RC dhoofu: Jumuiya zimebaki na kina mama tu tena wazee

RC dhoofu: Jumuiya zimebaki na kina mama tu tena wazee

Kanisa ni moja, Takatifu, Katoliki la mitume.

Mengine ni madhehebu, Ila kanisa ni moja.
Amri ya kanisa, Toa zaka na changia kanisa.Madhaifu ya wachache hayaondoi umuhimu na mema ya kanisa
Nakazia hapohapo..

Kwa kuongezea...yeye aondoke tu...hakuna wakumfunga kamba, tena ikiwezekana aondoke na familia au ukii wake wote.

Hili kanisa limeishapitia kipindi kigumu sana huko nyuma na halikufa..

Sisi RC hatumpiganii Mungu wetu....yeye mwenyewe ajipiganie...kwa hiyo maneno ya mtu au experience binafsi ya mtu yoyote haiwezi kutisha wala kutingisha kanisa.

RC ni kama institution ambayo huwezi ukaona mtu mmoja anayeimiliki na hayupo...ni kama serikali tu.....
 
Wewe unataka tu malumbano ya kijinga. Hivyo kunyamaza pia ni busara. Unalazimisha nimsikilize Askofu Kilaini kwenye radio, as if na mimi nina huo muda wa kusikiliza redio kama wewe.
Sawa mambo yasiwe mengi ila fuatilia masuala ya kanisa lako kwa umakini ili ukiulizwa maswali usipuyange sio unashadadia michango tu, sawa katekista?
 
Sasa Kama mtu ulishahama yanini kuumia moyo wkt huko ulipo unapata amani
Hii Ni Sawa na kuachana na mkeo halafu bado roho inakuuma ukiona anastawi.
Relax na Imani Yako, Mambo ya kuponda uislamu sijui usabato
Kila mtu kwa upande wake anaona yupo sehemu sahihi
Kila mmoja alambe asali kwa nafasi yake
Mnabishana Mambo ambayo hamuwezi kukubaliana why????
 
Naomba nitajie hiyo michango mingine na mimi niifahamu!!!

Nafurahi sana mtaani kwangu (naamini hata mitaa mingine wanafanya hivi) KKKT wameiga system ya kusali jumuiya nyumba kwa nyumba maana wamegundua ndipo waumini mtakapojuana yupi mwenye changamoto yupi yupo salama naimani hata ninyi sijui waislam na wasabato kuna siku mtaiiga hii.
Mimi nmemaliza mkuu, ukitaka kuendelea na mada wewe endelea tu, ujumbe wangu umeshawafikia
 
Another mental case.

Unasumbuliwa roho ya usaliti; imekufanya uchanganyikiwe, sasa kama wewe umepevuka ktk hayo si ujibidiishie huko uliko?

Achana na mambo yao.
Hivi unaamini kabisa kwamba umefikiri vizuri kuliko ya mamilioni ya uliowaacha??
 
Njooni kwenye uislamu ni dini ya haki ni dini isiyo na makandokando. Njooni muipate ladha ya kuamini mungu mmoja. Karibuni katika uislamu mjiepushe na sononeko la kiimani.
SHIDA SIO UISLAMU KUWA NI DINI YA HAKI, SHIDA IKO KWENYE MATENDO.!
TUNAWEZA SEMA NDIO DINI MOJA DUNIAN, DINI KUU PAKEE YA MWISHO DUNIANI,JE MATENDO YA WATU WAKE YAKOJE?
UNAWEZA SWALI KWA FORMULA , TANO KWA SIKU...NA BADO UKAINGIA NA KUFANYA YALE YA KINYUME NA MAUMBILE(HAPA NAJUA UMENIELEWA VIZURI).
UNAWEZA VAA NGUO NDEFU, NA KUFICHA SURA UKABAKI MACHO TU, LAKINI KUNA MENGI UNAFANYA TUSIYOYAJUA
KESI NYINGI ZA JINAI, MADAI NA MAUAJI HAPA NCHINI, ZINATOKA KWA WATU WA DINI KUU.
WANAO UA WATU WENGI KWA MABOMU, SIRAHA NI WATU WA DINI KUU.
WANAOTESA NA KUBAGUA WATU WEUSI KWENYE NCHI ZILE NI WATU WA DINI YA MTUME, TENA KABILA MOJA
UNAWEZA KUONGEA NA KUTEMBEA KAMA ASKOFU PENGO, LAKINI UKAWA NA MATENDO MPAKA SHETANI ANAOGOPA MATENDO YAKO.

MATENDO YA MTU NDIO KIELELEZO CHA UTAKATIFU NA UZURI WA IMANI YAKE
UTAKATIFU SIO KUFANYA MEMA MBELE ZA MACHO YA WATU, NA KUWA MWOVU SIRINI.

KUNA WATU SIO WA DINI HII WALA ILE, LAKINI NI WAAMINFU, WANYOOFU, SIO WABINAFSI, SIO WARAFI, SIO WAFIR.AJI,SIO WEZI, SIO WAUAJI, SIO... SIO... SIO....
 
ukiristo nidini yawapigajitu imekaa kimchongo zaidi ndomana mnakosoana wenyewe kwa wenyewe
Shia na sunni hawana issue?

Hizi dini zimeletwa kupumbaza watu kama wewe.

Dini ya hakki ni ipi?
 
