RC dhoofu: Jumuiya zimebaki na kina mama tu tena wazee

RC dhoofu: Jumuiya zimebaki na kina mama tu tena wazee

Acha kukariri ndugu.
Imani yako ya kikatoliki isikufanye kuona watu wenye imani zingine ni wajinga au wapumbavu.
Imani ni suala binafsi sana, mpaka mtu anaamua kutoka imani moja kwenda nyingine ni lazima alihusisha Akili yake na kutafakari vizuri. Huyo mtu muheshimu hata kama mnatofautiana naye.

Ngoja nikutafakarishe kitu kimoja hapa.
Hivi unajua zaidi ya 90% ya wakatoliki wako kwenye ukatoliki kwa sababu tu, walizaliwa na kulelewa na wazazi wakatoliki. Hapo akili ya muumini imetumikaje?
Asante sana mkuu,chukua 👊
 
Mtoa mada haujawahi kuwa mkatoliki wa kweli. Lkn acha tuchukulie uliyoandika ni kweli.
Nieleze huko ulikohamia ni wapi?
Ni kule wanakouza mafuta ya kupaka na maji?
Ni kule kumuona nabii unalipia?
Ni kule mnakopangwa kwenye viti kutokana na uwezo wa kifedha alionao muumini?
Je ni kule maombi mnayoyaita deliverence wachungaji wanayafanyia Hotelini kwenye vyumba vya wageni?
Je ni kule wanakoruhusu dada kuingia kanisani akiwa nusu uchi?
Je ni kule Katibu wa kanisa anamla mama mchungaji na bado wanaruhusiwa kuwafanyia maombi waumini?
Hebu nieleze ni wapi uliko ambako upo salama.
Labda ni kule kwa Gwaji boy mzee wa kujirekodi akikata mauno huku akiwa na Pisi kali
 
MICHANGO MINGI.
Hii toa toa tu ya ulichonacho kimekatisha wengi tamaa, kutoa sadaka kwa mstari kunapunguza waumini sababu kuna mengine weenda kusikiliza neno lakini hawana chochote, anapobaki kwenye benchi anaaibika na siku nyingine haji.
Hii ndio funga kazi...

Yaan hapo umepiga kwenye kidonda kibichi kilichoshonwa
 
Yaani Kanisa lilikuwepo tangu Karne ya Kwanza AD, halafu lije liyumbishwe na na wapuuzi wachache wanao ona ni bora kuhonga, kuliko kuchangia ujenzi wa nyumba ya Kasisi!!

Wenye imani yetu tutabaki mpaka mwisho.
Askofu Methodius Kiraini aliwahi kuulizwa swali kuhusu michango mingi ya kanisa na Jumuiya ndogo ndogo, kwenye kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, unajua alijibu nini?

Nijibu hapa alafu tuendelee
 
Jumuiya zimekua za Matajiri, km wewe ukijijua ni Masikini basi kaa kushoto, wenzio wengi wanafanya hivyo na wanaishia kutishwa kwamba "hawatazikwa na kanisa", kisa hawatoi michango ya Jumuiya sababu hali yao ni duni
Nilishamkanya mke wangu kwenda kwenye jumuiya za ajabu ajabu.

Alijaribu kwenda nilimtandika makofi kweli kweli. Sitaki michango ya kufanya watu tunaishi kwa mashaka.

Kuzikwa na padri ndo kitu gani? Ujinga tu.
 
Yaani Kanisa lilikuwepo tangu Karne ya Kwanza AD, halafu lije liyumbishwe na na wapuuzi wachache wanao ona ni bora kuhonga, kuliko kuchangia ujenzi wa nyumba ya Kasisi!!
Hahahaaaa

Kasisi anaendesha LANDCRUISER ya milioni 200, halafu wewe MLEI UCHWARA unakanyagia yeboyebo.

Tate umepotoka [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nilishamkanya mke wangu kwenda kwenye jumuiya za ajabu ajabu.

Alijaribu kwenda nilimtandika makofi kweli kweli. Sitaki michango ya kufanya watu tunaishi kwa mashaka.

Kuzikwa na padri ndo kitu gani? Ujinga tu.
Jumuiya zimebadirika kipindi hiki

Zamani kipindi cha nyuma hakukua na michango zaidi ya Zaka na Vipaji kila Jumapili na Jumuiya hupokezana kutoa Vipaji
 
Watu wengi wako kwenye dini kwa sababu wamezaliwa kwenye hiyo dini, hakuna suala la kufikiri na kupambanua.
Aliyehama ukatoliki haujui ukatoliki vizuri
wengi wao uwezo wa kufikiri na kupambanua mambo ni finyu (IQ Ndogo)

Waliozaliwa kwenye madhehebu au Didi nyingine sina neno juu yao kwani wao wanasikia na kulishwa sumu

Narudia aliyehama Rc hana uwezo wa kuisimamia familia yake.
 
Hahahaaaa

Kasisi anaendesha LANDCRUISER ya milioni 200, halafu wewe MLEI UCHWARA unakanyagia yeboyebo.

Tate umepotoka [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kasisi gani anaye endesha Landcruiser ya milioni 200? Maaskofu wetu wenyewe tu hawajafikia kuendesha magari ya aina hiyo!

Most of our Priests wanamiliki Landcuiser Hardtop, Toyota double cabin! Tena zenye namba za zamani kabisa, na wakiwa wengi wao walipewa kama zawadi/msaada na wafadhili wao wa MIVA! Na magari hayo hutumiwa kwa ajili ya uinjilishaji

Au mwenzangu unaongelea Kanisa Katoliki la wapi hilo?
 
Watu wengi wako kwenye dini kwa sababu wamezaliwa kwenye hiyo dini, hakuna suala la kufikiri na kupambanua.
Aliyehama ukatoliki haujui ukatoliki vizuri
wengi wao uwezo wa kufikiri na kupambanua mambo ni finyu (IQ Ndogo)

Waliozaliwa kwenye madhehebu au Didi nyingine sina neno juu yao kwani wao wanasikia na kulishwa sumu

Narudia aliyehama Rc hana uwezo wa kuisimamia familia yake.
 
Back
Top Bottom