RC dhoofu: Jumuiya zimebaki na kina mama tu tena wazee

RC dhoofu: Jumuiya zimebaki na kina mama tu tena wazee

2019

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2018
Posts
3,130
Reaction score
4,735
Kwa sasa nyumba nyingi za ibada zinakimbiwa na waumini, hii unatokana waumini kuchoshwa na mienendo ya kanisa ambayo ni tofauti na lilichoachwa na mitume.

Jumuia inabaki na wabibi tena wachache sana hata kupita mtaani kupeleka msalaba nyumba nyingine wanaona aibu.

MAMBO YANAYOCHOSHA
Nipokuwa katoliki sikuweza kufungua Biblia wala kuielewa mpaka nilipochukua hatua mwenyewe.
Mafundisho mengi ya uongo, hii imefanya waumini kuanza kuichunguza Biblia ili kupatanisha na mafundisho yanapoonekana ni tofauti wengi wanakata tamaa na kuhamia sehemu nyingine au kuchana na kanisa kabisa.

ULAFI WA VIONGOZI WA KIROHO
Kiongozi wa dini anafundisha upendo lakini yeye akiwa mbinafsi na Asiyejali.

UBAGUZI
Waliopewa dhamana wanaangalia zaidi maslahi kuliko kondoo, mwenye pesa ndio huzikwa na Padri hata kama hakuwa muumini, asiye na pesa atazikwa na jumuiya tu.

MICHANGO MINGI.
Hii toa toa tu ya ulichonacho kimekatisha wengi tamaa, kutoa sadaka kwa mstari kunapunguza waumini sababu kuna mengine weenda kusikiliza neno lakini hawana chochote, anapobaki kwenye benchi anaaibika na siku nyingine haji.

USIRI NA KULINDANA
Kuna vitendo vingi sana vya unyanyasaji kingono vinavyofanywa na mapandri dhidi ya vijana wadogo, mapadri kuzaa na masista kisiri, mapadri kuwa na watoto mitaani na hakuna hatuwa wanayochukuliwa.

Kilichobaki kwenye hizi dini kubwa ni kurithishana dini tu wala si mafundisho tena,ukizaliwa romani basi na ww ni mroma, ukizaliwa uislamu na ww utakuwa muislamu lakini mafundisho halisi ya dini yako unakuwa hujui hata kidogo,hata kuitetea imani inakupa tabu.

Ombeni nanyi mtapewa,Tafuteni nanyi mtapata, TAFUTENI KWELI MTAKUWA HURU.
 
Dini ni mkakati wa kutawala watu na kubadili tamaduni zao kupitia imani..waafrika tulikua na tunadini zetu..ni muda muafaka sasa wa kuachana na hizi dini na tamaduni zakuletewa kwa majahazi.

Turudi kwenye imani zetu za asili ambazo hazikuleta utengano baina ya ndugu wala kuleta masuala ya upotofu na ukengeufu kama ushoga n.k.

#MaendeleoHayanaChama
 
Dini ni mkakati wa kutawala watu kupitia tamaduni zao za kiimani..waafrika tulikua na bado tunadini zetu..ni muda muafaka sasa wa kuachana na hizi dini na tamaduni ziakuletewa.

Turudi kwenye imani zetu za asili ambazo hazikuleta utengano baina ya ndugu wala kuleta masuala ya upotofu.

#MaendeleoHayanaChama
Changamoto ya Afrika hatuna formula,hatuna desturi ya kurekodi na kuhifadhi kumbukumbu ndio hapo tunashindwa,tunajikuta kila jamaa na tamaduni na mila zao.
 
Katoliki ni michango kwenda mbele.

Mwakani naidhinisha mke. Nitalipa zaka na michango wanayotaka lakn baada ya hapa hawataona mchango tena.

Nitawapa rushwa ya 80 viongoz wa jumuiya kisha natoa michango kishkaji.

Hawa masista wengi tu hawasalimiani. Mama mdogo ni sr kabisa lakn ana roho mbaya na hasalimiani na wenzake.
 
Katoliki ni michango kwenda mbele.

Mwakani naidhinisha mke. Nitalipa zaka na michango wanayotaka lakn baada ya hapa hawataona mchango tena.

Nitawapa rushwa ya 80 viongoz wa jumuiya kisha natoa michango kishkaji.

Hawa masista wengi tu hawasalimiani. Mama mdogo ni sr kabisa lakn ana roho mbaya na hasalimiani na wenzake.
Kkkkk masista wana mabifu
 
Katoliki ni michango kwenda mbele.

Mwakani naidhinisha mke. Nitalipa zaka na michango wanayotaka lakn baada ya hapa hawataona mchango tena.

