RC Kunenge: Kariakoo ilikuwa kama Dubai, tujitahidi kuirejesha tuwavutie Wacongo na Wamalawi

RC Kunenge: Kariakoo ilikuwa kama Dubai, tujitahidi kuirejesha tuwavutie Wacongo na Wamalawi

Tatizo la Chadema ilikuwa kupinga tu kila kitu ndio maana tulikuwa hatutaki hata kuwasikiliza.Jitu gani ambalo kutwa ni kupinga tu
Tusishikane mashati kila muda mara chadema mara CCM tuwe na mawazo huru ili tuweze kusonga mbele tufute kwenye akili zetu uchadema na ucccm pia ukabila tuachane nao havita jenga uchumi wa taifa letu !
 
TRA ipo chini ya CHADEMA?
Hawawezi kutamka serikali lazima atafutwe wa kuangushiwa jumba bovu.

Kwa wenye uelewa tuliona hili mapema linakuja, ukiwa na kiongozi anayetuhumu madaktari kuiba dawa ambazo hata hazipo, anatuhumu walimu kwa wanafunzi kufeli wakati wana madai lukuki, hamna vifaa vya kufundishia, wamerundikiwa mavipindi, darasa moja wanafunzi 100+, analaumu ufisadi na wakati yeye ni kinara, anakemea rushwa kinafiki nk nk.

Sasa ni zamu ya TRA kulaumiwa baada ya serikali kubeba sifa za kijinga za kuvuka malengo ya makusanyo kila mwezi, soon yale mamiradi yao wataanza kuwalaumu wakandarasi ni suala la muda tu!!
 
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam mh Kunenge amesema Dar es salaam ilikuwa kama Dubai ikizihudumia nchi za Afrika mashariki lakini haijulikani kitu gani kimeirudisha nyuma.

Kunenge amewataka watendaji wa jiji la Dar es salaam kuhakikisha Kariakoo inarejea kuwa Dubai ya Afrika mashariki kama ilivyokuwa enzi zile.

Chanzo: ITV

Maendeleo hayana vyama!
Brother hivi kweli hujui kilichosababisha Dubai ya Tz kuporomoka?? Lakini nakusifu japo umeonyesha concern ukiwa ndani ya Serkali hii hii
 
Huwezi kutafuta tiba na mtu ambaye ana amini kuwa yeye ndiyo na akili pekee, haya mambo wapinzani walisema sn wakaambiwa siyo wazalendo wanatumwa na mabeberu, leo yako wapi?
Kweli mkuu ila kwa sasa tusiwalaumu tuzidi kushauriana muda ni mchache ila tunaweza kusonga mbele na kufika mbali zaidi
 
Karuakoo ilikuwa ukiwa dola iliyochakaa kabisa ambayo hakuna benki au duka lolote la pesa za kigeni waweza kuikubali ilikuwa ukienda kariakoo maduka ya kawaida tu inapokekewa bila shida yoyote wanakubadilishia tena kwa rate nzuri kabisa
Acha kuruka ruka km popcorn, sema chanzo cha tatizo straight away..
 
Hawawezi kutamka serikali lazima atafutwe wa kuangushiwa jumba bovu.

Kwa wenye uelewa tuliona hili mapema linakuja, ukiwa na kiongozi anayetuhumu madaktari kuiba dawa ambazo hata hazipo, anatuhumu walimu kwa wanafunzi kufeli wakati wana madai lukuki, hamna vifaa vya kufundishia, wamerundikiwa mavipindi, darasa moja wanafunzi 100+, analaumu ufisadi na wakati yeye ni kinara, anakemea rushwa kinafiki nk nk.

Sasa ni zamu ya TRA kulaumiwa baada ya serikali kubeba sifa za kijinga za kuvuka malengo ya makusanyo kila mwezi, soon yale mamiradi yao wataanza kuwalaumu wakandarasi ni suala la muda tu!!
Wakandarasi wa finance and building!
 
Kunenge anajua kilichotokea, na aliyesababisha, lakini kajifanya hajui.