Walei tunakanyagia mayeboyebo halafu nyie makasisi mnaendesha magari yanayonesa.

Hii si haki baba paroko. Na mwaka huu hatutoi sadaka.

Mkafanye kazi mle kwa jasho. Alaah!

Tate Mkuu
padri akija kwenye sherehe ya jumui ya somo wa jumuiya baada ya msosi mnamwekea kreti moja ya bia kwenye buti ya gari akanywe misheni au sakristi kabisa
 
Mimi nmemaliza mkuu, ukitaka kuendelea na mada wewe endelea tu, ujumbe wangu umeshawafikia
Bora umekaa kimya!!!

Na ni dalili ulichokuwa unataka kusema ni hearsay,tupo watu tunatoa sadaka hata tusipojulikana wala kutajana majina alimradi neno la Mungu lisikike hata kwa wasiokuwa waamini.unaijua Radio Maria?ukipata wasaa kaa pembeni usikilize utasikia miujiza inatakiwa 1bill matumizi ya mwaka unaokuja uone watu wanachofanya,mwaka jana ilikuwa mill 850 ikabaki na change .

Na siyo Jumuiya useme wanatafuta kuzikwa na Kanisa (madai ya ninyi msiokuwa wakatoliki kusema eti sharti la kwanza la muumini ni kutoa sadaka) sharti la kuwa Mkatoliki siyo kutoa sadaka au michango au kuijua sana biblia sharti ni je!Sakramenti zitolewazo na Kanisa zimemfaa vipi muumini kwa kuishi na watu?kujali watu?siyo unajiita mkristo kwa sababu umekariri vifungu huku matendo zero.
 
Hahahaaaa

Kasisi anaendesha LANDCRUISER ya milioni 200, halafu wewe MLEI UCHWARA unakanyagia yeboyebo.

Tate umepotoka [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kasisi kajengewa nyumba na waumini halipi kodi,hana majukumu lakini muumini una mambo kibao.
Kusomesha
Kulipa kodi
Umeme
Malazi ya familia
Nani anahitaji kuchangiwa hapo? Kasisi au muumini?
 
Kabisa
Watu wengi wako kwenye dini kwa sababu wamezaliwa kwenye hiyo dini, hakuna suala la kufikiri na kupambanua.
,Ndio maana mtu haijui dini kiundani sababu karithi. Ulaya makanisa yako matupu,ni wazee unawakuta wachache tu
 
Kasisi kajengewa nyumba na waumini halipi kodi,hana majukumu lakini muumini una mambo kibao.
Kusomesha
Kulipa kodi
Umeme
Malazi ya familia
Nani anahitaji kuchangiwa hapo? Kasisi au muumini?
Kwanza unapozumgumzia taasisi ya kikatoliki jua hakuna kitu kinachoitwa cha kasisi nyumba ni ya parokia siyo ya padre yeye anakaa anaiacha anakuja mwengine anaicha gari anaendesha akihamishwa anaiacha.

Ndo maana umeambiwa wewe hujawahi kuwa Mkatoliki,huyajui majukumu ya Padre?kwamba yeye analala tu siyo?jadilini yanayozihusu imani zenu acheni ku-pretend haisaidii.
 
Mkuu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kasisi aendeshe angalau RAV 4.

Kubana matumizi, sio tunakamuliwa ili padri aishi kwa anasa.
Achana na Rav 4,kasisi ajipime je anaweza kujenga mnara? Kwanini ategemee waumini? Paulo akitengeneza mahema na maturubai ili aweze kuishi, hakutegemea michango ilia kuhubiri, jambo ambalo ni tofauti na viongozi wa dini ya sasa
 
Acha kukariri ndugu.
Imani yako ya kikatoliki isikufanye kuona watu wenye imani zingine ni wajinga au wapumbavu.
Imani ni suala binafsi sana, mpaka mtu anaamua kutoka imani moja kwenda nyingine ni lazima alihusisha Akili yake na kutafakari vizuri. Huyo mtu muheshimu hata kama mnatofautiana naye.

Ngoja nikutafakarishe kitu kimoja hapa.

Hivi unajua zaidi ya 90% ya wakatoliki wako kwenye ukatoliki kwa sababu tu, walizaliwa na kulelewa na wazazi wakatoliki. Hapo akili ya muumini imetumikaje?
Na mimi nitasema hivyo hivyo kwa imani yako na labda hili kwako ndo unaliishi,siuoni ubaya wa Ukatoliki ikiwa kuna ishara naziona ni sehemu salama kwangu kiroho ktk umri nilionao sasa.

Miaka yangu 30+ uniambie imani yangu niliyonayo ni kwa sababu nilizaliwa na wazazi wakatoliki....are you kidding?
 
Kwanza unapozumgumzia taasisi ya kikatoliki jua hakuna kitu kinachoitwa cha kasisi nyumba ni ya parokia siyo ya padre yeye anakaa anaiacha anakuja mwengine anaicha gari anaendesha akihamishwa anaiacha.

Ndo maana umeambiwa wewe hujawahi kuwa Mkatoliki,huyajui majukumu ya Padre?kwamba yeye analala tu siyo?jadilini yanayozihusu imani zenu acheni ku-pretend haisaidii.
Hata kama bado majukumu hana,ana majukumu gani?
 
Back
Top Bottom