Nitawapa rushwa ya 80 viongoz wa jumuiya kisha natoa michango kishkaji.

Hawa masista wengi tu hawasalimiani. Mama mdogo ni sr kabisa lakn ana roho mbaya na hasalimiani na wenzake.
Sa wanawafundisha nini waamini?
 
Mtoa mada umeongea Jambo la maana Sana

Watu wengi tumejikuta tumezaliwa ndani ya hizi Imani lkn hatujapa Mda wa kujifunza kiundani na kujua msingi hasa WA Imani husika,matokeo yake upo kama haupo

Kuna haja kubwa ya kuzijua hizi Imani zetu ili mwisho wa siku tujue tunasimamia wapi

Kuna mzungu mmoja anasema alifanya tafiti nyingi katika Dini mbali mbali lakini mwisho wa siku alipokuja kufanya tamati au hitimisho la utafiti wake,aliona na kuamini kabisa tendo sahihi la KUABUDIWA Mwenyezi Mungu ni kusujudiwa na ndio ibada sahihi.

Mtoa mada Uishi Maisha marefu.

Shukrani.
 
Katoliki ni michango kwenda mbele.

Mwakani naidhinisha mke. Nitalipa zaka na michango wanayotaka lakn baada ya hapa hawataona mchango tena.

Nitawapa rushwa ya 80 viongoz wa jumuiya kisha natoa michango kishkaji.

Hawa masista wengi tu hawasalimiani. Mama mdogo ni sr kabisa lakn ana roho mbaya na hasalimiani na wenzake.
Masista wana roho mbaya ajabu, halafu hawana habari, haya madude wakoloni walituweza, tena kile cheo cha mama mkuu kinakuaga na figisu sana watu hadi ndumba wanatumia kukipata
 
Kwa sasa nyumba nyingi za ibada zinakimbiwa na waumini, hii unatokana waumini kuchoshwa na mienendo ya kanisa ambayo ni tofauti na lilichoachwa na mitume.

Jumuia inabaki na wabibi tena wachache sana hata kupita mtaani kupeleka msalaba nyumba nyingine wanaona aibu.

MAMBO YANAYOCHOSHA
Nipokuwa katoliki sikuweza kufungua Biblia wala kuielewa mpaka nilipochukua hatua mwenyewe.
Mafundisho mengi ya uongo, hii imefanya waumini kuanza kuichunguza Biblia ili kupatanisha na mafundisho yanapoonekana ni tofauti wengi wanakata tamaa na kuhamia sehemu nyingine au kuchana na kanisa kabisa.

ULAFI WA VIONGOZI WA KIROHO
Kiongozi wa dini anafundisha upendo lakini yeye akiwa mbinafsi na Asiyejali.

UBAGUZI
Waliopewa dhamana wanaangalia zaidi maslahi kuliko kondoo, mwenye pesa ndio huzikwa na Padri hata kama hakuwa muumini, asiye na pesa atazikwa na jumuiya tu.

MICHANGO MINGI.
Hii toa toa tu ya ulichonacho kimekatisha wengi tamaa, kutoa sadaka kwa mstari kunapunguza waumini sababu kuna mengine weenda kusikiliza neno lakini hawana chochote, anapobaki kwenye benchi anaaibika na siku nyingine haji.

USIRI NA KULINDANA
Kuna vitendo vingi sana vya unyanyasaji kingono vinavyofanywa na mapandri dhidi ya vijana wadogo, mapadri kuzaa na masista kisiri, mapadri kuwa na watoto mitaani na hakuna hatuwa wanayochukuliwa.

Kilichobaki kwenye hizi dini kubwa ni kurithishana dini tu wala si mafundisho tena,ukizaliwa romani basi na ww ni mroma, ukizaliwa uislamu na ww utakuwa muislamu lakini mafundisho halisi ya dini yako unakuwa hujui hata kidogo,hata kuitetea imani inakupa tabu.

Ombeni nanyi mtapewa,Tafuteni nanyi mtapata, TAFUTENI KWELI MTAKUWA HURU.
Udhaifu wako unataka uwe wa watu wote. Hapa umeandika hisia tu na wala hauna ushahidi. Nikikuuliza ni padri wa parokia ipi au kigango kipi ana mtoto unaweza kumtaja na kuleta ushahidi kuwa huyo mtoto ni wa kwake kweli?

1. Unasema michango mingi....ulilazimishwa utoe?

2. Unasema jumuiya zimebaki wabibi...unaweza kuleta hapa ushahidi kuwa jumuiya zimebakiwa na wabibi tu?

3. Kuhusu wenye hela kuzikwa na padri napo ni uongo huwezi kuthibitisha hili.
 
Back
Top Bottom