RC Kunenge: Kariakoo ilikuwa kama Dubai, tujitahidi kuirejesha tuwavutie Wacongo na Wamalawi

RC Kunenge: Kariakoo ilikuwa kama Dubai, tujitahidi kuirejesha tuwavutie Wacongo na Wamalawi

Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam mh Kunenge amesema Dar es salaam ilikuwa kama Dubai ikizihudumia nchi za Afrika mashariki lakini haijulikani kitu gani kimeirudisha nyuma.

Kunenge amewataka watendaji wa jiji la Dar es salaam kuhakikisha Kariakoo inarejea kuwa Dubai ya Afrika mashariki kama ilivyokuwa enzi zile.

Chanzo: ITV

Maendeleo hayana vyama!
Mzee wangu ref Tax administration act 2015 humo utakuta mafuvu na vichwa vya wafanyabihashara wote. Hence hakuna cha kufanya maana bunge na serikali ndio walio pitisha hayo. End
 
Walio kimbia soko Ni wale waliopenda shortcut,wa Congo waaminifu bado wanawndelea kuja,wamalawi waaminifu bado wanawndelea kuja,utitili wa watu wa wacongo na wamalawi mwanzo haukuwa wa tija,walikuwa wengi Tena Sana lakini walikuwa wanakuja wanachota bidhaa bulebule ,wanaondoka,kwa Sasa ukija kariakoo unachukua mizigo halali,unaacha Kodi halali,yaani ni mwendo wa win win stuation.
Unambishia Kunenge?
 
Kwa ujumla ni kuwa siyo TRA walioharibu uchumi wetu bali ni mfumo mzima wa Serikali ya awamu ya 5 ndio umeharibu uchumi wa nchi.

TRA, watendaji - wote wapo chini ya Serikali. TRA na watendaji hawawezi kufanya kitu kinyume cha matakwa ya Serikali.

Kuharibu ni rahisi sana, lakini siyo kutengeneza. Baadhi ya maeneo ambayo awamu ya 5, imeharibu, itachukua hata zaidi ya miaka 20, kurejesha hali iliyokuwepo.
 
Karuakoo ilikuwa ukiwa dola iliyochakaa kabisa ambayo hakuna benki au duka lolote la pesa za kigeni waweza kuikubali ilikuwa ukienda kariakoo maduka ya kawaida tu inapokekewa bila shida yoyote wanakubadilishia tena kwa rate nzuri kabisa
Tatizo unalijua
 
Kariakoo kama dubuai? Hivi yupo serious na kodi zetu kweli?
 
Karuakoo ilikuwa ukiwa dola iliyochakaa kabisa ambayo hakuna benki au duka lolote la pesa za kigeni waweza kuikubali ilikuwa ukienda kariakoo maduka ya kawaida tu inapokekewa bila shida yoyote wanakubadilishia tena kwa rate nzuri kabisa
Mabeberu

Wazalendo

Wapiga dili
 
Kariakoo ilikuwa inajulikana nchi zote za Afrika mashariki na kati

kutokana na bei za vitu kuwa chini wafanyabiashara wengi wa kenya hada mombasa walikuwa wakija kufunga mizigo kariakoo

hoteli zia kariakoo zilijuwa zikijaa wafanyabiashara toka Zambia,malawi,Congo,burundi rwanda ,kenya na zimbabwe sasa hivi ziko tupu baada ya kariakoo kuuawa na TRA sasa hivi kodi kariakoo TRA ina maana zimepungua kuanzia biashara hadi mahoteli!!! TRA inaumia na watu wanaumia .Kuanzia wenye fremu za kupangisha nk

Kariakoo kurudi inatakiwa TRA ijirudi
Na mwezi huu tutavunja rekodi ya makusanyo.

Tutafikisha trilioni 4.
 
