RC dhoofu: Jumuiya zimebaki na kina mama tu tena wazee

RC dhoofu: Jumuiya zimebaki na kina mama tu tena wazee

Kasisi gani anaye endesha Landcruiser ya milioni 200? Maaskofu wetu wenyewe tu hawajafikia kuendesha magari ya aina hiyo!

Most of our Priests wanamiliki Landcuiser Hardtop, Toyota double cabin! Tena zenye namba za zamani kabisa, na wakiwa wengi wao walipewa kama zawadi/msaada na wafadhili wao wa MIVA! Na magari hayo hutumiwa kwa ajili ya uinjilishaji

Au mwenzangu unaongelea Kanisa Katoliki la wapi hilo?
Baba askofu anatumia LANDCRUISER ya MILIONI 200.

Kitu mayai, inanesa kwenye mashimo na mabonde.

Mlei unakula vumbi tu na kutoa sadaka huku ukiimba pambio la kutetea dini. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Askofu Methodius Kiraini aliwahi kuulizwa swali kuhusu michango mingi ya kanisa na Jumuiya ndogo ndogo, kwenye kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, unajua alijibu nini?

Nijibu hapa alafu tuendelee
Kwa hiyo mimi kazi yangu ni kumsikiliza huyo Askofu Methodius Kilaini kwenye redio! Au hicho kipindi kilkuwa ni special kiasi cha waumini wote kutakiwa kukisikiliza?

Nikuulize na mimi kuhusu hotuba ya kwanza kabisa ya Waziri Mkuu wa kwanza wa Tanganyika Mwalimu Julius Nyerere baada ya Tanganyika kupata Uhuru, utaweza kuilezea?
 
Ukiwa huna kipato hizo jumuiya ni kuaibishwa daily
Unaaibishwa vipi?

Wengi mnaochangia hizi mada siyo wakatoliki jueni na jifunzeni kwamba jumuiya ndogo ndogo ni kwa ajili ya kusali pamoja familia za mtaa (kisheria ni nyumba 20) za mtaa husika na kusaidiana kwa mambo mbalimbali na siyo kwa ajili ya kukusanya michango,hapa ndipo tajiri ataingia kwaenye nyumba ya maskini na maskini ataingia kwenye nyumba ya tajiri.ajabu mchango unaozungumzwa hapa ni sadaka au tunisha mfuko nashangaa muumini anakaza shingo asijue ile ni ibada kamili na hizo sadaka haziendi popote ni kwa ajili ya manufaa yenu wenyewe.

Mfano sisi mwanajumuiya akipata tatizo inatolewa pesa ktk hazina kwa ajili ya kumfariji how ulalamike vitu kama hivyo?hii lugha michango michango inazungumzwa hapa as if ni Catholic pekee ndiyo wanaojiendesha kwa pesa,wewe msabato usitoe sadaka umeme uishe au jengo la Kanisa lipate hitilafu uone kama utafanya ibada kwa amani.
 
Baba askofu anatumia LANDCRUISER ya MILIONI 200.

Kitu mayai, inanesa kwenye mashimo na mabonde.

Mlei unakula vumbi tu na kutoa sadaka huku ukiimba pambio la kutetea dini. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Shida iko wapi hata akitembelea gari yenye thamani hiyo? Unataka Askofu atembelee mkokoteni? Hakika mtaumia sana. Ila kamwe hamtaweza kulishinda Kanisa la Mungu!

Mlilikuta, na mtaliacha. This is what i promise you.
 
Unaaibishwa vipi?

Wengi mnaochangia hizi mada siyo wakatoliki jueni na jifunzeni kwamba jumuiya ndogo ndogo ni kwa ajili ya kusali pamoja familia za mtaa (kisheria ni nyumba 20) za mtaa husika na siyo kwa ajili ya kukusanya michango,ajabu mchango unaozungumzwa hapa ni sadaka au tunisha mfuko nashangaa muumini anakaza shingo asijue ile ni ibada kamili na hizo sadaka haziendi popote ni kwa ajili ya manufaa yenu wenyewe.

Mfano sisi mwanajumuiya akipata tatizo inatolewa pesa ktk hazina kwa ajili ya kumfariji how ulalamike vitu kama hivyo?hii lugha michango michango inazungumzwa hapa as if ni Catholic pekee ndiyo wanaojiendesha kwa pesa,wewe msabato usitoe sadaka umeme uishe au jengo la Kanisa lipate hitilafu uone kama utafanya ibada kwa amani.
Usitufanye km sisi hatujakulia maisha ya Jumuiya yooote unayoyaeleza tunayajua, kinacholalamikiwa hapa ni Michango mingi kwenye Jumuiya enzi za zamani michango ilikua ni Zaka, Sadaka na Vipaji tu hakukua na michango mingine tofauti na hio
 
Unaaibishwa vipi?

