RC David Kafulila: Hii ndio hirizi ya CCM kuitawala Tanzania miaka mingi ijayo

RC David Kafulila: Hii ndio hirizi ya CCM kuitawala Tanzania miaka mingi ijayo

Stability ni uoga tuu. Nchi jirani kama Kenya, Rwanda zimechapana lakini maendeleo wanayo. Wahutu na Watutsi wamechinjana leo wanajenga nchi.
Watanzania niwerevu Sana, ndio hawako tayari kuivuruga amani yao kisa siasa
 
Umeongea kweli kabisa mkuu, CCM muda woote inawaza na inawazia maendeleo ya watu, leo Mama Samia Anaupiga Mwingiiiiiii kuhakikisha jamii ya Tanzania inasonga mbele kwa walau kugawana kile ambacho taifa letu limebarikiwa, ndo maana amefungua nchi na Royal TOUR kuhakikisha taifa linafaidika na Rasilimali zake, ndo maana leo amekubali matakwa ya wengi na wachache wa upinzani, na ameandika makala na akatolea mfano baba wa taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na mzee Mwinyi enzi za miaka ya 1992 walivyokubaliana na wachache mfumo wa vyama vingi.... Good mwamba wa Escrow kutoka Simiyu.
 
Umeongea kweli kabisa mkuu, CCM muda woote inawaza na inawazia maendeleo ya watu, leo Mama Samia Anaupiga Mwingiiiiiii kuhakikisha jamii ya Tanzania inasonga mbele kwa walau kugawana kile ambacho taifa letu limebarikiwa, ndo maana amefungua nchi na Royal TOUR kuhakikisha taifa linafaidika na Rasilimali zake, ndo maana leo amekubali matakwa ya wengi na wachache wa upinzani, na ameandika makala na akatolea mfano baba wa taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na mzee Mwinyi enzi za miaka ya 1992 walivyokubaliana na wachache mfumo wa vyama vingi.... Good mwamba wa Escrow kutoka Simiyu.
Simiyu iko juu Sana kwa sasa
 
Hakuna cha hirizi,kilichopo ni kwamba nchi bado haina mwamko wa uelewa kwa wananchi waliowengi.ila kwakadri miaka inavyoenda ndivyo jinsi watu wanavyoelimika na kutambua haki zao.kwahiyo ccm iko ukingoni mwa mwisho wake ndo maana kwa miaka ya karibuni imeonekana ikitumia zaidi dola badala ya sera kuendesha siasa zake.Na kinachoibeba ccm ni turufu ya mwenyekiti wa chama ambaye kwasababu ya katiba ya nchi iliyopitwa na wakati ana mamlaka makubwa ndani ya nchi kwasababu ya kua rais.Hizo zingine danganyaneni hapo koridoni.
 
Hakuna cha hirizi,kilichopo ni kwamba nchi bado haina mwamko wa uelewa kwa wananchi waliowengi.ila kwakadri miaka inavyoenda ndivyo jinsi watu wanavyoelimika na kutambua haki zao.kwahiyo ccm iko ukingoni mwa mwisho wake ndo maana kwa miaka ya karibuni imeonekana ikitumia zaidi dola badala ya sera kuendesha siasa zake.Na kinachoibeba ccm ni turufu ya mwenyekiti wa chama ambaye kwasababu ya katiba ya nchi iliyopitwa na wakati ana mamlaka makubwa ndani ya nchi kwasababu ya kua rais.Hizo zingine danganyaneni hapo koridoni.
Huo mwamko utoke wapi wakati wote wanaoamka wanakimbili CCM!!

ONA MDEE & TEAM
 
Kafulila njaa kali, kakaa mtaani moto ukamuwakia mfukoni akaona njia pekee ni kuendekeza uchawa !! Hajui kwamba dawa ya kukomesha siasa za ukuwadi ni Katiba mpya.
 
Dolla inaweza kuwa neutral kama haitakuwa na mashaka na huo upinzani,

Hakuna siku dolla itapeleka serikali kwa wahuni,

Katiba ilivyo viongozi wa dola wanategemea hisani ya mwenyekiti wa CCM kupata nafasi walizonazo. Na wengi wa wanaopewa vyeo huko kwenye vyombo vya dola huwa na uwezo wa chini kulinganisha na wengine. Lengo ni kuhakikisha aone hicho cheo ni hisani. Kwakuwa cheo hicho hupelekea kupata mapato makubwa yasiyo halisia, ni dhahiri watakilinda chama kinachowahakikishia maslahi binafsi.
 
jamaa amewachana live Nyumbu, CCM ipo Sana, kama unataka utimize ndoto yako ya kisiasa njoo tu CCM, ONA LEO KAFULILA ANAVYOLISAIDIA TAIFA HILI

Kulisaidia taifa ni kuwa na cheo cha kisiasa?!
 
jamaa amewachana live Nyumbu, CCM ipo Sana, kama unataka utimize ndoto yako ya kisiasa njoo tu CCM, ONA LEO KAFULILA ANAVYOLISAIDIA TAIFA HILI

Hayo maneno anayosema Kafulila ni kwakuwa yuko kwenye asali. Ni kama vile mwanaume ukimchukua mwanamke yoyote hata chagudoa unamwambia unampenda sana kwakuwa yeye ni mzuri. Utashangaa huyo mwanamke anavimba kichwa hata kama ni maneno anayoambiwa na kila mwanaume hata waliyeachana.
 
CCM inawa' swap'..
drakekidding.png
Mbavu zangu...
 
Back
Top Bottom