Kweli Kabisa Kunenge hujui sababu, kweli?Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam mh Kunenge amesema Dar es salaam ilikuwa kama Dubai ikizihudumia nchi za Afrika mashariki lakini haijulikani kitu gani kimeirudisha nyuma.
Kunenge amewataka watendaji wa jiji la Dar es salaam kuhakikisha Kariakoo inarejea kuwa Dubai ya Afrika mashariki kama ilivyokuwa enzi zile.
Chanzo: ITV
Maendeleo hayana vyama!
Kwa Ujinga wao! Mbona wakiiba pesa za Umma hao wafanyakazi wa TRA hawasubiri maelekezo kutoka Juu!?Kwa maagizo kutoka juu.
Ni swala lakua na bidhaa nyingi na bei nzuri,watarudi faster, mfanyabiashara siku zote hapendi usumbufu!!Kumpata mteja ni kazi sana ila kumpoteza ni rahisi sana...watu waliokata mguu kuja kariakoo kutoka nchi jirani ,kuwatoa huko walikohamia its longterm process
Kariakoo Sasa hivi ilitakiwa iwe inatoa Huduma mchana na usiku,kama Kamanda Kova alivyosemaga!!Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam mh Kunenge amesema Dar es salaam ilikuwa kama Dubai ikizihudumia nchi za Afrika mashariki lakini haijulikani kitu gani kimeirudisha nyuma.
Kunenge amewataka watendaji wa jiji la Dar es salaam kuhakikisha Kariakoo inarejea kuwa Dubai ya Afrika mashariki kama ilivyokuwa enzi zile.
Chanzo: ITV
Maendeleo hayana vyama!
Magufuli analinda Mali za Umma,hizo pesa zako ulizopiga huko Ughaibuni hana habari nazo! Msipotoshe watu wakaogopa kuleta pesa kutuko nje! Ila hizo pesa zako usizilete ndani ili kuhujumu uchumi wa Nchi, maana nazo zitakwenda na Maji!!Inaumiza Sana.. basi tuu. Mi nafikiri Ingependeza mtu unachuma chochote huko nje unaleta nyumbani bila kubugudhiwa Watu wasingekuwa wanaficha mahela huko nje
Kunenge apige dua sana, mdomo uliponza kichwaHaya mambo yameongelewa sana na wapinzani wakawaita kila aina ya majina ya kejeli na fedheha, sasa wameanza na wao kuongea ukweli. Lilikuwa ni swala la Muda tu.
Mimi napiga sana pesa kutoka Ughaibuni,njoo unikamate tuone!!Pumbavu wewe
Na Mali zangu zote ziko kwa jina langu,Mimi siyo Kama wale wapiga pesa ya Umma wanao weka Mali zao kwa majina ya ndg!!Mimi napiga sana pesa kutoka Ughaibuni,njoo unikamate tuone!!
Things will never be the same again
Ukijiona una mbio, msifie na anaekukumbizaMkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Mh. Kunenge amesema Dar es salaam ilikuwa kama Dubai ikizihudumia nchi za Afrika mashariki lakini haijulikani kitu gani kimeirudisha nyuma.
Kunenge amewataka watendaji wa jiji la Dar es salaam kuhakikisha Kariakoo inarejea kuwa Dubai ya Afrika mashariki kama ilivyokuwa enzi zile.
Chanzo: ITV
Maendeleo hayana vyama!
uchaguzi wa mwaka 2015 ulikuwa mwanzo wa kudorora kwa karikooMkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Mh. Kunenge amesema Dar es salaam ilikuwa kama Dubai ikizihudumia nchi za Afrika mashariki lakini haijulikani kitu gani kimeirudisha nyuma.
Kunenge amewataka watendaji wa jiji la Dar es salaam kuhakikisha Kariakoo inarejea kuwa Dubai ya Afrika mashariki kama ilivyokuwa enzi zile.
Chanzo: ITV
Maendeleo hayana vyama!