu hajui kuwa Gen Z wako moto sana. Mkwara wake ni wa mbuzi tu kwa vile anajivunia Polisi alionao hapo. Otherwise hana lolote na ni mwepesi sana
 
Mtikise sasa ujue mkwara wake ni wa mbuzi au simba wa yuda
 
Napenda sana viongozi wenye kujiamini ila wasisahau kuna haki za watu sio kila siku serikali ipo sawa. Haki za watu ni muhimu saba kuzizingatia sababu hata maandiko yanasisitiza hivyo. Ila watu nao wasitumike kisiasa.
 
Hivi kabla ya teuzi wanapimwa akili wapi
 
Tumezoea kubembeleza Wavunja Sheria za mipango mini Nchi hii. Wacha waambiiwe ukweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…