Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Watatue na tatizo la TRA.Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam mh Kunenge amesema Dar es salaam ilikuwa kama Dubai ikizihudumia nchi za Afrika mashariki lakini haijulikani kitu gani kimeirudisha nyuma.
Kunenge amewataka watendaji wa jiji la Dar es salaam kuhakikisha Kariakoo inarejea kuwa Dubai ya Afrika mashariki kama ilivyokuwa enzi zile.
Chanzo: ITV
Maendeleo hayana vyama!
Kunenge anaujua ukweli, na asizunguke mbuyu.
Mfanya biashara apipowekewa mazingira ya kulipa kodi kistaarabu hakuna litakalofanyika.
TRA ndio wameua Kariakoo tusitafute mchawi kwingine wakati mchawi tunamfahamu.