soul provider
JF-Expert Member
- Jun 21, 2014
- 1,341
- 2,113
Kabisa mkuu!Mungu akusaidie dada yangu upone haraka
Rais alishakataza kupangiana! Yanya yako mkuuAcha double standard kama unawachukia CCM chukia wote bila kujali nani ni nani kwako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa nimechanganywa, hebu niambie sasa ugonjwa unaosababishwa na huyo mnyama unafahamika kwa jina lipi?Na wewe umechanganya.
Corona ni aina fulani ya virusi ambavyo vimegundulika na kupewa jina hilo miaka mingi iliyopita
Covid-19 ni "strain" fulani ya virus wa jamii ya corona. Huyu covid 19 kwa sasa ndio kashika kasi kwa hiyo tunamuita tu corona kama jamii yake ilivyo.
Mfano Chukulia kuwa Mbwa(kirusi) ni jamii ya wanyama, lakini mbwa wapo kabila nyingi tofauti.
Ugonjwa upo kila mahali. Ni ngumu kujua aliupata wapi. Makonda nae anapambania afya yake.
Acha double standard kama unawachukia CCM chukia wote bila kujali nani ni nani kwako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kawaida tusitishane maana watu huwa kila siku hata kabla ya korona na wanaodai takwimu zinafichwa watupe hizo walizonanazo
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe mbona huja yanya yako mkuu? [emoji848]Rais alishakataza kupangiana! Yanya yako mkuu
Elewa kwanza kabla hujajibuKWAHIYO UMEFULAHIA DR MAIGA NA JAJI RAMADHANI KUONDOKA..KWELI UNAROHO YA AJABU NA MUNGU ANGEKUJIBU KATIKA FAMILIA YAKO