RC dhoofu: Jumuiya zimebaki na kina mama tu tena wazee

RC dhoofu: Jumuiya zimebaki na kina mama tu tena wazee

Kwann ww ni mkatoliki? Nipe sababu zinazotegemea biblia.
You see...Nani alisema kwamba kazi ya roho mtakatifu iliisha baada ya kuandikwa kwa Biblia? Biblia ni kitabu kitakatifu, chenye kuongoza mafunzo ya wokovu wetu. Ila Mwenyezi Mungu hajaacha kuendelea kufanya kazi zake baada ya kuandika biblia.
Kwa maana hiyo basi, ukitaka kuelewa vizuri mafundisho na miongozo ya kanisa katoliki, weka jazba na emotions pembeni. Chukua biblia yako na usogee kujifunza, ili uwe hakimu wa haki.
You will be surprised to see what is there inside the church.....
Leo hii hata mashoga wanatumia biblia kuhalalisha ushoga. Wauaji nao. Na kila aina ya dhambi. Kwa maana hiyo utakatifu wa Mwenyezi Mungu uko katika biblia na hata nje ya biblia. Ni Mungu mwenye nguvu na uwezo wote, asiyewekewa mipaka na binadamu au kiumbe cha aina yoyote
 
Kwa sasa nyumba nyingi za ibada zinakimbiwa na waumini, hii unatokana waumini kuchoshwa na mienendo ya kanisa ambayo ni tofauti na lilichoachwa na mitume.

Jumuia inabaki na wabibi tena wachache sana hata kupita mtaani kupeleka msalaba nyumba nyingine wanaona aibu.

MAMBO YANAYOCHOSHA
Nipokuwa katoliki sikuweza kufungua Biblia wala kuielewa mpaka nilipochukua hatua mwenyewe.
Mafundisho mengi ya uongo, hii imefanya waumini kuanza kuichunguza Biblia ili kupatanisha na mafundisho yanapoonekana ni tofauti wengi wanakata tamaa na kuhamia sehemu nyingine au kuchana na kanisa kabisa.

ULAFI WA VIONGOZI WA KIROHO
Kiongozi wa dini anafundisha upendo lakini yeye akiwa mbinafsi na Asiyejali.

UBAGUZI
Waliopewa dhamana wanaangalia zaidi maslahi kuliko kondoo, mwenye pesa ndio huzikwa na Padri hata kama hakuwa muumini, asiye na pesa atazikwa na jumuiya tu.

MICHANGO MINGI.
Hii toa toa tu ya ulichonacho kimekatisha wengi tamaa, kutoa sadaka kwa mstari kunapunguza waumini sababu kuna mengine weenda kusikiliza neno lakini hawana chochote, anapobaki kwenye benchi anaaibika na siku nyingine haji.

USIRI NA KULINDANA
Kuna vitendo vingi sana vya unyanyasaji kingono vinavyofanywa na mapandri dhidi ya vijana wadogo, mapadri kuzaa na masista kisiri, mapadri kuwa na watoto mitaani na hakuna hatuwa wanayochukuliwa.

Kilichobaki kwenye hizi dini kubwa ni kurithishana dini tu wala si mafundisho tena,ukizaliwa romani basi na ww ni mroma, ukizaliwa uislamu na ww utakuwa muislamu lakini mafundisho halisi ya dini yako unakuwa hujui hata kidogo,hata kuitetea imani inakupa tabu.

