Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Kenan Kihongosi amewataka viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoani Simiyu kuepuka kugawanywa kwa itikadi za vyama na badala yake kudumisha Amani na mashikamano baina ya Watanzania.
Kihongosi ametoa rai hiyo alipozungumza na viongozi wa Chama hicho Wilayani Itilima alipokuwa katika muendelezo wa ziara yake Wilayani humo kusikiliza na kutatua kero mbalimbali za Wananchi, leo Novemba 16, 2024.
Amewataka kuhakikisha kuwa Wanafanya kampeni za kistaarabu muda wa kampeni utakapofika pamoja na kuepuka lugha zisizofaa wakati wa kampeni ili kudumisha amani na itulivu katika kipindi hicho.
Kihongosi ametoa rai hiyo alipozungumza na viongozi wa Chama hicho Wilayani Itilima alipokuwa katika muendelezo wa ziara yake Wilayani humo kusikiliza na kutatua kero mbalimbali za Wananchi, leo Novemba 16, 2024.
Amewataka kuhakikisha kuwa Wanafanya kampeni za kistaarabu muda wa kampeni utakapofika pamoja na kuepuka lugha zisizofaa wakati wa kampeni ili kudumisha amani na itulivu katika kipindi hicho.