Sheria mbaya za kodi, mifumo ovyo ya ukadiriaji na ukusanyaji kodi, na kodi za juu ndiyo kaburi la ukuaji wa uchumi - uwekezaji na biashara.

Hii ndiyo sababu kubwa na pekee iliyozuia kuwepo uwekezaji mkubwa Tanzania tangu 2016 mpaka leo. Mwekezaji mkubwa wa mwisho alikuwa Dangote. Baada ya hapo uwekezaj mkubwa umesimama.
 
Haya mambo yameongelewa sana na wapinzani wakawaita kila aina ya majina ya kejeli na fedheha, sasa wameanza na wao kuongea ukweli. Lilikuwa ni swala la Muda tu.
CCM ni slow thinkers, huwachukua muda mrefu kuelewa. Wengi wao ni low IQ. Wenye akili waliona toka pale business community ipoanza kuwa garassed. Watu waliyaona hayo 2016, CCM leo 2021 ndiyo wanaanza kuyaelewa ambayo wenzao waliyaona miaka 5 iliyopita.

Na yale ya hovyo yanayofanyika Chato sasa ambayo watu wanasema hayana tija, CCM watakuja kuelewa mwaka 2027!
 
Tatizo la Chadema ilikuwa kupinga tu kila kitu ndio maana tulikuwa hatutaki hata kuwasikiliza.Jitu gani ambalo kutwa ni kupinga tu
Usicho kielewa ni kuwa watu wengi wanao jishughulisha na shughuli rasmi wako kinyume na sera za hii serikali kwa kuwa wanakutana na madhara yake. Sasa kwa akili zenu mbovu wakilalamika kuumizwa na hizi sera mnawaita wapinzani.

Kwa mujibu wa TWAWEZA, CCM inapendwa na masikini, wasio na elimu, kina mama na wazee. Ukiyatazama hayo makundi yote yamejaa watu tegemezi ambao hawajishughulizi na uzalishaji hivyo hawawezi jua madhara ya hizo sera mbovu ndio maana wanaishabikia CCM.
 
TOP 10 RICHEST AFRICAN COUNTRIES IN 2020 RANKED BY GDP & PRIMARY EXPORTS
1.Nigeria[emoji1184]
2.south Africa[emoji1221]
3.Egypt[emoji1093]
4. Algeria [emoji1026]
5.Morocco[emoji1173]
6.kenya[emoji1139]
7.Angola[emoji1029]
8.Ethiopia [emoji1098]
9.Ghana [emoji1110]
10.Tanzania [emoji1241]
Ulimsikia Kimei jana? Uchumi wa Tanzania umekuwa overstated. Ina maana wanapika data.
 
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam mh Kunenge amesema Dar es salaam ilikuwa kama Dubai ikizihudumia nchi za Afrika mashariki lakini haijulikani kitu gani kimeirudisha nyuma.

Kunenge amewataka watendaji wa jiji la Dar es salaam kuhakikisha Kariakoo inarejea kuwa Dubai ya Afrika mashariki kama ilivyokuwa enzi zile.

Chanzo: ITV

Maendeleo hayana vyama!
Uchumi hoi bin taabani hiyo ndiyo sababu ya nchi inaongozwa na washamba na malimbukeni
 
Walio kimbia soko Ni wale waliopenda shortcut,wa Congo waaminifu bado wanawndelea kuja,wamalawi waaminifu bado wanawndelea kuja,utitili wa watu wa wacongo na wamalawi mwanzo haukuwa wa tija,walikuwa wengi Tena Sana lakini walikuwa wanakuja wanachota bidhaa bulebule ,wanaondoka,kwa Sasa ukija kariakoo unachukua mizigo halali,unaacha Kodi halali,yaani ni mwendo wa win win stuation.
 
Wapinzani walikuwa wanachelewesha maendeleo, mumewatoa wote mbona sasa mnaaanza kunyoosheana vidole.
Hapo bado hata hao waliobaki muda na saa wanafunga biashara zenyewe kukimbia utitiri wa kodi.
 
Back
Top Bottom