RC Gambo aumbuka. Vijana wa CCM Arusha wamshambulia mitandaoni, aamua “ku left “

Ndiyo umetoka kijijini kwenu juzi 3.6 unaanza na posho ya kujikimu ya buku 7
Lema ana hofu ya kila kitu..wale aliokua anaitana nao Makamanda wamemgeuka....sizani hata kama anatamani kugombea kwa kuhofia aibu.
 
Huyo jamaa nae anahangaika sanaaa tatizo.
 
Kwa ninavyojua huu utenguzi unaweza kuwa nimoja yatenguzi zilizofanyiwa tafiti za kutosha be4.

Kati ya yote yaliyoletwa na mleta uzi! Kuna hoja kuu mbili zaweza kuwa zimeperekea utenguzi huu.
1.kuwakumbatia wakwepa kodi kwa kuwaita wadau.
Sababu mpaka mda huu kuna aliyekuwa anajiita muwekezaji wa tanzanite one yupo ndani mpaka sasa.

Nahuyu alikuwa akiitwa mdau mkuu wa serikari kiasi cha kumzuia afisa madini wa kufika kwenye eneo lake nakutaka kumshitaki kwa rushwa labda anahusika na gambo.

2. Gambo na mkuu wa wilaya na madeni kwa maana ya mkurugenzi wa jiji wte walikuwa wababe. Hivyo wasingeweza kufanya kazi.

4. Kuna aliye wachoma! Eiza kati yao au wapembeni yao.

Tukutane j3. Mzee wa sifichagi ataliweka wazi wakati akiapisha.
Mkumbuke itakuwa saa2:30

Najua tv zte zitaungana natukio hili kuliko matukio yyte.
 
Duh...!.
Kuna kitu niliwahi kushauri kumhusu Mrisho Gambo.
Rais Magufuli, somo la managing diversity kwa Serikali yako linahitajika
P
 
Sijawahi kuingiliana wala kukutana na Gambo kwenye suala lolote ila nimefurahi mnoo.Bado Hapi ,afuate Komanya mwisho Konda boi .
 
Hili la kuwafunga viongozi wenzake analipenda, naona limeanza kumtudi maana hata huko alikotoka Uvinza, Kigoma alikokuwa mkuu wa Wilaya alkuwa akiwaweka ndani watumishi.
 
Kumbe utenguzi umeanzia huku, walianza kumshambulia mapema hawa kizazi cha kinafiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…