Ombeni nanyi mtapewa,Tafuteni nanyi mtapata, TAFUTENI KWELI MTAKUWA HURU.
Uzuri wa sisi wakatoliki, tutasoma ulichokiandika, tutaelewa na tutakuacha uamini unachokiamini juu yetu, tutakaa BAR na kutafuna bia na mdudu, halafu tutarudi kanisani kusali HUKU TUKIKUACHA UENDELEE KUAMINI UNAYOYAAMINI
 
Uzuri wa sisi wakatoliki, tutasoma ulichokiandika, tutaelewa na tutakuacha uamini unachokiamini juu yetu, tutakaa BAR na kutafuna bia na mdudu, halafu tutarudi kanisani kusali HUKU TUKIKUACHA UENDELEE KUAMINI UNAYOYAAMINI
Sema kweli kwamba wakatoliki wengi ni mapopoma/kondoo kiimani,hawajui chochote zaidi ya wanachoambiwa na viongozi,kukaa kumya ni sababu elimu ya dini duni
 
Sema kweli kwamba wakatoliki wengi ni mapopoma/kondoo kiimani,hawajui chochote zaidi ya wanachoambiwa na viongozi,kukaa kumya ni sababu elimu ya dini duni
Hata hili nalo tutalisoma, tutalielewa, na tutakuacha uamini kuwa sisi wakatoliki ni mapopoma na wewe ndo mjanja sana na mbinguni utafika salama
 
Hata hili nalo tutalisoma, tutalielewa, na tutakuacha uamini kuwa sisi wakatoliki ni mapopoma na wewe ndo mjanja sana na mbinguni utafika salama
Mapopoma ya kiimani,yanaburuzwa tu,ndiyo maana yakiambiwa inama nikupake mafuta yanainama tu
 
Njooni kwenye uislamu ni dini ya haki ni dini isiyo na makandokando. Njooni muipate ladha ya kuamini mungu mmoja. Karibuni katika uislamu mjiepushe na sononeko la kiimani.
Huko miskitini baada ya swala maimamu wanagombania sadaka? Huko mnakotoa sh 20 hadi leo?
 
Kwa sasa nyumba nyingi za ibada zinakimbiwa na waumini, hii unatokana waumini kuchoshwa na mienendo ya kanisa ambayo ni tofauti na lilichoachwa na mitume.

Jumuia inabaki na wabibi tena wachache sana hata kupita mtaani kupeleka msalaba nyumba nyingine wanaona aibu.

MAMBO YANAYOCHOSHA
Nipokuwa katoliki sikuweza kufungua Biblia wala kuielewa mpaka nilipochukua hatua mwenyewe.
Mafundisho mengi ya uongo, hii imefanya waumini kuanza kuichunguza Biblia ili kupatanisha na mafundisho yanapoonekana ni tofauti wengi wanakata tamaa na kuhamia sehemu nyingine au kuchana na kanisa kabisa.

ULAFI WA VIONGOZI WA KIROHO
Kiongozi wa dini anafundisha upendo lakini yeye akiwa mbinafsi na Asiyejali.

UBAGUZI
Waliopewa dhamana wanaangalia zaidi maslahi kuliko kondoo, mwenye pesa ndio huzikwa na Padri hata kama hakuwa muumini, asiye na pesa atazikwa na jumuiya tu.

MICHANGO MINGI.
Hii toa toa tu ya ulichonacho kimekatisha wengi tamaa, kutoa sadaka kwa mstari kunapunguza waumini sababu kuna mengine weenda kusikiliza neno lakini hawana chochote, anapobaki kwenye benchi anaaibika na siku nyingine haji.

USIRI NA KULINDANA
Kuna vitendo vingi sana vya unyanyasaji kingono vinavyofanywa na mapandri dhidi ya vijana wadogo, mapadri kuzaa na masista kisiri, mapadri kuwa na watoto mitaani na hakuna hatuwa wanayochukuliwa.

Kilichobaki kwenye hizi dini kubwa ni kurithishana dini tu wala si mafundisho tena,ukizaliwa romani basi na ww ni mroma, ukizaliwa uislamu na ww utakuwa muislamu lakini mafundisho halisi ya dini yako unakuwa hujui hata kidogo,hata kuitetea imani inakupa tabu.

