HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
TRA anatafuta rekodi za makusanyoNi TRA ndie kaua kariakoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TRA anatafuta rekodi za makusanyoNi TRA ndie kaua kariakoo
Sure , Kama kweli mama d , moyo umekuuma , ngoja tuombe ICC ikuondoe kwenye list ya Jambo letu,maana lipo pale pale ni swala la mdaThings will never be the same again
Bwashee kwa sasa TRA imekuwa ikihujumu uchumi kwa kasi ya ajabu, inasababisha biashara nyingi kufungwa, madhara yake kiuchumi yataanza kuonekana baada ya miaka miwili ijayo.Hakika bwashee!
Wanavunja rekodi ya makusanyo!Tatizo ni Awamu ya 5 toka ilipoingia tu TRA wakaanza wakazia hao foreigners
Ni kuwa ameona mkuu wa mkoa kakiri sasa itabidi aunge mkono cha mkuu wa mkoa.Sure , Kama kweli mama d , moyo umekuuma , ngoja tuombe ICC ikuondoe kwenye list ya Jambo letu,maana lipo pale pale ni swala la mda
Hilo halitawezekana mpaka washamba walioharibu uchumi watoke madarakaniMkuu wa mkoa wa Dar es salaam mh Kunenge amesema Dar es salaam ilikuwa kama Dubai ikizihudumia nchi za Afrika mashariki lakini haijulikani kitu gani kimeirudisha nyuma.
Kunenge amewataka watendaji wa jiji la Dar es salaam kuhakikisha Kariakoo inarejea kuwa Dubai ya Afrika mashariki kama ilivyokuwa enzi zile.
Chanzo: ITV
Maendeleo hayana vyama!
Kwa vipi?!Na bado, hata hao wachache waliobaki nao wanaweza kuhama msipobadilika..
Kwani unasema hivyo my dear?Things will never be the same again
Haitawezekana hadi sera za majukwaani ambazo hazina muelekeo ziachwe 'uncertainty policies'Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam mh Kunenge amesema Dar es salaam ilikuwa kama Dubai ikizihudumia nchi za Afrika mashariki lakini haijulikani kitu gani kimeirudisha nyuma.
Kunenge amewataka watendaji wa jiji la Dar es salaam kuhakikisha Kariakoo inarejea kuwa Dubai ya Afrika mashariki kama ilivyokuwa enzi zile.
Chanzo: ITV
Maendeleo hayana vyama!
Duka la Mtei pale congo st limebaki mbao tupu!Na bado.
Pambafu.
Bwashee kwa sasa TRA imekuwa ikihujumu uchumi kwa kasi ya ajabu, inasababisha biashara nyingi kufungwa, madhara yake kiuchumi yataanza kuonekana baada ya miaka miwili ijayo.
Kumpata mteja ni kazi sana ila kumpoteza ni rahisi sana...watu waliokata mguu kuja kariakoo kutoka nchi jirani ,kuwatoa huko walikohamia its longterm process