Walio kimbia soko Ni wale waliopenda shortcut,wa Congo waaminifu bado wanawndelea kuja,wamalawi waaminifu bado wanawndelea kuja,utitili wa watu wa wacongo na wamalawi mwanzo haukuwa wa tija,walikuwa wengi Tena Sana lakini walikuwa wanakuja wanachota bidhaa bulebule ,wanaondoka,kwa Sasa ukija kariakoo unachukua mizigo halali,unaacha Kodi halali,yaani ni mwendo wa win win stuation.
Hata nyuki akiacha ujinga hutengeneza asali.
 
Kwa ujumla ni kuwa siyo TRA walioharibu uchumi wetu bali ni mfumo mzima wa Serikalo ya awamu ya 5 ndio umeharibu uchumi wa nchi.

TRA, watendaji - wote wapo chini ya Serikali. TRA na watendaji hawawezi kufanya kitu kinyume cha matakwa ya Serikali.

Kuharibu ni rahisi sana, lakini siyo kutengeneza. Baadhi ya maeneo ambayo awamu ya 5, imeharibu, itachukua hata zaidi ya miaka 20, kurejesha hali iliyokuwepo.
uchumi haujaharibika,ila units zote za uchumi zimewekewa mazingira ya win win situation..ili huu mfumo uzoeleke,tunategemea baadhi yao wata withdraw,lakini kwa muda ,na watakaporudi watakuwa ni permanent partners.
 
Wasio na elimuTanzania ndio majority upinzani usahau kuchukua hii nchi sababu majority hawana elmu na ndio wapiga kura wengi na ndio wapenda CCM
Unajisifia kupendwa na watu wajinga?!! Ni 'mjinga mahiri' pekee ndiyo huona fahari kupendwa na wajinga wenzie.
 
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam mh Kunenge amesema Dar es salaam ilikuwa kama Dubai ikizihudumia nchi za Afrika mashariki lakini haijulikani kitu gani kimeirudisha nyuma.

Kunenge amewataka watendaji wa jiji la Dar es salaam kuhakikisha Kariakoo inarejea kuwa Dubai ya Afrika mashariki kama ilivyokuwa enzi zile.

Chanzo: ITV

Maendeleo hayana vyama!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mnakumbuka shuka asubuhi kumesha kucha ... !!!

CCM Kwa kukopi pest mmetisha tulipiga kelele weee mitano ya kwanza mkaanza kututeka, mkatuweka ndani kwa kesi za kutakatisha fedha haya kikowapi sasa

Sasa hivi mnadandia gari kwa mbele na breki zimekatika dereva mbele haoni mvua inanyesha weipa zimeng'oka subirini tu sasa litakapoenda kusimamia ndio hukohuko tena

Kama ni mtoni haya, kama ni korongoni sawa kama litakutana na Lori linguine twende tu haina jinsi ishakua too late tena

Vijana wa kileo wanasema MEISHA HIYO !!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Walio kimbia soko Ni wale waliopenda shortcut,wa Congo waaminifu bado wanawndelea kuja,wamalawi waaminifu bado wanawndelea kuja,utitili wa watu wa wacongo na wamalawi mwanzo haukuwa wa tija,walikuwa wengi Tena Sana lakini walikuwa wanakuja wanachota bidhaa bulebule ,wanaondoka,kwa Sasa ukija kariakoo unachukua mizigo halali,unaacha Kodi halali,yaani ni mwendo wa win win stuation.
Sasa anacho lalamika RC ni kipi? Kwa hiyo we una uelewa kuliko RC mwenyewe? Kwamba RC anawahitaji hao wapenda shotcut ili kunusuru hali ya sasa? Kwamba RC anataka kukaribisha tena lose-win situation?
 
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam mh Kunenge amesema Dar es salaam ilikuwa kama Dubai ikizihudumia nchi za Afrika mashariki lakini haijulikani kitu gani kimeirudisha nyuma.

Kunenge amewataka watendaji wa jiji la Dar es salaam kuhakikisha Kariakoo inarejea kuwa Dubai ya Afrika mashariki kama ilivyokuwa enzi zile.

Chanzo: ITV

Maendeleo hayana vyama!
Sio kitu gani ni makodi ambayo hayana tija wayo bambikiziwa mipakan ndio Mana hawaji
 
Back
Top Bottom