Ombeni nanyi mtapewa,Tafuteni nanyi mtapata, TAFUTENI KWELI MTAKUWA HURU.
Kwa hiyo umeamua kukimbilia kwa akina ze buuldozier Thioo,kila la khr kwa kuwa utapata unachokitafuta🚶
 
You see...Nani alisema kwamba kazi ya roho mtakatifu iliisha baada ya kuandikwa kwa Biblia? Biblia ni kitabu kitakatifu, chenye kuongoza mafunzo ya wokovu wetu. Ila Mwenyezi Mungu hajaacha kuendelea kufanya kazi zake baada ya kuandika biblia.
Kwa maana hiyo basi, ukitaka kuelewa vizuri mafundisho na miongozo ya kanisa katoliki, weka jazba na emotions pembeni. Chukua biblia yako na usogee kujifunza, ili uwe hakimu wa haki.
You will be surprised to see what is there inside the church.....
Leo hii hata mashoga wanatumia biblia kuhalalisha ushoga. Wauaji nao. Na kila aina ya dhambi. Kwa maana hiyo utakatifu wa Mwenyezi Mungu uko katika biblia na hata nje ya biblia. Ni Mungu mwenye nguvu na uwezo wote, asiyewekewa mipaka na binadamu au kiumbe cha aina yoyote
Haujajibu swali boss,hayo uliyosema nayajua, biblia itatumika hata na shetani mwenyewe lakini hakuondoi maana yake
 
Haujajibu swali boss,hayo uliyosema nayajua, biblia itatumika hata na shetani mwenyewe lakini hakuondoi maana yake
Kula na kumiliki kanisa kunaendana na uwezo wa ligi na nguvu za upako hivyo sidaiwi kujibu au kutokujibu chochote 🚶
 
Kwa sasa nyumba nyingi za ibada zinakimbiwa na waumini, hii unatokana waumini kuchoshwa na mienendo ya kanisa ambayo ni tofauti na lilichoachwa na mitume.

Jumuia inabaki na wabibi tena wachache sana hata kupita mtaani kupeleka msalaba nyumba nyingine wanaona aibu.

MAMBO YANAYOCHOSHA
Nipokuwa katoliki sikuweza kufungua Biblia wala kuielewa mpaka nilipochukua hatua mwenyewe.
Mafundisho mengi ya uongo, hii imefanya waumini kuanza kuichunguza Biblia ili kupatanisha na mafundisho yanapoonekana ni tofauti wengi wanakata tamaa na kuhamia sehemu nyingine au kuchana na kanisa kabisa.

ULAFI WA VIONGOZI WA KIROHO
Kiongozi wa dini anafundisha upendo lakini yeye akiwa mbinafsi na Asiyejali.

UBAGUZI
Waliopewa dhamana wanaangalia zaidi maslahi kuliko kondoo, mwenye pesa ndio huzikwa na Padri hata kama hakuwa muumini, asiye na pesa atazikwa na jumuiya tu.

MICHANGO MINGI.
Hii toa toa tu ya ulichonacho kimekatisha wengi tamaa, kutoa sadaka kwa mstari kunapunguza waumini sababu kuna mengine weenda kusikiliza neno lakini hawana chochote, anapobaki kwenye benchi anaaibika na siku nyingine haji.

USIRI NA KULINDANA
Kuna vitendo vingi sana vya unyanyasaji kingono vinavyofanywa na mapandri dhidi ya vijana wadogo, mapadri kuzaa na masista kisiri, mapadri kuwa na watoto mitaani na hakuna hatuwa wanayochukuliwa.

Kilichobaki kwenye hizi dini kubwa ni kurithishana dini tu wala si mafundisho tena,ukizaliwa romani basi na ww ni mroma, ukizaliwa uislamu na ww utakuwa muislamu lakini mafundisho halisi ya dini yako unakuwa hujui hata kidogo,hata kuitetea imani inakupa tabu.

Ombeni nanyi mtapewa,Tafuteni nanyi mtapata, TAFUTENI KWELI MTAKUWA HURU.
Tuachie kabisa letu takatifu katoliki la mitume.
 
Back
Top Bottom