RC Kunenge: Kariakoo ilikuwa kama Dubai, tujitahidi kuirejesha tuwavutie Wacongo na Wamalawi

RC Kunenge: Kariakoo ilikuwa kama Dubai, tujitahidi kuirejesha tuwavutie Wacongo na Wamalawi

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Mh. Kunenge amesema Dar es salaam ilikuwa kama Dubai ikizihudumia nchi za Afrika mashariki lakini haijulikani kitu gani kimeirudisha nyuma.

Kunenge amewataka watendaji wa jiji la Dar es salaam kuhakikisha Kariakoo inarejea kuwa Dubai ya Afrika mashariki kama ilivyokuwa enzi zile.

Chanzo: ITV

Maendeleo hayana vyama!
 
Mkuu wa mkoa asihangaike na watendaji mchawi ni TRA
Wapinzani wakati wanasema haya, si mlikuwa anasema watu walikuwa wanakwepa kodi(wanapiga dili) sasa kaingia Magu kodi lazima zilipwe.

Endeleeni kumtukuza ila mkija kushituka itakuwa ni too late.

Na kwenye Covid nayo sijui mtaishia kuja kumlaumu nani wakati anaezeuia watu kusema hali halisi anajulikana.
 
Back
Top Bottom