imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Punguza panik hoja hujibiwa kwa hojaMlisha laanika nyie
Hamna jema hovyo tu na chuki zenu
Nyie hamna jema Na Vi ID vyenu kumi kumi humu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Punguza panik hoja hujibiwa kwa hojaMlisha laanika nyie
Hamna jema hovyo tu na chuki zenu
Nyie hamna jema Na Vi ID vyenu kumi kumi humu
Una point lakini chumvi kibao. Chato hakuna International Airport bali runway pana ya lami. Ndege inawezekana ziko under utilized lakini suala la kuwa grounded ni uongo mweupe.... yap! Hiyo ndio maana halisi ya maendeleo ya watu; miradi inayogusa moja kwa moja the common wananchi badala ya kuonesha ufahari usio na maana kama kujenga international airport kijijini; kununua madege ya kifahari ambayo since then yako grounded; madaraja ya baharini ilhali watu wanakufa kwa mafuriko simply mitaro imeziba or the masses wanapata adha za ajabu mvua zinaponyesha!
... kwani mafuriko yameletwa na nani?Hii ni taarifa tu, je hao wahanga wa mafuriko wanasaidiwaje?!
Kenge wewe na ifikapo oktoba 28 basi pia tutakuwa na ID kumi kumi za kupigia kura!Mlisha laanika nyie
Hamna jema hovyo tu na chuki zenu
Nyie hamna jema Na Vi ID vyenu kumi kumi humu
Hii ni taarifa tu, je hao wahanga wa mafuriko wanasaidiwaje?!
Mlisha laanika nyie
Hamna jema hovyo tu na chuki zenu
Nyie hamna jema Na Vi ID vyenu kumi kumi humu
Ohhh pole kwa jirani yako. Wahanga wanahitaji msaada na sio RC anaishia kutoa habari tu!![emoji20]Kwani hayo mafuriko yame letwa na Serikali [in Magufuli voice] !?.Jirani yangu ofisini amepoteza Watoto wawili.
R.I.P. Marehemu wote.
Poleni wahanga wa hili balaa.
Ohhh pole kwa jirani yako. Wahanga wanahitaji msaada na sio RC anaishia kutoa habari tu!![emoji20]
Wee!! dogo kiswahili ulipata ngapi? ''wa mume wa mke aliye fariki Earth!''watoto watatu na wifi ambaye ni mdogo wa mume wa mke aliyefariki dunia,” alisema.
Ahahahaha!!!!! poleni sana Watanzania Kwa kujichomeka any way niko Mbagathi njia panda ya kwenda Nairobi!lakini wakati wakitaka kupatiwa matibabu, walionekana wameshafariki dunia,