RC Hapi umepewa onyo la Mwisho, omba radhi kwa kutukana Wazee

RC Hapi umepewa onyo la Mwisho, omba radhi kwa kutukana Wazee

Sote tunakumbuka ulivyotukana Wazee wetu tena kwa kiburi majivuno ukifoka kama unawafokea watoto wadogo. Hilo halikuwahi kufanyika na kiongozi mwingine yeyote.

Kitendo cha kuhamishiwa Mkoa kupelekwa Mara wakati 'mwenzako' anatumbuliwa unatakiwa kukitafakari na kuona ni onyo la mwisho, unatakiwa kuomba msamaha.

Wewe bado ni kijana mdogo na una safari ndefu sana, waombe radhi Wazee uliowadhihaki na kuwatukana. Ikiwezekana omba hadharani kama vile ulivyowatukana hadharani

Iga mfano wa Mwenyekiti wa UVCCM Kheri James, japo msamaha ulikuwa wake binafsi ila nakushauri na wewe ufanye hivyo.
mbona wakuu wa idara kila leo wanawatukana watumishi wa chini lkn hawachukuliwi hatua za kinidhamu.acheni wivu usio na msingi.kwa hiyo happi akitumbuliwa nyinyi mnapata nini?acheni kuchukia watu pasipo sababu hizo roho mbaya mlizonazo na watoto wenu mnawapandikiza maroho ya ajabu ajabu hivyo hivyo ndo maana hamuendelei sababu ya roho mbaya.
 
mbona wakuu wa idara kila leo wanawatukana watumishi wa chini lkn hawachukuliwi hatua za kinidhamu.acheni wivu usio na msingi.kwa hiyo happi akitumbuliwa nyinyi mnapata nini?acheni kuchukia watu pasipo sababu hizo roho mbaya mlizonazo na watoto wenu mnawapandikiza maroho ya ajabu ajabu hivyo hivyo ndo maana hamuendelei sababu ya roho mbaya.
Tulia wewe, nchi hii maRC na maDC wengi kwani yeye hapo na wenzake wachache.
 
uzuri wa chalamila ukimzingua anakuzingua chalamila mama alianza kumzingua akaona isiwe tabu kampa za uso mje na mabango yoyote hata ya matusi kayasema haya akijua atafukuzwa ila na yeye kaifikisha kwa wananchi
 
Sote tunakumbuka ulivyotukana Wazee wetu tena kwa kiburi majivuno ukifoka kama unawafokea watoto wadogo. Hilo halikuwahi kufanyika na kiongozi mwingine yeyote.

Kitendo cha kuhamishiwa Mkoa kupelekwa Mara wakati 'mwenzako' anatumbuliwa unatakiwa kukitafakari na kuona ni onyo la mwisho, unatakiwa kuomba msamaha.

Wewe bado ni kijana mdogo na una safari ndefu sana, waombe radhi Wazee uliowadhihaki na kuwatukana. Ikiwezekana omba hadharani kama vile ulivyowatukana hadharani

Iga mfano wa Mwenyekiti wa UVCCM Kheri James, japo msamaha ulikuwa wake binafsi ila nakushauri na wewe ufanye hivyo.
Aombe msamaha wa nini wewe mpuuzi?
 
Halina kuomba msamaha,
Hapo tumfanyie maandamano yasiyo na kikomo humu JF,ili siku mmoja tuheshimiane,walifikili mwendazake zake ndiyo Mungu wao na hatàkufa.
 
Back
Top Bottom