RC Hapi umepewa onyo la Mwisho, omba radhi kwa kutukana Wazee

RC Hapi umepewa onyo la Mwisho, omba radhi kwa kutukana Wazee

mngony

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2012
Posts
5,555
Reaction score
6,972
Sote tunakumbuka ulivyotukana Wazee wetu tena kwa kiburi majivuno ukifoka kama unawafokea watoto wadogo. Hilo halikuwahi kufanyika na kiongozi mwingine yeyote.

Kitendo cha kuhamishiwa Mkoa kupelekwa Mara wakati 'mwenzako' anatumbuliwa unatakiwa kukitafakari na kuona ni onyo la mwisho, unatakiwa kuomba msamaha.

Wewe bado ni kijana mdogo na una safari ndefu sana, waombe radhi Wazee uliowadhihaki na kuwatukana. Ikiwezekana omba hadharani kama vile ulivyowatukana hadharani

Iga mfano wa Mwenyekiti wa UVCCM Kheri James, japo msamaha ulikuwa wake binafsi ila nakushauri na wewe ufanye hivyo.
 
Sote tunakumbuka ulivyotukana Wazee wetu tena kwa kiburi majivuno ukifoka kama unawafokea watoto wadogo. Hilo halikuwahi kufanyika na kiongozi mwingine yeyote.

Kitendo cha kuhamishiwa Mkoa kupelekwa Mara wakati 'mwenzako' anatumbuliwa unatakiwa kukitafakari na kuona ni onyo la mwisho, unatakiwa kuomba msamaha.

Wewe bado ni kijana mdogo na una safari ndefu sana, waombe radhi Wazee uliowadhihaki na kuwatukana. Ikiwezekana omba hadharani kama vile ulivyowatukana hadharani

Iga mfano wa Mwenyekiti wa UVCCM Kheri James, japo msamaha ulikuwa wake binafsi ila nakushauri na wewe ufanye hivyo.

Happy lazima aende na mma next reshuffle.
 
Huyu kashawafata kimya kimya, kinikumbuka alivyomdharau JK sidhani kama hajamfata chemba kuyamaliza, amejifunza kutomtegemea mwanadamu na kurudi kumtegemea Mungu
kwani kjk ndo mungu mtu,au ndo amebeba hatima ya viongozi wa nchi hii!!??,acha uzwazwa wewe,Kama mtu kqboronga anapewa ukweli was waz
 
Sote tunakumbuka ulivyotukana Wazee wetu tena kwa kiburi majivuno ukifoka kama unawafokea watoto wadogo. Hilo halikuwahi kufanyika na kiongozi mwingine yeyote.

Kitendo cha kuhamishiwa Mkoa kupelekwa Mara wakati 'mwenzako' anatumbuliwa unatakiwa kukitafakari na kuona ni onyo la mwisho, unatakiwa kuomba msamaha.

Wewe bado ni kijana mdogo na una safari ndefu sana, waombe radhi Wazee uliowadhihaki na kuwatukana. Ikiwezekana omba hadharani kama vile ulivyowatukana hadharani

Iga mfano wa Mwenyekiti wa UVCCM Kheri James, japo msamaha ulikuwa wake binafsi ila nakushauri na wewe ufanye hivyo.
Huyu hana akili
 
Sote tunakumbuka ulivyotukana Wazee wetu tena kwa kiburi majivuno ukifoka kama unawafokea watoto wadogo. Hilo halikuwahi kufanyika na kiongozi mwingine yeyote.

Kitendo cha kuhamishiwa Mkoa kupelekwa Mara wakati 'mwenzako' anatumbuliwa unatakiwa kukitafakari na kuona ni onyo la mwisho, unatakiwa kuomba msamaha.

Wewe bado ni kijana mdogo na una safari ndefu sana, waombe radhi Wazee uliowadhihaki na kuwatukana. Ikiwezekana omba hadharani kama vile ulivyowatukana hadharani

Iga mfano wa Mwenyekiti wa UVCCM Kheri James, japo msamaha ulikuwa wake binafsi ila nakushauri na wewe ufanye hivyo.
Tunamvutia pumzi huyo!
 
Sote tunakumbuka ulivyotukana Wazee wetu tena kwa kiburi majivuno ukifoka kama unawafokea watoto wadogo. Hilo halikuwahi kufanyika na kiongozi mwingine yeyote.

Kitendo cha kuhamishiwa Mkoa kupelekwa Mara wakati 'mwenzako' anatumbuliwa unatakiwa kukitafakari na kuona ni onyo la mwisho, unatakiwa kuomba msamaha.

Wewe bado ni kijana mdogo na una safari ndefu sana, waombe radhi Wazee uliowadhihaki na kuwatukana. Ikiwezekana omba hadharani kama vile ulivyowatukana hadharani

Iga mfano wa Mwenyekiti wa UVCCM Kheri James, japo msamaha ulikuwa wake binafsi ila nakushauri na wewe ufanye hivyo.
Hii post iishi tuje kumuonesha siku akienda kukabidhi ofisi kwa bajaj

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naamini huyu kijana atajifunza au atakuwa amejifunza.

Kauli mbaya humuandama mtu
Kauli moja mbaya ilimuandama Cleopa Msuya alipowaambia wananchi kipindi cha uchumi mgumu kuwa "Kila mtu abebe mzigo wake"

Kauli nyingine ni ya John Malechela alishawahi kuwajibu watu "Go to hell", hii kauli ilimuandama pia

Sasa huyu bwana Hapi kauli ya kuwaambia "Wazee wakae kimya!", haikuwa busara ya nidhamu na heshima kwa wazee wetu

Abadilike kwa sababu SPONSORS huwa Wanakufa, hujui la kesho
 
Sote tunakumbuka ulivyotukana Wazee wetu tena kwa kiburi majivuno ukifoka kama unawafokea watoto wadogo. Hilo halikuwahi kufanyika na kiongozi mwingine yeyote.

Kitendo cha kuhamishiwa Mkoa kupelekwa Mara wakati 'mwenzako' anatumbuliwa unatakiwa kukitafakari na kuona ni onyo la mwisho, unatakiwa kuomba msamaha.

Wewe bado ni kijana mdogo na una safari ndefu sana, waombe radhi Wazee uliowadhihaki na kuwatukana. Ikiwezekana omba hadharani kama vile ulivyowatukana hadharani

Iga mfano wa Mwenyekiti wa UVCCM Kheri James, japo msamaha ulikuwa wake binafsi ila nakushauri na wewe ufanye hivyo.
Chapa kazi Ally Hapi wajinga chadema hawajawahi kuwa na jema na nchi hii
 
Huyu kashawafata kimya kimya, kinikumbuka alivyomdharau JK sidhani kama hajamfata chemba kuyamaliza, amejifunza kutomtegemea mwanadamu na kurudi kumtegemea Mungu
Aliwatukana hadharani, awaombe radhi hadharani.
Mwanasiasa yeyote yule akitukanwa hadharani huwa anapenda aoshwe hadharani.
 
1 Timotheo 5: 1 Mzee usimkemee, bali umwonye kama baba; na vijana kama ndugu;

... Yupo kijana wa makamu aliwahi nitukana, au niseme aliongea bila staha, anyways sikumjibu ila moyoni niliugua,

Haukupita muda nyumba yake ilishika moto mchana kweupe kila kitu kiliishia ndani, ashukuriwe Mungu watu walipona.

Kaeni vizuri na wazee au watu wazima.
 
Back
Top Bottom