Wengi mnaochangia hizi mada siyo wakatoliki jueni na jifunzeni kwamba jumuiya ndogo ndogo ni kwa ajili ya kusali pamoja familia za mtaa (kisheria ni nyumba 20) za mtaa husika na siyo kwa ajili ya kukusanya michango,ajabu mchango unaozungumzwa hapa ni sadaka au tunisha mfuko nashangaa muumini anakaza shingo asijue ile ni ibada kamili na hizo sadaka haziendi popote ni kwa ajili ya manufaa yenu wenyewe.

Mfano sisi mwanajumuiya akipata tatizo inatolewa pesa ktk hazina kwa ajili ya kumfariji how ulalamike vitu kama hivyo?hii lugha michango michango inazungumzwa hapa as if ni Catholic pekee ndiyo wanaojiendesha kwa pesa,wewe msabato usitoe sadaka umeme uishe au jengo la Kanisa lipate hitilafu uone kama utafanya ibada kwa amani.
Walei tunakanyagia mayeboyebo halafu nyie makasisi mnaendesha magari yanayonesa.

Hii si haki baba paroko. Na mwaka huu hatutoi sadaka.

Mkafanye kazi mle kwa jasho. Alaah!

Tate Mkuu
 
Shida iko wapi hata akitembelea gari yenye thamani hiyo? Unataka Askofu atembelee mkokoteni? Hakika mtaumia sana. Ila kamwe hamtaweza kulishinda Kanisa la Mungu!

Mlilikuta, na mtaliacha. This is what i promise you.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kasisi aendeshe angalau RAV 4.

Kubana matumizi, sio tunakamuliwa ili padri aishi kwa anasa.
 
Usitufanye km sisi hatujakulia maisha ya Jumuiya yooote unayoyaeleza tunayajua, kinacholalamikiwa hapa ni Michango mingi kwenye Jumuiya enzi za zamani michango ilikua ni Zaka, Sadaka na Vipaji tu hakukua na michango mingine tofauti na hio
Sasa kama unaona michango ni mingi si hamia Kanisa lisilo na michango! Kwa nini mnalalamika bila ya kuchukua hatua? Kuna mtu kawafunga kamba?
 
Walei tunakanyagia mayeboyebo halafu nyie makasisi mnaendesha magari yanayonesa.

Hii si haki baba paroko. Na mwaka huu hatutoi sadaka.

Mkafanye kazi mle kwa jasho. Alaah!

Tate Mkuu
Andika facts basi kama mtu aliyepita shule.

Yupo asiyeujua mlango wa Kanisa still anavaa yeboyebo.

Unaweza ukawa na hoja ila unavyoiwasilisha sivyo,tulia andika sema unataka nini?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kasisi aendeshe angalau RAV 4.

Kubana matumizi, sio tunakamuliwa ili padri aishi kwa anasa.
Nani anakukamua! Kuna mtu aliwahi kukushtaki kwa kukataa kutoa hiyo michango! Na kama unaogopa kutengwa, shida iko wapi! Hamia Kanisa la Masanja Mkandamizaji! Huko utaishi maisha ya amani.
 
Sasa kama unaona michango ni mingi si hamia Kanisa lisilo na michango! Kwa nini mnalalamika bila ya kuchukua hatua? Kuna mtu kawafunga kamba?
Nimekuuliza swali unarukaruka, don't be like useless jibu swali langu nimeku-tag kwenye swali na nilikulenga wewe sio mtu mwingine yoyote
 
Askofu Methodius Kiraini aliwahi kuulizwa swali kuhusu michango mingi ya kanisa na Jumuiya ndogo ndogo, kwenye kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, unajua alijibu nini?

Nijibu hapa alafu tuendelee
Tate Mkuu swali hilo hapo ☝️ Jibu usirukeruke
 
Karibu Kwa mwamposa ujionee miujiza Kaka. Archana na hao
Miujiza kuliko hata ya Yesu. Ki ukweli binafsi nasikitishwa na mienendo ya hizi dini za kikristo. Nina uhakika hata Yesu mwenyewe angekuja leo angeshangwaza ni jinsi dini zilivyogeuka biashara. Miujiza ya michongo na mambo mengi yasifuata utamaduni na lengo la dini aliyo asisi.

Ila uzuri ni kwamba kadri siku zinavyoenda watu wengi wanazidi kuelimika na kung'amua kuwa wanaibiwa.

Ivumayo haidumu. Haya makanisa yamevuma na sasa yako kwenye kilele ila yataanza kuporomoka. Nadhani baada ya miaka 20 ijayo hakutakuwa na wimbi kubwa la makanisa, wachungaji, ma prophet na manabii wengi sasa. Watu wataujua ukweli na ukweli utawaweka huru kama wenzetu wa nchi zilizoendelea.

Na uzuri ni kwamba wao wenyewe ndo wanajimaliza.
 
Nimekuuliza swali unarukaruka, don't be like useless jibu swali langu nimeku-tag kwenye swali na nilikulenga wewe sio mtu mwingine yoyote
Unauliza swali la kipuuzi halafu unategemea nitakujibu nini? Unaongelea habari ya Askofu Kikaini kuulizwa swali kwenye kipindi cha redio! Halafu unataka nikujibu, kana kwamba tulikuwa wote kusikiliza hicho kipindi!
 
Back
Top Bottom