RC Kunenge: Kariakoo ilikuwa kama Dubai, tujitahidi kuirejesha tuwavutie Wacongo na Wamalawi

RC Kunenge: Kariakoo ilikuwa kama Dubai, tujitahidi kuirejesha tuwavutie Wacongo na Wamalawi

Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam mh Kunenge amesema Dar es salaam ilikuwa kama Dubai ikizihudumia nchi za Afrika mashariki lakini haijulikani kitu gani kimeirudisha nyuma.

Kunenge amewataka watendaji wa jiji la Dar es salaam kuhakikisha Kariakoo inarejea kuwa Dubai ya Afrika mashariki kama ilivyokuwa enzi zile.

Chanzo: ITV

Maendeleo hayana vyama!
Wapinzani wameiharibu Kariakoo
 
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam mh Kunenge amesema Dar es salaam ilikuwa kama Dubai ikizihudumia nchi za Afrika mashariki lakini haijulikani kitu gani kimeirudisha nyuma.

Kunenge amewataka watendaji wa jiji la Dar es salaam kuhakikisha Kariakoo inarejea kuwa Dubai ya Afrika mashariki kama ilivyokuwa enzi zile.

Chanzo: ITV

Maendeleo hayana vyama!
Haijulikani kitu gani kimeirudisha nyuma? Aache Ujinga
 
Mnyama kenge huwa hasikii mpk damu itoke masikioni - hali la kupungua kwa wafanyabiashara haliwezi kumalizwa na RC

Linatakiwa kushughulikiwa kwa ngazi ya kitaifa kwa kuwa RC hawezi kuamuru watendaji wa Ikulu, Wizara na Sekta za kitaifa. Lkn kama ameliona hilo basi ashauri mamlaka za juu yake.
Huenda tumekwama kwenye sera za nchi
 
Unabishana na sufiani juma??? Alipo hata jinsia yake haijui potezea hawa viwavi jeshi
Sasa anacho lalamika RC ni kipi? Kwa hiyo we una uelewa kuliko RC mwenyewe? Kwamba RC anawahitaji hao wapenda shotcut ili kunusuru hali ya sasa? Kwamba RC anataka kukaribisha tena lose-win situation?
 
Taxforce Imekuwa ya ajabusana so kwa utawala wa CCM kariakoo inaelekea kufa kabisa
 
Chadema ndiyo waliosababisha soko life??
Ndiyo chama kikuu cha upinzanini, ilianza kulizungumzia hili swala tangu 2016 lakini hao CCM waliwaita ni wasaliti wasiopenda kodi ikusanyiwe, sasa CHADEMA wametulia wao CCM wameanza kuongea yaliyoongelewa 2016 na CHADEMA mfano Nape na Msukuma na leo Kunenge.
 
Usicho kielewa ni kuwa watu wengi wanao jishughulisha na shughuli rasmi wako kinyume na sera za hii serikali kwa kuwa wanakutana na madhara yake. Sasa kwa akili zenu mbovu wakilalamika kuumizwa na hizi sera mnawaita wapinzani.

Kwa mujibu wa TWAWEZA, CCM inapendwa na masikini, wasio na elimu, kina mama na wazee. Ukiyatazama hayo makundi yote yamejaa watu tegemezi ambao hawajishughulizi na uzalishaji hivyo hawawezi jua madhara ya hizo sera mbovu ndio maana wanaishabikia CCM.
Na wanufaika wa hizo sera mbovu.
 
Baptiste mwanangu wa kambo Naona kwa mbaali umeanza kunena kwa Lugha.. Haaahaaahaa Tena wewe jiandae maana Nina uhakika utajiua Mwenyewe siku moja baada ya kugundua kuwa Uliyokuwa unayashabikia na kuunga mkono Ni ubatili mtupu umekula na kushiba upepo.. Pole mwana
Hahahaaaa....... Tumeingia choo cha kike bwashee!

Walio kimbia soko Ni wale waliopenda shortcut,wa Congo waaminifu bado wanawndelea kuja,wamalawi waaminifu bado wanawndelea kuja,utitili wa watu wa wacongo na wamalawi mwanzo haukuwa wa tija,walikuwa wengi Tena Sana lakini walikuwa wanakuja wanachota bidhaa bulebule ,wanaondoka,kwa Sasa ukija kariakoo unachukua mizigo halali,unaacha Kodi halali,yaani ni mwendo wa win win stuation.
Pumbavu mkubwa wewe
 
Walio kimbia soko Ni wale waliopenda shortcut,wa Congo waaminifu bado wanawndelea kuja,wamalawi waaminifu bado wanawndelea kuja,utitili wa watu wa wacongo na wamalawi mwanzo haukuwa wa tija,walikuwa wengi Tena Sana lakini walikuwa wanakuja wanachota bidhaa bulebule ,wanaondoka,kwa Sasa ukija kariakoo unachukua mizigo halali,unaacha Kodi halali,yaani ni mwendo wa win win stuation.
Kwahiyo RC muongo eeee..
 
Ule mpango wa kufanya biashara kkoo 24hours umeishia wapi au tarehe bado?
Hawa jamaa vichwa maji sana, yaani wakati wafanyabiashara wanalia biashara zinakufa wao wanaweka mkakati kufanya biashara 24hrs.

Biashara ya mihogo, nyanya chungu na 'vibamia' ndio ya kufanyika 24hrs?!
 
Kama hajui tatizo aende pale kariakoo akawaulize wenyewe asitafute kiki hapo
 
Back
Top Bottom