Kivumishi Kielezi
JF-Expert Member
- Nov 1, 2019
- 1,028
- 2,451
Kelele za DEBE TUPU
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hiyo fine sheet itaandikwa kosa lipi?Yani makala amepuuzwa asipotumia askari na na watu wa vyombo vya umma kupigwa fine watu hawatafata utaratibu, Yani hapo wakipigwa fine konda hatakubali kuruhusu abiria asiye na barakoa na mask kupanda. Punda haendi bila mjeledi
Makosa ya usafiri wa public transport kutofata muongozo wa afya, afya ni swala sensitive sanahiyo fine sheet itaandikwa kosa lipi?
Hiyo justification ni kwa mujibu wa mtoza fine, konda au abiria? manake kuna sababu zinazokubalika kwa mtu kutokuvaa barakoa!! je upo informed kwa hili?Makosa ya usafiri wa public transport kutofata muongozo wa afya, afya ni swala sensitive sana
Achana na blah blah why usivae barakoa sijawahi ona asiye ruhusiwa with exceptional ya watoto 9 year's kushuka chini. Wengi hujichokoa mipua Yao na kushika vitu pia mipumuliano unaona sawa eeeh humo, mimi nilipana coronavirus kwenye sehemu ya watu tena kwa kushika vitu nikajikusa machoni. So usitetee kila mtu akivaa barakoa na kunawa inasaidia kuliko hilo li chanjoHiyo justification ni kwa mujibu wa mtoza fine, konda au abiria? manake kuna sababu zinazokubalika kwa mtu kutokuvaa barakoa!! je upo informed kwa hili?
We kachanjwe lipapuchi hilo, acha sisi tuendelee kujiachia mjini hapa, eboo!!Achana na blah blah why usivae barakoa sijawahi ona asiye ruhusiwa with exceptional ya watoto 9 year's kushuka chini. Wengi hujichokoa mipua Yao na kushika vitu pia mipumuliano unaona sawa eeeh humo, mimi nilipana coronavirus kwenye sehemu ya watu tena kwa kushika vitu nikajikusa machoni. So usitetee kila mtu akivaa barakoa na kunawa inasaidia kuliko hilo li chanjo
Mbona una makasiriko hivo ndugu,papuchi ya Bibi yako ukichakaa inatosha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We kachanjwe lipapuchi hilo, acha sisi tuendelee kujiachia mjini hapa, eboo!!
Yaani univalishe libarakoa nishindwe kupumua nife buree! Thubutuuu!
Deadly virus gani, acheni kutia watu hofu nyinyi madalali wa machanjo uchwara!!vaa barakoa ili kuminimize risk ya kupata hao deadly virus
Ushachanjwa hilo lipapuchi lako!?Mbona una makasiriko hivo ndugu,papuchi ya Bibi yako ukichakaa inatosha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naona akili yako umeifungia kisha ufunguo ukauweka kwenye mfuko wa suruali.Deadly virus gani, acheni kutia watu hofu nyinyi madalali wa machanjo uchwara!!
Siku zote tumeishi bila mabarakoa na hatujafa, hao deadly virus walikuwa wapi?
Yaani mlivyopewa mapesa na mabeberu basi ghafla tu tukavamiwa na deadly virus?
Hakuna cha deadly virus wala nini! Usanii mtupu!
Hivi ukivaa condom huwezi kufa au kuambukizwa ukimwi?Hivi ukivaa barakoa huwezi kufa au kuambukizwa uviko??
Says Hitler Junior!Haya matamko ya kila siku yasiishie kwenye daladala tu, huko masokoni, mashuleni, nyumba za ibada kote wavae barakoa kwa lazima.
Ngoja niitunze hii comment. Nitakuja kukumbusha mbele ya safari!Yani makala amepuuzwa asipotumia askari na na watu wa vyombo vya umma kupigwa fine watu hawatafata utaratibu, Yani hapo wakipigwa fine konda hatakubali kuruhusu abiria asiye na barakoa na mask kupanda. Punda haendi bila mjeledi
Yeye mwenyewe lini ulishamuona kwenye hivyo Vituo hakifanya ziara yeye anasubili aletewe report tu..Namshauri RC Makalla kwa nia njema kabisa ahakikishe matamko anayotoa yanatekelezwa. Mbona daladala bado zinajaza kibao na wenye barakoa in wa kuhesabu?
BORA, kuliko kuwa mtumwa wa mabeberu!Naona akili yako umeifungia kisha ufunguo ukauweka kwenye mfuko wa suruali.