#COVID19 RC Kigoma: Mkoa una wagonjwa 12 wa Wimbi la tatu la ugonjwa wa COVID-19

#COVID19 RC Kigoma: Mkoa una wagonjwa 12 wa Wimbi la tatu la ugonjwa wa COVID-19

Hivi huko duniani wanavyosema wanaruhusu kikundi cha watu kisichozidi watu 10 hv hao watu hawawezi kuambukizana corona kama mmoja wao ana huo ugonjwa.? Mambo ya kuweka lockdown ya muda fulani mpaka fulani ni ujinga mtupu bora waachiwe tuu
Watu wengi eneo moja,wanaconsume hewa sana,matokeo mnsjikuta,mnavuti hewa ile ile mnayotoa,,
Kuzuia kutoka usiku,sababu usiku ndo watu hukutana nightclubs,bar,,wanakunywa pombe,wanakuwa sio makini,,,zero distance,,
Unaweza shangaa boss anatembea na usafiri kapata covid,,
Ujue kaupatia sana sana kunako starehe za usiku,etc
 
Sasa siku zote walikuwa wanaficha nini yani hadi watangaziwe pesa ndio watoe takwimu wakati ugonjwa kweli upo zaidi ya mwaka sasa na watu wanakufa.....
Unaweza ukawa mtu mzima ila ukawa na fikra za kitoto.hizo pesa hutolewa na masharti yake huwezi kuzitumia Kama unavyotaka. Hao waliochukua wako wapi saizi? Kama siyo matumizi sahihi ya kipawa Cha kufikiri alichopewa na Mungu Mwenda zake ,ad leo tungekuwa tunaishi Kama digidigi
 
Magufuli wako alificha maradhi nadhani uliona matokeo yake. Hivi nyie team legacy mnawaza kwa kutumia nini?
Kutoa takwimu Kila siku inakusaidia nini? Mara 1000 hiyo nguvu uwekeze kwenye kutafuta suluhu ya tatizo
 
halafu unakuta mijitu imekusanyika kwenye maeneo mbalimbali, kwenye mabasi n.k huku wakipumuliana na kupigiana chafya! Jamani eeeh! Vaeni barakoa kwa usahihi, tuache ubishi tutakwisha, tutapupitika!

tuvae barakoa kwa usahihi, tusivae barakoa kwenye videvu, kichani, au kuijaza mdomoni.

Vaa barakoa saizi yako usivae barakoa ya mtoto mdogo, vaa barakoa kwa usahihi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama uko kwenye mikusanyiko au msongamano wa watu halafu hujavaa barakoa halafu ukaambukizwa kirusi cha korona halafu ukafa, hapo nani wakulaumiwa?

Je, kunahaja ya kumlilia mtu aliye hatarisha uhai wake kwa uzembe wake mwenyewe?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
kama uko kwenye mikusanyiko au msongamano wa watu halafu hujavaa barakoa halafu ukaambukizwa kirusi cha korona halafu ukafa, hapo nani wakulaumiwa?
je kunahaja ya kumlilia mtu aliye hatarisha uhai wake kwa uzembe wake mwenyewe?


Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu issue ni kwamba,aliyeambukizwa sio tu ugonjwa utaishia kwake bali nae ataupeleka nyumbani kwake ambapo nae atawaambukiza wengine.
 
Back
Top Bottom